Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tuzo za kampuni 100 bora zilivyoibua vikwazo vya kukua uchumi Tanzania

Miaka 30 baada ya Tanzania kufanya mabadiliko ya kiuchumi kwa kuruhusu uchumi huria unaoshirikisha sekta binafsi, idadi ya kampuni binafsi nazo imeongezeka kwa kasi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mchakato wa kampuni 100 bora waanza

>Mchakato wa kutafuta kampuni 100 bora za kiwango cha kati nchini kwa mwaka huu, umeanza na kampuni mbalimbali zitafanyiwa utafiti kubaini viwango vyao vya ukuaji kibiashara.

 

10 years ago

Mwananchi

Ushiriki kampuni 100 bora waongezeka

Utafiti wa kampuni 100 bora zenye ukubwa wa kati umeingia katika sehemu yake ya nne mwaka huu kukiwa na ongezeko la asilimia 30 ya ushiriki wa wafanyabiashara kutoka mikoani.

 

9 years ago

Mwananchi

Kampuni bora 100 za kati kujulikana leo

Kampuni za kati zilizoshika nafasi 100 za juu nchini zitajulikana leo wakati matokeo ya utafiti na taasisi ya Research Solutions Africa yatakapotangazwa.

 

9 years ago

StarTV

Mgufuli ahidi kuboresha uchumi wa nchi kwa kuondoa vikwazo Tanzania na Kenya

Mgombea Uraisi kwa Tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM Dokta John Pombe Magufuli amesema atakapoingia madarakani atahakikisha  anasimamia fursa zilizopo za kibiashara baina ya nchi jirani ya Kenya kwa kuondoa vikwazo kwa lengo la kuimarisha uchumi wa nchi hizo mbili.

Kenya ni moja ya nchi ambazo uchumi wake unakuwa kwa kasi,hivyo kufunguliwa kwa fursa za kibiashara kutasaidia kukuza uchumi wa nchi zote mbili.

Kadri siku zinavyojongea kufanyika kwa uchaguzi mkuu Octoba 25 mwaka huu,vyama...

 

10 years ago

Habarileo

Bilal mgeni rasmi tuzo kwa kampuni bora

Makamu wa Rais, Dk Ghalib BilalMAKAMU wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika hafla ya kutoa tuzo kwa kampuni bora kwa mwaka 2014.

 

10 years ago

Vijimambo

KAMPUNI YA KONYAGI YANYAKUWA TUZO MBILI ZA ULIPAJI KODI BORA NCHINI

Mkurugenzi wa Fedha wa TDL, Bwana Michael Brown (KUSHOTO) akipokea Ngao ya ushindi kwa TDL baada ya kuibuka mshindi wa kwanza kama Mlipa Kodi Bora katika kundi la Viwanda, na Naibu Waziri wa viwanda na Biashara Bw Kigoma malima ndie anaemkabidhi tuzo hiyo. KONYAGI ilinyakuwa tuzo mbili za ulipaji kodi boraWaziri Kiongozi mstaafu Vuai Nahodha akimkabidhi Mkurugenzi wa Fedha wa kampuni ya TDL watengenezaji wa KONYAGI bw. Michael Brown Tuzo ya Mshindi wa Jumla ya Mlipa Kodi Bora katika hafla...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya vifaa vya kielektroniki Samsung yalenga kukuza uchumi wa jiji la Arusha

Mike-and-Nawaz-Swahili

Kampuni ya Samsung inazindua rasmi  duka kubwa na kituo chake cha huduma kwa wateja lililopo barabara ya Sokoine mjini Arusha siku ya leo. Uzinduzi huo utawawezesha wateja wake wote mkoani Arusha kupata huduma stahiki na bidhaa halisi za Samsung. Kituo hiki ni cha kwanza kuzinduliwa mkoani Arusha na kampuni hii yenye idadi kubwa ya watumiaji na vifaa bora vya kielektroniki ulimwenguni.

“Mtazamo wa maisha ya wateja hubadilika kwa kasi kubwa na kuwafanya kuongeza mahitaji ya bidhaa na huduma...

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Tanzania bado haijaridhia kuondoa vikwazo vya ajira’

KATIBU wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (Tucta), Nicholaus Mgaya, amesema Tanzania bado haijaridhia kuondoa vikwazo vyote vya ajira kutokana na kutokamilika uhakiki wa wafanyakazi wote na mahitaji yaliyopo....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani