Bado nahitaji kuonana na Rais Kikwete
AGOSTI 26, 2013 nilituma maombi kwa mkuu wa nchi, Rais Jakaya Kikwete kupitia andiko la gazeti hili lililosomeka kuwa: “Nahitaji kuonana na Rais Kikwete.’ Nilitanguliza angalizo kwa wasaidizi wake kwamba...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Padri Wootherspoon: Natamani kuonana na Rais Kikwete nimweleze ukweli
Baada ya kufanikisha lengo la kuonana na familia zaidi ya 30 za Watanzania waliofungwa katika magereza mbalimbali Hong Kong, Padri wa Kanisa Katoliki, John Wootherspoon aliyeleta ujumbe wa watu hao amesema anatamani kuonana na Rais Jakaya Kikwete ili amweleze hali ya biashara ya dawa za kulevya na manung’uniko ya wafungwa hao.
10 years ago
GPLUONGOZI WA UMOJA WA WENYEVITI SERIKALI ZA MTAA KUONANA NA RAIS KIKWETE
Mwenyekiti wa Mtaa wa Mtambani 'A' Kata ya Jangwani, Ally Sultan Hamed (katikati), Habiba Mondoma Katibu wa Umoja wa wenyeviti wa serikali za mtaa (kushoto) pamoja na Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Kigogo-Mbuyuni, Baraka James wakiwa katika mkutano na wanahabari (hawapo pichani). Wanahabari wakifuatilia tukio. Baadhi ya wenyeviti wa…
10 years ago
Vijimambo
Le Mutuz Anatafuta Mke 'Kwa Kweli Nahitaji WIFE Baby U Know Nahitaji Bonge la Mke, Niombeeni '

10 years ago
Mwananchi11 Jul
Hongera Rais Kikwete, changamoto bado nyingi
Rais Jakaya Kikwete juzi alihutubia Bunge la 10 kwa lengo la kuliaga na kulivunja rasmi kuashiria kuweka mazingira kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu ambao utatoa Bunge la kumi na moja.
11 years ago
Mwananchi27 Oct
Anatory: Nitarudi tena Ikulu kuonana na Rais
Furaha ya mwanafunzi wa bweni anapohitimu masomo ni kurejea nyumbani na kuungana na wazazi, walezi au ndugu. Lakini hali hiyo ni tofauti kwa Jeremiah Anatory (18), aliyehitimu darasa la saba katika Shule ya Msingi ya Mugeza Mseto.
10 years ago
Vijimambo21 May
Miaka 19 ya ajali Mv. Bukoba: Usafiri bado wa kubahatisha, Ahadi ya Rais kikwete haijatekelezwa.

Ni kawaida kwa nchi yeyote kama ilivyo kwa watu binafsi, kuwa na utaratibu wa kuadhimisha matukio yaliyo muhimu katika historia ama maisha ya nchi zao, watu binafsi, jumuiya au taasisi.
Kwa ujumla, sherehe ama maadhimisho ya matukio ya aina hiyo muhimu, huweza kufanyika kwa namna mbili.
Kufanya kumbukumbu ya tukio au matukio ya furaha kwa upande mmoja, ama kumbukumbu ya tukio au matukio ya huzuni kwa...
10 years ago
Michuzi
RAIS AAGANA NA BALOZI WA UTURUKI NCHINI, MABALOZI WA TANZANIA UHOLANZI NA ZIMBABWE NA KUONANA NA MKURUGENZI MKUU WA BENKI YA NMB IKULU JIJINI DAR


10 years ago
Vijimambo
RAIS AAGANA NA BALOZI WA UTURUKI NCHINI, MABALOZI WA TANZANIA UHOLANZI NA ZIMBABWE NA KUONANA NA MKURUGENZI MKUU WA BENKI YA NMB IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO


10 years ago
Vijimambo
Kikwete: "Nisingekuwa Rais Ningekuwa Msanii Mkali wa Bongo Fleva.".........HOTUBA Nzima ya Rais Kikwete Aliyoitoa Jana Mei Mosi Iko HAPA

RAIS Dkt. Jakaya Kikwete, ametamba kuwa angakuwa msanii wa muziki wa kizazi kipya basi angelikuwa wa “BongoFleva” kutokana na kuwa na sauti nzuri yenye kumudu kuimba nyimbo kwa ufasaha zaidi.
Kauli hiyo aliitoa jana jijini Mwanza kwenye uwanja wa michezo wa CCM Kirumba wakati wa maadhimisho ya kilele cha sherehe za Mei mosi zilizofanyika Kitaifa jijini Mwanza kwa mwaka huu wa mwisho wa utawala wake.
Dkt. Kikwete aliimba wimbo wa Bendi ya OSS (Ochestra Safari Sound) wenye mashairi yasemayo...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania