Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHANGAMOTO YA FLORIDE BADO NI KUBWA ARUMERU


Mkurugenzi wa Ngauwsa akitoa Maelezo ya Mradi wa kutibu Floradi unaondeshwa na mamlaka ya maji Safi mji mdogo wa Ngaramtoni uliofadhiliwa na shirika la Maendeleo na misaada la Uingereza Uk aid kwa vijiji vitano vya Ngaramtoni kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Auwsa Mwanasheria Edward Mroso Jana wilaani Arumeru.

Sehemu ya tanki la maji Safi yaliotibiwa kwenye mradi wa vijiji vitano kuondoa floride kwenye maji uliofadhiliwa na Ukaid uliokabidhiwa kwa Auwsa Jana wilayani Arumeru picha zote na Ahmed...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

‘Ajira bado ni changamoto’

WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amekiri kuwepo kwa changamoto ya ajira nchini kutokana na taasisi nyingi kukosa uwezo wa kuajiri hapa nchini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Umaskini bado changamoto kwa maendeleo

UNICEF lasema watoto milioni kadhaa wamebaki katika umaskini na kufariki kabla ya kufikisha umri wa miaka mitano.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Unga’ changamoto kubwa viwanja vya ndege

MAMLAKA ya Viwanja vya Ndege Tanzania imekiri kuwepo kwa changamoto kubwa ya upitishwaji wa dawa za kulevya katika viwanja vya ndege hasa cha Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam...

 

9 years ago

StarTV

Upatikanaji wa walimu wa ufundi stadi bado changamoto

 

Ukosefu wa ajira ya moja kwa moja kutoka Serikalini kwa walimu wenye taaluma ya ufundi stadi, imeelezwa bado ni changamoto kubwa inayowakabili walimu hao, hatua inayosababisha baadhi ya vyuo vya Ufundi stadi nchini, kuajiri walimu wasio na sifa zinazojitosheleza katika kada hiyo.

Mpaka sasa Tanzania ina chuo kimoja pekee, kinachofundisha ualimu wa ufundi stadi, huku changamoto ya soko la ajira kwa wahitimu wanaomaliza katika chuo hicho bado halijatafutiwa utatuzi.

Tanzania iko katika...

 

10 years ago

Mwananchi

Hongera Rais Kikwete, changamoto bado nyingi

Rais Jakaya Kikwete juzi alihutubia Bunge la 10 kwa lengo la kuliaga na kulivunja rasmi kuashiria kuweka mazingira kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu ambao utatoa Bunge la kumi na moja.

 

9 years ago

StarTV

Uhaba wa walimu, malipo, vitendea kazi bado changamoto

Changamoto zinazoikabili sekta ya elimu nchini zinachangia kurudisha nyuma sekta hiyo na kusababisha wanafunzi kutotambua mahitaji yao baada ya kuhitimu masomo.

Miongoni mwa changamoto hizo ni pamoja na uhaba wa walimu, uwepo wa mitaala isiyokidhi mahitaji ya kielimu, ucheleweshwaji wa malipo kwa walimu na uhaba wa vitabu na vitendea kazi mashuleni.

Changamoto nyingine ni mazingira magumu ya kazi kwa walimu, wingi wa idadi ya masomo kwa wanafunzi pamoja na urundikanaji wa watoto...

 

10 years ago

Habarileo

Waziri: Ukeketaji bado ni tatizo kubwa

WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia SimbaWAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba amesema ukatili wa kijinsia bado ni changamoto kubwa nchini ambapo suala la ukeketaji bado linatisha huku utafiti ukionesha kwamba kati ya wasichana watano, wawili wanaolewa kabla ya kufikisha umri wa miaka 18.

 

10 years ago

Dewji Blog

Shule ya msingi Misufini yafikisha miaka 40, yakabiliwa na changamoto kubwa

IMG_0016 

Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood  Akikagua Mazingira Mbalimbali ya Shule ya Msingi Misufini. kwenye Sherehe za Mazimisho ya Miaka 4o Tangu kuanzishwa Kwa Shule ya Msingi Misufini Iliyopo Manispaa ya Morogoro.Katika Maadhimisho Hayo Mbunge wa Jimbo Hilo alifanya Ukaguzi na Kuikuta Shule Hiyo Ikiwa Katika Hali Mbaya Vyumba vya Madarasa ni Chakavu,Havina Milango Wala Madirisha Licha Ya shulie Hiyo Kuafulisha wanafunzi kwa Kiwango Kikukbwa Ndani ya Wilaya ya Morogoro Mjini. 

 

11 years ago

Habarileo

Ugaidi bado ni tishio kubwa EAC - Kenyatta

RAIS wa Kenya ambaye pia ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Uhuru Kenyatta amesihi nchi wanachama kushirikiana dhidi ya ugaidi na ujangili, kwa kuwa hakuna nchi yoyote inayoweza kujiona ipo huru zaidi kuhusu matukio hayo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani