China yaahidi kuendelea kuisaidia Zanzibar
SERIKALI ya Jamhuri ya Watu wa China, imeahidi kuendelea kuunga mkono Zanzibar katika kuimarisha miradi yake ya maendeleo na ushirikiano wa muda mrefu ulioasisiwa na viongozi wake wakuu.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi02 May
Fifa yaahidi kuisaidia Cecafa
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-V3yTXcl0SQ4/Xp8XooEZfdI/AAAAAAALnv4/TdO8Ouf8WCUV3LkofcAJcAgJScSXQuKAgCLcBGAsYHQ/s72-c/90456ca51a0b84befec7b94cdd39a9d3.jpg)
UFARANSA YAAHIDI KUISAIDIA TANZANIA, AFRIKA KATIKA MAPAMBANO YA CORONA
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
UFARANSA imesema kuwa imeadhimia zimia kuisaidia Afrika na Tanzania katika mapambana na maambukizi ya Covid-19 huku ikisisitiza kuwa imeweka nguvu zaidi kwenye ambazo ziko hatarini zaidi.
Kwa mujibu wa Ufaransa ni kwamba Aprili 8 mwaka huu kupitia Rais wa nchi hiyo Emmanuel Macron ilitangaza kutoa msaada wa Sh.Euro bilioni 1.2 ili Kupambana na maambukizi ya Covid-19 katika Bara la Afrika.
Taarifa iliyotolewa leo kwa vyombo vya habari na Kitengo Cha Mawasiliano cha ...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-V3yTXcl0SQ4/Xp8XooEZfdI/AAAAAAALnv4/TdO8Ouf8WCUV3LkofcAJcAgJScSXQuKAgCLcBGAsYHQ/s72-c/90456ca51a0b84befec7b94cdd39a9d3.jpg)
UFARANSA YAAHIDI KUISAIDIA TANZANIA, AFRIKA KATIKA MAPAMBANO YA CORONA
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
UFARANSA imesema kuwa imeadhimia zimia kuisaidia Afrika na Tanzania katika mapambana na maambukizi ya Covid-19 huku ikisisitiza kuwa imeweka nguvu zaidi kwenye ambazo ziko hatarini zaidi.
Kwa mujibu wa Ufaransa ni kwamba Aprili 8 mwaka huu kupitia Rais wa nchi hiyo Emmanuel Macron ilitangaza kutoa msaada wa Sh.Euro bilioni 1.2 ili Kupambana na maambukizi ya Covid-19 katika Bara la Afrika.
Taarifa iliyotolewa leo kwa vyombo vya habari na Kitengo Cha Mawasiliano cha ...
10 years ago
Dewji Blog30 Mar
UN kuendelea kuisaidia Tanzania kutanzua changamoto za maendeleo
Mgeni rasmi Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Dk. Servacius Likwelile (katikati) akiwasili katika ukumbi wa mikutano kwenye hoteli ya Hyatt Regency akiwa ameambatana na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi Huru ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF), Dk. Hoseana Lunogelo (kulia) pamoja na Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Alvaro Rodriguez kwa ajili ya kuzindua rasmi ripoti ya Maendeleo ya Binadamu 2014 Tanzania,...
10 years ago
Michuzi07 Nov
TANZANIA KUENDELEA KUHIFADHI MISITU KUISAIDIA DUNIA
![GU9A7961](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/p4iBL5QA1d2RSSKnJUvKuBH15qGUzupryQ__UzjDkCdpgSMkNVQqJdAAi1UH5pdYTeHzp1Ejic9jNuUbes-6zOVF_ltgyXz6AHumrYYqF7claA=s0-d-e1-ft#http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/GU9A7961.jpg)
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/GU9A7905.jpg)
TANZANIA KUENDELEA KUHIFADHI MISITU KUISAIDIA DUNIA
10 years ago
Habarileo18 Jul
Ufaransa yaahidi kuendelea kushirikiana na Tanzania
BALOZI wa Ufaransa nchini, Melika Berak amesema kwamba taifa lake litaendeleza ushirikiano mzuri ilionao na Tanzania kwa manufaa ya pande zote mbili.
10 years ago
Habarileo18 Aug
TSN yaahidi kuendelea kuandika habari za wananchi
KAMPUNI ya Tanzania Standard Newspapers (TSN) Ltd imesisitiza kuendelea kujikita zaidi katika kuandika habari za wananchi zisizojadili watu.
11 years ago
Dewji Blog21 May
Japan yaahidi kuendelea kuchangia Bajeti ya Tanzania
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika mazungumzo na Katibu Mkuu Kiongozi wa Japan, Yoshihiro Suga, wakati alipofika ofisini kwake Jijini Tokyo Japan leo Mei 21, 2014, akiwa katika ziara ya kikazi. (Picha na OMR).
Mwandishi Maalum, Tokyo
Serikali ya Japan imeelezea nia yake ya kuendelea kuchangia bajeti ya Tanzania na kufafanua kuwa, inafanya hivyo kwa kutambua kuwa Tanzania ni mshirika mkubwa wa maendeleo na kwamba ni nchi yenye kutia...