Benki yazindua kampeni ufanisi
Benki ya Exim imezindua kampeni maalumu maarufu kama Power of Service, inayolenga kuongeza ufanisi wa benki hiyo hususan utoaji huduma.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima28 Jan
Exim yazindua kampeni kuongeza ufanisi
BENKI ya Exim imezindua kampeni maalumu ya ‘Power of Service’ inayolenga kuongeza ufanisi wa benki hiyo hususan katika suala la utoaji wa huduma. Akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-22W4xJgKL2k/VXhEVvQrkiI/AAAAAAAHecM/ZJ3aVvcZwa0/s72-c/unnamed%2B%25289%2529.jpg)
Benki ya NBC yazindua kampeni ya akaunti za mishahara
![](http://2.bp.blogspot.com/-22W4xJgKL2k/VXhEVvQrkiI/AAAAAAAHecM/ZJ3aVvcZwa0/s640/unnamed%2B%25289%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qNMl4GdjXvg/VXhEVviLMQI/AAAAAAAHecU/BQK_YhegMtc/s640/.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TS-XtgtA_yo/XvC3xvUnWdI/AAAAAAAEH9s/SaHGur3U3LIKpeeA0tGzTqMdMbbLBHi8QCLcBGAsYHQ/s72-c/exim%2Bdig..jpg)
Benki Ya Exim Yazindua Kampeni Kuhamasisha Huduma Za Kidigitali
Benki ya Exim imezindua kampeni yake mpya inayolenga kuhamasisha wateja wa benki hiyo kutumia zaidi huduma za kiditali ili kurahisha upatikanaji wa huduma zinazotolewa na benki hiyo sambamba na kuokoa muda ambao wangeutumia kufuata huduma hizo kwenye matawi ya benki hiyo.
Kampeni hiyo imekuja kipindi ambacho jamii inapitia mabadiliko kuelekea huduma za kidigitali hususani katika huduma za kifedha na manunuzi, hali iliyochochewa zaidi na mlipuko wa ugonjwa wa virus vya Corona (COVID...
Kampeni hiyo imekuja kipindi ambacho jamii inapitia mabadiliko kuelekea huduma za kidigitali hususani katika huduma za kifedha na manunuzi, hali iliyochochewa zaidi na mlipuko wa ugonjwa wa virus vya Corona (COVID...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pYFb1sBB0GI/VWw9dbeiBLI/AAAAAAAC5Xk/ASq9Nzr7lY0/s72-c/unnamed.jpg)
Benki ya Exim yazindua kampeni kuhamasisha akaunti ya Amana ya malengo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-pYFb1sBB0GI/VWw9dbeiBLI/AAAAAAAC5Xk/ASq9Nzr7lY0/s320/unnamed.jpg)
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni hiyo uliofanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa juma lililopita, Meneja Bidhaa wa Benki hiyo, Bw Aloyse Maro alisema lengo kuu la kampeni hiyo ni kukuza utamaduni wa kuweka akiba hapa nchini ili kuongeza tija kwenye...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-G3iQUjNI0CY/VA2DiyNLYmI/AAAAAAAGhss/b-_bJhkClD0/s72-c/unnamed%2B(5).jpg)
Benki ya NBC yazindua Kampeni ya Weka Upewe awamu ya pil
![](http://1.bp.blogspot.com/-G3iQUjNI0CY/VA2DiyNLYmI/AAAAAAAGhss/b-_bJhkClD0/s1600/unnamed%2B(5).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-l5hPOBPrzaY/VA2Di33b39I/AAAAAAAGhsw/RQb29CyMXBY/s1600/unnamed%2B(6).jpg)
10 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YAZINDUA KAMPENI YA UTUMIAJI WA SimBanking NA FAHARI HUDUMA WAKALA
Na Mwandishi Wetu
BENKI ya CRDB imezindua kampeni maalum ya utumiaji wa huduma zake kupitia simu za mkononi ‘SimBanking’ kupitia kwa mawakala wa ‘FahariHuduma’.
Akizungumza jijini Dar es Salaam katika uzinduzi wa kampeni hiyo ijulikanayo kama ‘Tuma Pesa na SimBanking Shinda Passo’, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Dk. Charles Kimei alisema lengo la kuanzisha kampeni hiyo ni kuwakumbusha wateja wake na watanzania wote kwa ujumla umuhimu wa kutumia njia hizo mbadala ili kupata huduma kwa...
BENKI ya CRDB imezindua kampeni maalum ya utumiaji wa huduma zake kupitia simu za mkononi ‘SimBanking’ kupitia kwa mawakala wa ‘FahariHuduma’.
Akizungumza jijini Dar es Salaam katika uzinduzi wa kampeni hiyo ijulikanayo kama ‘Tuma Pesa na SimBanking Shinda Passo’, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Dk. Charles Kimei alisema lengo la kuanzisha kampeni hiyo ni kuwakumbusha wateja wake na watanzania wote kwa ujumla umuhimu wa kutumia njia hizo mbadala ili kupata huduma kwa...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-25GfuUw2PCk/VnPa1UVcFoI/AAAAAAAINOU/myxQPM_gjF4/s72-c/IMG_8607.jpg)
BENKI YA BARCLAYS TANZANIA YAZINDUA KAMPENI YA MATUMIZI YA KADI ZA VISA KWA WATEJA WAKE.
![](http://1.bp.blogspot.com/-25GfuUw2PCk/VnPa1UVcFoI/AAAAAAAINOU/myxQPM_gjF4/s640/IMG_8607.jpg)
Meneja wa bidhaa wa benki ya Barclays Tanzania, Valence Luteganya akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo wakati wa kuzindua kampeni ya matumizi ya Kadi za VISA za benki ya Barclays kwaajili ya wateja wake. Pia Lutenganya amesema kuwa kampeni hii itadumu kwa muda wa miezi mitatu kuanzia Desemba 17 mwaka huu hadi Februari 28, 2016. Kampeni hii itamwezesha mteja kunufaika na mafao mbalimbali yanayohusiana na malipo kabla na baada ya kutumia kadi zao za Visa. Wateja wenye...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ec6PfFmtwJc/VVGSRT-3DXI/AAAAAAAC4Sc/DaXn62cGO5g/s72-c/Exim%2BPIX%2B1.jpg)
Benki ya Exim yazindua kampeni maalumu kuhamasisha matumizi ya kadi zake mpya za ‘Faida’.
BENKI ya EximTanzania imezindua kampeni inayolenga kuwahamasisha wateja wake juu ya matumizi ya kadi zake mpya za ‘Faida Chip and PIN Debit card’ ambazo zimeundwa kwa kuzingatia vigezo vya kiusalama zaidi.
Kwa mujibu wa Meneja Bidhaa wa benki hiyo Bw. Aloyce Maro hatua hiyo ni sehemu ya jitiahada za benki hiyo kuhakikisha kwamba huduma zake zinatolewa kwa uhakika na usalama zaidi kwa faida ya wateja wake.
“Lengo kubwa la kampeni hii ni kuwahamasisha wateja wetu juu ya matumizi ya kadi zetu...
Kwa mujibu wa Meneja Bidhaa wa benki hiyo Bw. Aloyce Maro hatua hiyo ni sehemu ya jitiahada za benki hiyo kuhakikisha kwamba huduma zake zinatolewa kwa uhakika na usalama zaidi kwa faida ya wateja wake.
“Lengo kubwa la kampeni hii ni kuwahamasisha wateja wetu juu ya matumizi ya kadi zetu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JAlzQJpSu_4/Xkqe04oG7AI/AAAAAAAEFDM/LD7q7-87BUEO7k6kGYTzgIYkocyVcTrjgCLcBGAsYHQ/s72-c/download.png)
Benki ya Exim yazindua kampeni ya Chanja Kijanja kwa wateja wake wanaomiliki kadi za MasterCard.
![](https://1.bp.blogspot.com/-JAlzQJpSu_4/Xkqe04oG7AI/AAAAAAAEFDM/LD7q7-87BUEO7k6kGYTzgIYkocyVcTrjgCLcBGAsYHQ/s320/download.png)
Uzinduzi wa kampeni hiyo mpya iliyopewa jina la 'Chanja Kijanja na Exim Mastercard' unalenga kutoa fursa ya kipekee kwa wateja wa benki hiyo kufurahia huduma zinazokwenda sambamba na mfumo wa maisha yao kupitia benki hiyo.
Kwa mujibu wa mkuu wa kitengo cha wateja wadogo na kati wa Benki ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania