Japan yaahidi kuendelea kuchangia Bajeti ya Tanzania
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika mazungumzo na Katibu Mkuu Kiongozi wa Japan, Yoshihiro Suga, wakati alipofika ofisini kwake Jijini Tokyo Japan leo Mei 21, 2014, akiwa katika ziara ya kikazi. (Picha na OMR).
Mwandishi Maalum, Tokyo
Serikali ya Japan imeelezea nia yake ya kuendelea kuchangia bajeti ya Tanzania na kufafanua kuwa, inafanya hivyo kwa kutambua kuwa Tanzania ni mshirika mkubwa wa maendeleo na kwamba ni nchi yenye kutia...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo18 Jul
Ufaransa yaahidi kuendelea kushirikiana na Tanzania
BALOZI wa Ufaransa nchini, Melika Berak amesema kwamba taifa lake litaendeleza ushirikiano mzuri ilionao na Tanzania kwa manufaa ya pande zote mbili.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-O21khiza4CE/Xm0kwR8cAXI/AAAAAAALjro/PZ3lbt8PX5YQM0jfJs_reLQU7-mSnAU-wCLcBGAsYHQ/s72-c/6-17-768x513.jpg)
Vodacom Tanzania Yaahidi kuendelea kusaidia Wabunifu Nchini
![](https://1.bp.blogspot.com/-O21khiza4CE/Xm0kwR8cAXI/AAAAAAALjro/PZ3lbt8PX5YQM0jfJs_reLQU7-mSnAU-wCLcBGAsYHQ/s640/6-17-768x513.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-aXNdB63RUvQ/Xm0kkv0ReNI/AAAAAAAEGRo/dPcQ4VZgekQ545XXAmGkMzEiPCPpSzzzQCLcBGAsYHQ/s640/1-1-5-768x513.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-A4SE0SHIxow/U6Aidn5X7XI/AAAAAAAFrNs/VyibP6tRO6A/s72-c/unnamed+(39).jpg)
TANZANIA YAPATA BILIONI 24.1 TOKA JAPAN KUSAIDIA BAJETI YA SERIKALI
10 years ago
Habarileo28 Mar
China yaahidi kuendelea kuisaidia Zanzibar
SERIKALI ya Jamhuri ya Watu wa China, imeahidi kuendelea kuunga mkono Zanzibar katika kuimarisha miradi yake ya maendeleo na ushirikiano wa muda mrefu ulioasisiwa na viongozi wake wakuu.
10 years ago
Habarileo18 Aug
TSN yaahidi kuendelea kuandika habari za wananchi
KAMPUNI ya Tanzania Standard Newspapers (TSN) Ltd imesisitiza kuendelea kujikita zaidi katika kuandika habari za wananchi zisizojadili watu.
10 years ago
Mtanzania12 Mar
Wahisani wakubali kuchangia bajeti
SHAMIMU MATTAKA (DACICO)
HATUA zilizochukuliwa na serikali dhidi ya waliochota zaidi ya Sh bilioni 200 kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow zimesaidia Tanzania kukubaliwa kupewa Sh bilioni 71 na wahisani wa Maendeleo katika bajeti ijayo ya 2015/2016.
Waziri wa Fedha, Saada Mkuya alisema Dar es Salaam jana kwamba wahisani hao wamefikia hatua hiyo baada ya kuridhishwa na hatua zilizochukuliwa na serikali dhidi ya watuhumiwa.
“Baada ya suala hilo Tanzania ilikuwa katika sura ambayo si nzuri lakini...
10 years ago
Dewji Blog12 Feb
Magufuli amshukuru Balozi wa Japan nchini kuchangia miradi ya maendeleo
Balozi wa Japan nchini, Mh. Masaki Okada (kulia) na Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Dkt. Hussein Kidanto wakitiliana saini mkataba wa fedha za ruzuku shilingi milioni 70/ zilizotolewa na serikali ya Japan kwa ajili ya kununua magari mawili ya wagonjwa (Ambulance). Tukio hilo lilishuhudiwa na viongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili pamoja na Mkurugenzi wa Hospitali hiyo aliyemaliza muda wake Dkt. Marina Njelekela.(Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog).
Na...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/02/DSC_0393.jpg)
MAGUFULI AMSHUKURU BALOZI WA JAPAN NCHINI KUCHANGIA MIRADI YA MAENDELEO
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-SsWOYbsWrHg/VDjRxyQusCI/AAAAAAAGpGY/dYaalfrhr9Y/s72-c/2-987340de94.jpg)
Ubalozi Wa Tanzania Japan Waipaisha Kahawa Kilimanjaro Kwenye Treini Ziendazo Kasi Japan
![](http://1.bp.blogspot.com/-SsWOYbsWrHg/VDjRxyQusCI/AAAAAAAGpGY/dYaalfrhr9Y/s1600/2-987340de94.jpg)