Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UN kuendelea kuisaidia Tanzania kutanzua changamoto za maendeleo

DSC_0065

 Mgeni rasmi Katibu Mkuu Wizara ya Fedha,  Dk. Servacius Likwelile (katikati) akiwasili katika ukumbi wa mikutano kwenye hoteli ya Hyatt Regency akiwa ameambatana na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi Huru ya Utafiti wa Uchumi na Jamii (ESRF), Dk. Hoseana Lunogelo (kulia) pamoja na Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Alvaro Rodriguez kwa ajili ya kuzindua rasmi ripoti ya Maendeleo ya Binadamu 2014 Tanzania,...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

TANZANIA KUENDELEA KUHIFADHI MISITU KUISAIDIA DUNIA

GU9A7961Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais anayeshughulikia Mazingira , Mh. Binilith Mahenge akisamiana na Mwenyekiti mwenza wa Mkutano wa UN-REDD Kutoka mashirika ya Umoja wa Mataifa Eduardo Rojas ambaye ni Mkurugenzi Mkuu Msaidizi anayeshughulikia masuala ya misitu kutoka Shirika la Chakula na Kilimo Duniani (FAO) mara baada ya kuwasili kwenye ukumbi wa mikutano kufungua kikao cha 13 cha wadau wanaotekeleza program ya kutunza misitu ya Umoja wa Mataifa REDD+ kinachofanyika Ngurdoto Jijini...

 

10 years ago

GPL

TANZANIA KUENDELEA KUHIFADHI MISITU KUISAIDIA DUNIA‏

Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (katikati) akibadilishana mawazo na kushoto ni Mwenyekiti mwenza wa Mkutano wa UN-REDD Kutoka mashirika ya Umoja wa Mataifa Eduardo Rojas ambaye ni Mkurugenzi Mkuu Msaidizi anayeshughulikia masuala ya misitu kutoka Shirika la Chakula na Kilimo Duniani (FAO) na kulia ni Charles McNeill, UN-REDD...

 

10 years ago

Habarileo

China yaahidi kuendelea kuisaidia Zanzibar

SERIKALI ya Jamhuri ya Watu wa China, imeahidi kuendelea kuunga mkono Zanzibar katika kuimarisha miradi yake ya maendeleo na ushirikiano wa muda mrefu ulioasisiwa na viongozi wake wakuu.

 

10 years ago

Dewji Blog

Tanzania yashiriki mkutano wa kujadili changamoto za maendeleo Afrika mjini Abijah-Ivory Coast

IMG_8637

Gavana wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Katika Benki ya Maendeleo ya Afrika, Dkt. Servicus B.Likwelile ambaye pia ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali akisikiliza majadiliano kwenye kikao cha magava wa nchi za Afrika wakati wa kujadili masuala mbalimbali ya maendeleo Mjini Abijah-Ivory.

IMG_8630

Rais wa Benki wa Maendeleo ya Afrika (AfDB) Dkt. Donald Kaberuka akiwa kwenye kikao na Magavana wa Afrika wakijadiliana changamoto mbalimbali za maendeleo zilizojitoketeza katika...

 

9 years ago

Michuzi

JKT KUENDELEA KUBORESHA CHANGAMOTO MBALIMBALI

Mkuu wa kambi ya JKT Burombola Luteni Kanali Mketo akizungumza katika sherehe ya kufunga mafunzo ya mujibu wa sheria kwa vijana waliomaliza kidato cha sita mafunzo yaliyofanyika kwenye kambi ya Burombola wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma.

Baadhi ya vijana waliomaliza mafunzi ya JKT kwenye kambi ya Burombola wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma
picha na editha Karlo
   
           
   Na Editha Karlo,Kigoma
MKUU wa Jeshi la kujenga Taifa Meja Jenerali Raphael Muhuga alisema kuwa jeshi hilo...

 

9 years ago

Michuzi

Serikali kuendelea kushirikiana na Vijana katika kutatua changamoto zao

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Profesa Elisante Ole Gabriel akizungumza na Vijana wa Tanzania walioshiriki mkutano wa tatu wa Vijana kutoka nchi za Bonde la Mto Nile (hawapo pichani) uliofanyika nchini Misri kuanzia tarehe 6 – 14 Novemba 2015 ukiwa na lengo la kubadilishana uzoefu kutoka nchi washiriki. Kulia ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya Vijana Bw. James Kajugusi Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Profesa Elisante Ole Gabriel...

 

10 years ago

BBCSwahili

Umaskini bado changamoto kwa maendeleo

UNICEF lasema watoto milioni kadhaa wamebaki katika umaskini na kufariki kabla ya kufikisha umri wa miaka mitano.

 

10 years ago

Habarileo

Tanzania kuisaidia Sierra Leone

SERIKALI ya Sierra Leone imesema ipo tayari kwa msaada wa Tanzania kuanzisha Mfuko wa Taifa wa Bima ya Taifa , ikiwa ni moja ya hatua za serikali ya nchi hiyo kuhudumia makundi yasiyojiweza.

 

11 years ago

Mwananchi

Ujerumani kuisaidia Tanzania bil 121

Tanzania na Shirikisho la Ujerumani zimesaini makubaliano ya msaada wa fedha Euro55.5 milioni (Sh121.8 bilioni) kwa ajili ya kusaidia Sekta ya Umeme, Maji na Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani