Umaskini bado changamoto kwa maendeleo
UNICEF lasema watoto milioni kadhaa wamebaki katika umaskini na kufariki kabla ya kufikisha umri wa miaka mitano.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog21 Oct
SMZ yaipongeza UN kwa kuwezesha fursa za kupunguza umaskini na kuinua maendeleo visiwani humo
Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP) nchini, Awa Dabo (kulia) na Mkuu wa ofisi ndogo ya Umoja wa Mataifa Zanzibar, Anna Senga (katikati) wakimkaribisha mmoja wa wageni waalikwa katika sherehe za kutimiza miaka 70 tangu kuanzishwa kwa Umoja wa Mataifa iliyofanyika katika Hoteli ya Serena Shangani Mjini Zanzibar mwishoni mwa wiki.(Picha na Zainul Mzige wa Modewjiblog).
Na Mwandishi wetu, Zanzibar
SERIKALI ya mapinduzi Zanzibar imesema kuwa itaendelea kuthamini...
10 years ago
BBCSwahili06 Oct
Umaskini bado jinamizi duniani
10 years ago
Dewji Blog03 Dec
Uwezo wa vyuo vikuu kuchukua wanafunzi wa sayansi bado changamoto kwa Tanzania kutimiza malengo ya EFA
Waziri wa Elimu na Mfunzo ya Ufundi nchini Tanzania Mh. Dkt. Shukuru Kawambwa akifungua mkutano wa kimataifa wa kutathmini mafanikio na changamoto za utekelezaji wa malengo ya Mpango wa Kimataifa wa Elimu kwa Wote-EFA uliofanyika jijini Dar Es Salaam ambapo amesema tangu mwaka 2000 Tanzania imepiga hatua kubwa katika kuelekea kutimiza malengo ya Mpango huo ikiwa ni utashi wa kisiasa na kuwajibika vikisaidiwa na kujitolea kwa wadau wa sekta ya elimu pamoja na washirika wa maendeleo.(Picha...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/12/DSC_0341.jpg?width=650)
UWEZO WA VYUO VIKUU KUCHUKUA WANAFUNZI WA SAYANSI BADO CHANGAMOTO KWA TANZANIA KUTIMIZA MALENGO YA EFA
10 years ago
Habarileo05 Apr
‘Ajira bado ni changamoto’
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amekiri kuwepo kwa changamoto ya ajira nchini kutokana na taasisi nyingi kukosa uwezo wa kuajiri hapa nchini.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nv-Uj_LIMT0/XoW5YxdsgCI/AAAAAAAAI8A/O99gkgiGZlIV44INsbplaCgauiUKjgDKACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200401_122502_249.jpg)
CHANGAMOTO YA FLORIDE BADO NI KUBWA ARUMERU
![](https://1.bp.blogspot.com/-nv-Uj_LIMT0/XoW5YxdsgCI/AAAAAAAAI8A/O99gkgiGZlIV44INsbplaCgauiUKjgDKACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200401_122502_249.jpg)
Mkurugenzi wa Ngauwsa akitoa Maelezo ya Mradi wa kutibu Floradi unaondeshwa na mamlaka ya maji Safi mji mdogo wa Ngaramtoni uliofadhiliwa na shirika la Maendeleo na misaada la Uingereza Uk aid kwa vijiji vitano vya Ngaramtoni kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Auwsa Mwanasheria Edward Mroso Jana wilaani Arumeru.
![](https://1.bp.blogspot.com/-LGQi-KXWKPw/XoW5ZIew2YI/AAAAAAAAI8I/PgYWj6fLTpQdDllPhAvq1KSUXqHzCgkJgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200401_122555_568.jpg)
Sehemu ya tanki la maji Safi yaliotibiwa kwenye mradi wa vijiji vitano kuondoa floride kwenye maji uliofadhiliwa na Ukaid uliokabidhiwa kwa Auwsa Jana wilayani Arumeru picha zote na Ahmed...
10 years ago
Mwananchi11 Jul
Hongera Rais Kikwete, changamoto bado nyingi
9 years ago
StarTV21 Dec
Upatikanaji wa walimu wa ufundi stadi bado changamoto
Ukosefu wa ajira ya moja kwa moja kutoka Serikalini kwa walimu wenye taaluma ya ufundi stadi, imeelezwa bado ni changamoto kubwa inayowakabili walimu hao, hatua inayosababisha baadhi ya vyuo vya Ufundi stadi nchini, kuajiri walimu wasio na sifa zinazojitosheleza katika kada hiyo.
Mpaka sasa Tanzania ina chuo kimoja pekee, kinachofundisha ualimu wa ufundi stadi, huku changamoto ya soko la ajira kwa wahitimu wanaomaliza katika chuo hicho bado halijatafutiwa utatuzi.
Tanzania iko katika...
9 years ago
StarTV02 Oct
Uhaba wa walimu, malipo, vitendea kazi bado changamoto
Changamoto zinazoikabili sekta ya elimu nchini zinachangia kurudisha nyuma sekta hiyo na kusababisha wanafunzi kutotambua mahitaji yao baada ya kuhitimu masomo.
Miongoni mwa changamoto hizo ni pamoja na uhaba wa walimu, uwepo wa mitaala isiyokidhi mahitaji ya kielimu, ucheleweshwaji wa malipo kwa walimu na uhaba wa vitabu na vitendea kazi mashuleni.
Changamoto nyingine ni mazingira magumu ya kazi kwa walimu, wingi wa idadi ya masomo kwa wanafunzi pamoja na urundikanaji wa watoto...