Exim yazindua kampeni kuongeza ufanisi
BENKI ya Exim imezindua kampeni maalumu ya ‘Power of Service’ inayolenga kuongeza ufanisi wa benki hiyo hususan katika suala la utoaji wa huduma. Akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo28 Jan
Exim waja na mradi wa kuongeza ufanisi
BENKI ya Exim imezindua kampeni maalumu ya ‘Power of Service’ inayolenga kuongeza ufanisi wa benki hiyo hususani katika utoaji huduma. Akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa kampeni hiyo jijini Dar es Salaam jana, Meneja Rasilimali Watu wa Benki ya Exim, Siaophoro Kishimbo alisema kampeni hiyo imeanza katika wakati muafaka huku benki ikijikita katika dhamira ya kuwa benki chaguo la kwanza nchini Tanzania.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WBcLVo5_Qxg/VBgNOJpTxzI/AAAAAAACrDI/2b63XgKV2ww/s72-c/ERM%2BPIX%2B1.jpg)
Benki ya Exim yaingia ubia kuongeza ufanisi katika udhibiti wa majanga
![](http://4.bp.blogspot.com/-WBcLVo5_Qxg/VBgNOJpTxzI/AAAAAAACrDI/2b63XgKV2ww/s1600/ERM%2BPIX%2B1.jpg)
11 years ago
Mwananchi28 Jan
Benki yazindua kampeni ufanisi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TS-XtgtA_yo/XvC3xvUnWdI/AAAAAAAEH9s/SaHGur3U3LIKpeeA0tGzTqMdMbbLBHi8QCLcBGAsYHQ/s72-c/exim%2Bdig..jpg)
Benki Ya Exim Yazindua Kampeni Kuhamasisha Huduma Za Kidigitali
Kampeni hiyo imekuja kipindi ambacho jamii inapitia mabadiliko kuelekea huduma za kidigitali hususani katika huduma za kifedha na manunuzi, hali iliyochochewa zaidi na mlipuko wa ugonjwa wa virus vya Corona (COVID...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pYFb1sBB0GI/VWw9dbeiBLI/AAAAAAAC5Xk/ASq9Nzr7lY0/s72-c/unnamed.jpg)
Benki ya Exim yazindua kampeni kuhamasisha akaunti ya Amana ya malengo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-pYFb1sBB0GI/VWw9dbeiBLI/AAAAAAAC5Xk/ASq9Nzr7lY0/s320/unnamed.jpg)
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni hiyo uliofanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa juma lililopita, Meneja Bidhaa wa Benki hiyo, Bw Aloyse Maro alisema lengo kuu la kampeni hiyo ni kukuza utamaduni wa kuweka akiba hapa nchini ili kuongeza tija kwenye...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ec6PfFmtwJc/VVGSRT-3DXI/AAAAAAAC4Sc/DaXn62cGO5g/s72-c/Exim%2BPIX%2B1.jpg)
Benki ya Exim yazindua kampeni maalumu kuhamasisha matumizi ya kadi zake mpya za ‘Faida’.
Kwa mujibu wa Meneja Bidhaa wa benki hiyo Bw. Aloyce Maro hatua hiyo ni sehemu ya jitiahada za benki hiyo kuhakikisha kwamba huduma zake zinatolewa kwa uhakika na usalama zaidi kwa faida ya wateja wake.
“Lengo kubwa la kampeni hii ni kuwahamasisha wateja wetu juu ya matumizi ya kadi zetu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JAlzQJpSu_4/Xkqe04oG7AI/AAAAAAAEFDM/LD7q7-87BUEO7k6kGYTzgIYkocyVcTrjgCLcBGAsYHQ/s72-c/download.png)
Benki ya Exim yazindua kampeni ya Chanja Kijanja kwa wateja wake wanaomiliki kadi za MasterCard.
![](https://1.bp.blogspot.com/-JAlzQJpSu_4/Xkqe04oG7AI/AAAAAAAEFDM/LD7q7-87BUEO7k6kGYTzgIYkocyVcTrjgCLcBGAsYHQ/s320/download.png)
Uzinduzi wa kampeni hiyo mpya iliyopewa jina la 'Chanja Kijanja na Exim Mastercard' unalenga kutoa fursa ya kipekee kwa wateja wa benki hiyo kufurahia huduma zinazokwenda sambamba na mfumo wa maisha yao kupitia benki hiyo.
Kwa mujibu wa mkuu wa kitengo cha wateja wadogo na kati wa Benki ya...
5 years ago
MichuziBenki ya Exim yatangaza washindi wa droo ya kwanza ya kampeni ya 'Chanja Kijanja na Exim Bank Mastercard'
Akizungumza kwenye hafla fupi ya kuwatangaza washindi wa droo ya kwanza wa kampeni hiyo iliyofanyika Makao Makuu ya benki hiyo jijini Dar es Salaam,...
5 years ago
MichuziTEHAMA KUONGEZA UFANISI KATIKA SEKTA YA USHIRIKA
Hayo yamesemwa na Mrajis wa Vyama vya Ushirika na Mtendaji Mkuu wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) Dkt. Benson Ndiege wakati akifungua Kikao Kazi cha Mafunzo ya Mfumo wa Kukusanya Mapato...