Ushiriki kampuni 100 bora waongezeka
Utafiti wa kampuni 100 bora zenye ukubwa wa kati umeingia katika sehemu yake ya nne mwaka huu kukiwa na ongezeko la asilimia 30 ya ushiriki wa wafanyabiashara kutoka mikoani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi11 Jul
Mchakato wa kampuni 100 bora waanza
9 years ago
Mwananchi14 Aug
Kampuni bora 100 za kati kujulikana leo
9 years ago
Mwananchi20 Aug
Tuzo za kampuni 100 bora zilivyoibua vikwazo vya kukua uchumi Tanzania
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tIek3Sfwcdc/Xs0SEul2-_I/AAAAAAALrms/Yq5GY4Bq_zMgJwXSs-W_12-7-5jtNgDewCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
KAMPUNI YA BARRICK YAILIPA SERIKALI DOLA MILIONI 100
![](https://1.bp.blogspot.com/-tIek3Sfwcdc/Xs0SEul2-_I/AAAAAAALrms/Yq5GY4Bq_zMgJwXSs-W_12-7-5jtNgDewCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Waziri wa Fedha na Mipango Mheshimiwa Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) wa pili kushoto, akipokea hundi kifani ya dola milioni 100 kutoka kwa Mwakilishi Mkazi wa Kampuni ya Barrick Bw. Hilaire Diarra (wa pili kushoto), Jijini Dodoma Tarehe 26 Mei, 2020, ikiwa ni sehemu ya malipo ya dola milioni 300 ambazo Kampuni hiyo ilikubali kuilipa Serikali kumaliza mzozo uliokuwepo kati ya Serikali na Kampuni hiyo hatua iliyosababisha pia kuanzishwa kwa Kampuni ya Ubia ya Madini ya Twiga kati ya Serikali na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HmnnLnoH49Q/XrwfhAGU0CI/AAAAAAALqH0/L7CiAPNo9707VyKI87GluxPzGHTjyG-7QCLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_9260-2048x1345.jpg)
KAMPUNI YA EVERWELL CABLE AND ENGINEERING CO. LTD YACHANGIA SH. MILIONI 100 KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-HmnnLnoH49Q/XrwfhAGU0CI/AAAAAAALqH0/L7CiAPNo9707VyKI87GluxPzGHTjyG-7QCLcBGAsYHQ/s640/PMO_9260-2048x1345.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PMO_9271-scaled.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-IiDdSNH8I0g/VazXGElt1NI/AAAAAAAAPoM/6ss8Af_zWAA/s72-c/20150720_093629.jpg)
KAMPUNI YA SIMU YA TTCL YATOA BATI 100 KWA SHULE MBALIMBALI MKOANI NJOMBE
![](http://1.bp.blogspot.com/-IiDdSNH8I0g/VazXGElt1NI/AAAAAAAAPoM/6ss8Af_zWAA/s640/20150720_093629.jpg)
Akikabidhi bati hizo kwa niaba ya mkurugenzi kuu wa TTCL Tanzania, Kaimu mkurugenzi kanda ya nyanda za Juu kusini bwana James Mlaguzi amesema...
11 years ago
Dewji Blog04 Aug
Star Oils kampuni dada ya MeTL GROUP yapata mkopo wa bilioni 100 kutoka NBC
Mkurugenzi Mtendaji wa NBC, Bi. Mizinga Melu akizungumza kwenye hafla ya utiliaji saini wa mkopo wa bilioni 100 za kitanzania baina ya benki yake na kampuni ya MeTL mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam.
.MetTL yajipanga kupanua soko lake la mafuta Afrika Mashariki na Kusini
Na Mwandishi wetu
KAMPUNI ya Mohammed Enterpries Tanzania Limited (MeTL GROUP) kupitia kampuni yake dada ya kuingiza, kuhifadhi na kusambaza mafuta nchini ya Star Oils Ltd. imepata mkopo wa bilioni 100 kutoka kwa...
5 years ago
MichuziKAMPUNI YA BARRICK YAILIPA SERIKALI DOLA MILIONI 100, WAZIRI WA FEDHA AHUTUBIA HAFLA HIYO
Na Farida Ramadhani na Josephine Majura
KAMPUNI ya Barrick imeilipa Tanzania dola milioni 100, sawa na takriban sh. bilioni 250, ikiwa ni sehemu ya malipo ya dola milioni 300 ambazo Kampuni hiyo ya Madini ilikubali kulipa kama fidia ya kodi.
Mfano wa Hundi ya kiasi hicho cha fedha imekabidhiwa na Meneja Mkazi wa Kampuni ya Barrick, Bw. Hilaire Diarra kwa Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, kwa niaba ya Serikali, Jijini Dodoma leo Mei 26, 2020.
Akizungumza baada ya...
10 years ago
Habarileo11 Feb
Bilal mgeni rasmi tuzo kwa kampuni bora
MAKAMU wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika hafla ya kutoa tuzo kwa kampuni bora kwa mwaka 2014.