Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hongera Rais Kikwete, changamoto bado nyingi

Rais Jakaya Kikwete juzi alihutubia Bunge la 10 kwa lengo la kuliaga na kulivunja rasmi kuashiria kuweka mazingira kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu ambao utatoa Bunge la kumi na moja.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Hongereni wabunge, hongera rais lakini kazi bado ipo

HONGERENI sana wabunge. Hongera pia Rais Jakaya Kikwete kwa kuwafukuza kazi mawaziri wanne. Nilijisikia faraja kuona wabunge wa upinzani na chama tawala wakiwa wamoja katika hilo. Hongera Amiri Jeshi Mkuu...

 

9 years ago

Dewji Blog

Hongera Rais Dk. Magufuli: Umeibukia huku, Sasa bado pale kwa akina Ngoswe!

PAGE 25

                                                                Kaimu Balozi wa Zambia akiyakana Magogo hayo ya miti ya mninga kwa kile alichodai kuwa watu hao licha ya kueleza kuyatoa Zambia, hawana nyaraka muhimu za kuonyesha kama wameyatoa Zambia licha ya kuwa wametokea Zambia tukio lililotokea jana Novemba 27.

Na Andrew Chale,Modewjiblog

[TANZANIA] Miongoni mwa habari kubwa kwasasa Tanzania ni namna ya utendaji wa kasi ya ajabu ya Mheshimiwa Rais wetu Dk. John Pombe Magufuli pamoja na...

 

10 years ago

Vijimambo

WILLIAM RUTTO — HONGERA RAIS KIKWETE KWA KUKUZA TASNIA YA FILAMU NCHINI TANZANIA

Makamu wa Rais Wa Kenya, Mh William Rutto akifungua maonyesho ya pili ya Jumuiya ya Afrika Mashariki Utamaduni Festival yajulikanayo kama JAMAFEST kwa kuwakaribisha washiriki kutoka nchi zote za Afrika Mashariki katika ukumbi wa Mikutano wa kimataifa wa Kenyatta uliopo jijini Nairobi, Nchini Kenya.Makamu wa Rais wa Kenya, Mh William Rutto akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Kenyatta kabla ya ufunguzi wa maonyesho ya JAMAFEST...

 

9 years ago

Habarileo

Changamoto nyingi usajili Zanzibar

KATIBU wa Kamati ya Usajili wa klabu za wilaya ya Mjini Unguja, Ali Othman Kibichwa amesema kuwa wanaendelea vizuri na upitiaji wa fomu za usajili, licha ya kukutana na changamoto mbali mbali wakati wa upitiaji huo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bado nahitaji kuonana na Rais Kikwete

AGOSTI 26, 2013 nilituma maombi kwa mkuu wa nchi, Rais Jakaya Kikwete kupitia andiko la gazeti hili lililosomeka kuwa: “Nahitaji kuonana na Rais Kikwete.’ Nilitanguliza angalizo kwa wasaidizi wake kwamba...

 

10 years ago

Michuzi

Watu wenye Ulemavu wanakabiliwa na changamoto nyingi - SVF

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii 
Shirika lisilo la Kiserikali linalojishughulisha na kusaidia  watu wenye  mahitaji maalum (SVF) limesema watu wenye ulemavu wako milioni 4.5 lakini wanakabiliwa na changamoto kutokana na mazingira wanayoishi.
Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam,Katibu Mkuu wa shirika hilo,Leontine Rwechungura amesema kutokana na kutambua mahitaji ya kundi la watu wenye ulemavu,wataanza kujenga miundombinu rafiki kwa wanafunzi katika shuke ya Sekondari,...

 

10 years ago

Vijimambo

LICHA YA CHANGAMOTO NYINGI BARA LA AFRIKA LINAPIGA HATUA, ZUMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete akisoma makabrasha ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa AU unaofanyika kwa siku mbili jijini Addis Ababa kuanzia leo. Nyuma ya Mhe. Rais ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb). Waziri wa Jinsia na Maendeleo ya Jamii, Mhe. Sophia Simba (Mb) na Balozi wa Tanznia nchini Ethiopia, Mhe. Naimi Aziz (mwenye ushungi).
Na Ally Kondo, Addis AbabaWakuu wa Nchi za Afrika wamekumbushwa...

 

10 years ago

Michuzi

LICHA YA CHANGAMOTO NYINGI BARA LA AFRIKA LINAPIGA HATUA - ZUMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete akisoma makabrasha ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa AU unaofanyika kwa siku mbili jijini Addis Ababa kuanzia leo. Nyuma ya Mhe. Rais ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb). Waziri wa Jinsia na Maendeleo ya Jamii, Mhe. Sophia Simba (Mb) na Balozi wa Tanznia nchini Ethiopia, Mhe. Naimi Aziz (mwenye ushungi).
Na Ally Kondo, Addis AbabaWakuu wa Nchi za Afrika wamekumbushwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani