Kampuni bora 100 za kati kujulikana leo
Kampuni za kati zilizoshika nafasi 100 za juu nchini zitajulikana leo wakati matokeo ya utafiti na taasisi ya Research Solutions Africa yatakapotangazwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi01 Dec
Kipipa Millers: Kinara kati ya kampuni 100 za kati nchini
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Wdk-9Zfi1k5ceZy19va9sTNbD4RS2Qv8-AWsiPH8W1Fbpp8KhM8K*HsFaTRHLbgzLJrCoPIi3NAKYd7ShJEtJu6yjBqlX0qt/nape1.jpg?width=650)
TANO BORA YA CCM KUJULIKANA LEO DODOMA
11 years ago
Mwananchi11 Jul
Mchakato wa kampuni 100 bora waanza
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Ushiriki kampuni 100 bora waongezeka
9 years ago
Mwananchi20 Aug
Tuzo za kampuni 100 bora zilivyoibua vikwazo vya kukua uchumi Tanzania
11 years ago
Mwananchi22 Dec
Hatima ya Rage kujulikana leo
9 years ago
Mtanzania02 Oct
Rufaa ya kina Mramba kujulikana leo
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
HUKUMU ya rufaa iliyokatwa na waliokuwa Waziri wa Fedha, Basil Mramba na Waziri wa Nishati na Madini, Daniel Yona, kupinga adhabu ya vifungo vya miaka mitatu jela inatolewa leo.
Jaji wa Mahakama Kuu, Projest Rugazia wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, anatarajiwa kusoma hukumu hiyo baada ya kusikiliza hoja za pande zote mbili.
Mahakama hiyo pia itatoa hukumu ya rufani iliyokatwa na Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), kupinga hukumu iliyotolewa na Mahakama ya...
10 years ago
Mtanzania15 Jan
Hatima ya Mrema TLP kujulikana leo
Na Michael Sarungi, Asifiwe George,Dar es Salaam
HATIMA ya Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour (TLP), Agustine Mrema kuendelea kuongoza chama hicho inatarajiwa kujulikana leo baada ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi kuingilia kati.
Hatua hiyo imekuja baada ya kundi la wanachama wa TLP kuandika barua ya malalamiko kutaka kufanyika kwa uchaguzi wa ndani ya chama kwa mujibu wa katiba.
Malalamiko hayo yamemlazimu msajili kuingilia kati na kuziita pande mbili...
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-g4Y4StZR2b4/U84CTOZOyeI/AAAAAAAABaI/_SFi62ZgdMg/s72-c/laizer-1.jpg)
Mrithi wa Askofu Laizer kujulikana leo
NA LILIAN JOEL, ARUSHA
ASKOFU mpya wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Kaskazini Kati, anatarajwa kupatikana leo katika Mkutano Mkuu wa 23 wa Dayosisi hiyo utakaohudhuriwa na zaidi ya wajumbe 300.
Wajumbe hao watakaokutana katika Shule ya Sekondari ya Peace House, Matevesi, Kisongo nje kidogo ya jiji la Arusha, watamchagua kiongozi atakayechukua nafasi ya Dk. Thomas Laizer, aliyefariki dunia Februari 6, mwaka jana.
Kwa sasa, nafasi hiyo inakaimiwa na Mchungaji...