Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Tanzania bado haijaridhia kuondoa vikwazo vya ajira’

KATIBU wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (Tucta), Nicholaus Mgaya, amesema Tanzania bado haijaridhia kuondoa vikwazo vyote vya ajira kutokana na kutokamilika uhakiki wa wafanyakazi wote na mahitaji yaliyopo....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

EAC yatakiwa kuondoa vikwazo vya ajira

Serikali za nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki zimeshauriwa kuondoa vikwazo vya ajira kwa walimu wa masomo ya Kiingereza, Kifaransa na Kiswahili ili kusaidia kukuza sekta ya elimu kwa nchi wanachama.

 

10 years ago

Mwananchi

Sadc watakiwa kuondoa vikwazo vya kibiashara

Nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo (Sadc) zimetakiwa kuondolewa kanuni na vikwazo vinavyokwamisha biashara baina ya nchi hizo.

 

9 years ago

StarTV

Mgufuli ahidi kuboresha uchumi wa nchi kwa kuondoa vikwazo Tanzania na Kenya

Mgombea Uraisi kwa Tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM Dokta John Pombe Magufuli amesema atakapoingia madarakani atahakikisha  anasimamia fursa zilizopo za kibiashara baina ya nchi jirani ya Kenya kwa kuondoa vikwazo kwa lengo la kuimarisha uchumi wa nchi hizo mbili.

Kenya ni moja ya nchi ambazo uchumi wake unakuwa kwa kasi,hivyo kufunguliwa kwa fursa za kibiashara kutasaidia kukuza uchumi wa nchi zote mbili.

Kadri siku zinavyojongea kufanyika kwa uchaguzi mkuu Octoba 25 mwaka huu,vyama...

 

11 years ago

Mwananchi

EAC watakiwa kuondoa vikwazo vipya

Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Dk Richard Sezibera amezitaka nchi wanachama kuondoa vikwazo vipya vya biashara kwenye mitaji, bidhaa na huduma vilivyoanzishwa baada ya kuanza utekelezaji wa soko la pamoja miongoni mwa nchi wanachama.

 

10 years ago

BBCSwahili

Maduro aitaka Marekani kuondoa vikwazo

Rais Nicholas Maduro wa Venezuela anampelekea barua rais Obama kumtaka awaondolee vikwazo maafisa wa nchi yake.

 

9 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU ASEMA SERIKALI HAIJARIDHIA VIWANGO VIPYA VYA NAULI YA MABASI YAENDAYO KASI.


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizunguza na Waandishi wa Habari kwenye uwanja wa Ngege wa Julius Nyerere baada ya kuwasili akitoka Songea Januari 6, 2016. Kushoto ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Geoge Simbachawene. na kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es slaam Meck Sadiki.Baadhi ya waandishi wa habari wananchi wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kwenye uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere baada ya kuwasili akitoka Songea Januari 6, 2016. (PIcha na...

 

9 years ago

Mwananchi

Tuzo za kampuni 100 bora zilivyoibua vikwazo vya kukua uchumi Tanzania

Miaka 30 baada ya Tanzania kufanya mabadiliko ya kiuchumi kwa kuruhusu uchumi huria unaoshirikisha sekta binafsi, idadi ya kampuni binafsi nazo imeongezeka kwa kasi.

 

10 years ago

Michuzi

Restless Development yatoa mbinu kwa vijana Kilimanjaro kukabiliana na vikwazo katika soko la ajira

Wanafunzi wa chuo cha Kilimanjaro Institute of Technology and Management wakiwasikiliza walimu wa kujitolea kutoka Restless Development(walioko mbele yao) kuhusu maarifa ya kupata kazi  
 Wanafunzi wa chuo cha Kilimanjaro Institute of Technology and Management wakifundishwa na walimu wa kujitolea kutoka Restless Development Gemma Bunn (wa kwanza kushoto )na Jonathan Aquilina ( wa pili kulia ) kuhusu maarifa ya kupata kazi. Kwa habari kamili BOFYA HAPA.

 

10 years ago

Habarileo

‘Ajira bado ni changamoto’

WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa amekiri kuwepo kwa changamoto ya ajira nchini kutokana na taasisi nyingi kukosa uwezo wa kuajiri hapa nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani