‘Ajira bado ni changamoto’
WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amekiri kuwepo kwa changamoto ya ajira nchini kutokana na taasisi nyingi kukosa uwezo wa kuajiri hapa nchini.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili06 Jul
Umaskini bado changamoto kwa maendeleo
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nv-Uj_LIMT0/XoW5YxdsgCI/AAAAAAAAI8A/O99gkgiGZlIV44INsbplaCgauiUKjgDKACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200401_122502_249.jpg)
CHANGAMOTO YA FLORIDE BADO NI KUBWA ARUMERU
![](https://1.bp.blogspot.com/-nv-Uj_LIMT0/XoW5YxdsgCI/AAAAAAAAI8A/O99gkgiGZlIV44INsbplaCgauiUKjgDKACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200401_122502_249.jpg)
Mkurugenzi wa Ngauwsa akitoa Maelezo ya Mradi wa kutibu Floradi unaondeshwa na mamlaka ya maji Safi mji mdogo wa Ngaramtoni uliofadhiliwa na shirika la Maendeleo na misaada la Uingereza Uk aid kwa vijiji vitano vya Ngaramtoni kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Auwsa Mwanasheria Edward Mroso Jana wilaani Arumeru.
![](https://1.bp.blogspot.com/-LGQi-KXWKPw/XoW5ZIew2YI/AAAAAAAAI8I/PgYWj6fLTpQdDllPhAvq1KSUXqHzCgkJgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200401_122555_568.jpg)
Sehemu ya tanki la maji Safi yaliotibiwa kwenye mradi wa vijiji vitano kuondoa floride kwenye maji uliofadhiliwa na Ukaid uliokabidhiwa kwa Auwsa Jana wilayani Arumeru picha zote na Ahmed...
9 years ago
StarTV21 Dec
Upatikanaji wa walimu wa ufundi stadi bado changamoto
Ukosefu wa ajira ya moja kwa moja kutoka Serikalini kwa walimu wenye taaluma ya ufundi stadi, imeelezwa bado ni changamoto kubwa inayowakabili walimu hao, hatua inayosababisha baadhi ya vyuo vya Ufundi stadi nchini, kuajiri walimu wasio na sifa zinazojitosheleza katika kada hiyo.
Mpaka sasa Tanzania ina chuo kimoja pekee, kinachofundisha ualimu wa ufundi stadi, huku changamoto ya soko la ajira kwa wahitimu wanaomaliza katika chuo hicho bado halijatafutiwa utatuzi.
Tanzania iko katika...
10 years ago
Mwananchi11 Jul
Hongera Rais Kikwete, changamoto bado nyingi
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fXU_0jQNpPk/VDZOGZAxwyI/AAAAAAACsgA/47WgSB-ZjZs/s72-c/WK1a.jpg)
Serikali yaweka Mkakati kupunguza changamoto ya ajira kwa Vijana
![](http://4.bp.blogspot.com/-fXU_0jQNpPk/VDZOGZAxwyI/AAAAAAACsgA/47WgSB-ZjZs/s1600/WK1a.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1LDh9hALUXM/VDZOGbXkiFI/AAAAAAACsgI/Hybhy2Q-gRI/s1600/WK1b.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-PTCMk0rTxFI/VDZOGcwJA6I/AAAAAAACsgE/Pvm2Ng4glAM/s1600/WK1c.jpg)
9 years ago
Dewji Blog19 Sep
Serikali yakiri changamoto licha ya mafanikio ajira kwa vijana
Meza kuu katika warsha ya vijana na ajira iliyofadhiliwa na Mpango wa Shirika la Utafiti wa Maendeleo ya Kimataifa kutoka Canada (IDRC) na kuratibiwa na ESRF. Kutoka kushoto ni Afisa kutoka Wizara ya Kazi na Ajira kitengo cha Ajira, Joseph Nganga, Mkurugenzi wa Kazi katika Wizara ya Kazi na Ajira, Ally M. Ahmed,
Mkurugenzi wa Salama Foundation, Shadrack John Msuya akiwasilisha mapendekezo ya vijana juu ya namna ambavyo vipaji, elimu na ubunifu vinavyoweza kutengeneza ajira...
9 years ago
StarTV02 Oct
Uhaba wa walimu, malipo, vitendea kazi bado changamoto
Changamoto zinazoikabili sekta ya elimu nchini zinachangia kurudisha nyuma sekta hiyo na kusababisha wanafunzi kutotambua mahitaji yao baada ya kuhitimu masomo.
Miongoni mwa changamoto hizo ni pamoja na uhaba wa walimu, uwepo wa mitaala isiyokidhi mahitaji ya kielimu, ucheleweshwaji wa malipo kwa walimu na uhaba wa vitabu na vitendea kazi mashuleni.
Changamoto nyingine ni mazingira magumu ya kazi kwa walimu, wingi wa idadi ya masomo kwa wanafunzi pamoja na urundikanaji wa watoto...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-w55KenLOtUI/XmDeIRgDBBI/AAAAAAABMds/0MdjxeYJ5ysAOkWu9WWJZ4eM_dSR3rVvwCNcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200305-WA0042.jpg)
SEKTA YA AJIRA IMEBAKI KUWA CHANGAMOTO KIDUNIA,NBC WAPEWA TUZO
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Sulubu Hassan amesema ukosefu wa ajira kwa vijana umebaki kuwa changamoto ya kidunia na kwa mujibu wa taarifa za Shirika la Kazi Duniani (ILO).
Amesema Kuhusu mwenendo wa soko la ajira kwa mwaka huu inaonesha zaidi ya watu Milioni 187.7 duniani hawana kazi.
Samia amesema katika Jumuiya ya SADC inakadiriwa kuwa zaidi ya asilimia 60 ya nguvu kazi ni vijana hivyo hawana budi kuitumia ipasvyo katika kukuza...
10 years ago
Tanzania Daima03 Oct
‘Tanzania bado haijaridhia kuondoa vikwazo vya ajira’
KATIBU wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (Tucta), Nicholaus Mgaya, amesema Tanzania bado haijaridhia kuondoa vikwazo vyote vya ajira kutokana na kutokamilika uhakiki wa wafanyakazi wote na mahitaji yaliyopo....