Miaka 19 ya ajali Mv. Bukoba: Usafiri bado wa kubahatisha, Ahadi ya Rais kikwete haijatekelezwa.
Sehemu ya chini ya meli ya MV Bukoba iliyozama katika Ziwa Victoria na kuua mamia ya watu.
Ni kawaida kwa nchi yeyote kama ilivyo kwa watu binafsi, kuwa na utaratibu wa kuadhimisha matukio yaliyo muhimu katika historia ama maisha ya nchi zao, watu binafsi, jumuiya au taasisi.
Kwa ujumla, sherehe ama maadhimisho ya matukio ya aina hiyo muhimu, huweza kufanyika kwa namna mbili.
Kufanya kumbukumbu ya tukio au matukio ya furaha kwa upande mmoja, ama kumbukumbu ya tukio au matukio ya huzuni kwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLKUMBUKUMBU YA MIAKA 19 YA AJALI YA MV BUKOBA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5dnKmgW0EIPM0gH7jDErkUiLba*EYdloo1ieFyGc3Hhy7PnwejwqUjKNUF4DYpxGCPAnJzKj7MipWZ0dldas7j6OGNJfQMQZ/MVBukobaikizama.jpg?width=450)
KUMBUKUMBU YA MIAKA 18 YA AJALI YA MV BUKOBA
10 years ago
Dewji Blog21 May
Leo ni Miaka 19 ya Kumbukumbu ya ajali ya MV Bukoba
Pichani ni mnara wa kumbukumbu ya eneo ambalo walizikwa watu waliopoteza maisha katika ajali ya MV Bukoba hiyo mnamo Mei 21.1996.
Na Andrew Chale, Modewjiblog
Kila mwaka ifikapo Mei 21, kama siku ya leo watanzania tunakumbuka tukio la ajali mbaya iliyowahi kutokea katika nchi yetu ya kuzama kwa meli ya MV Bukoba ndani ya ziwa Victoria, mnamo mwaka 1996. Kwa hali hiyo watanzaia tunaendelea kuwaombea ndugu na jamaa waliotangulia mbele za haki.
Mtandao wako bora wa habari wa...
5 years ago
MichuziRais Magufuli atimiza ahadi yake Maafisa Tarafa Mwanza wakabidhiwa Usafiri
Mkuu wa Mkoa Mwanza, John Mongella (kulia) akikabidhi ufunguo wa pikipiki kwa Mwenyekiti wa Maafisa Tarafa Mkoa Mwanza, Peter Michael (kushoto) kama ishara ya kukabidhi pikipiki 24 kwa Maafisa Tarafa wa Tarafa zote 24 za Mkoa Mwanza.
Mongella amekabidhi pikipiki hizo kwa niaba ya Rais wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ikiwa ni utekelezaji wa ahadi yake (ahadi ya Rais Dkt. Magufuli) ya kutoa pikipiki kwa Maafisa Tarafa wote Tanzania aliyoitoa alipokutana na viongozi hao Juni 04, 2019 Ikulu...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RvjAXBPMtYI/U3zipQzDFWI/AAAAAAAFkRA/0VP8NqmQleU/s72-c/20140521-200130.jpg)
kumbumbu ya ajali ya meli ya Mv Bukoba miaka 18 iliyopitta.
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Wahoji utekelezaji wa ahadi ya Rais Kikwete
10 years ago
Mwananchi01 Sep
Rais Kikwete: Nimetimiza ahadi kwa asilimia 80
9 years ago
Vijimambo02 Oct
Ahadi 5 za Kikwete zigo kwa rais ajaye.
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/_Df_771Rw3iji6j_Al2d3yU4pt2T1zzbea2soH3hk8dHlIt3iFonJDANF3fAHm3RsiTm01mSg-goe8pdPj_cq-o57Fm-R0DeWuzPQdY5R_G6xw=s0-d-e1-ft#http://www.ippmedia.com/media/picture/large/JK-02Oct2015.png)
Rais Jakaya Kikwete.
Wakati zikiwa zimebaki siku 22 kuanzia leo kabla ya uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 25, imebainika kuwa Rais ajaye atakuwa na mzigo mzito wa kutekeleza ahadi kadhaa zilizowahi kutolewa na serikali ya Rais Jakaya Kikwete anayetarajiwa kumaliza muda wake baada ya uchaguzi huo utakaompata mrithi wake.Uchunguzi uliofanywa na Nipashe umebaini kuwa, licha ya mafanikio makubwa katika sekta mbalimbali katika kipindi cha miaka 10 ya serikali iliyopo madarakani, bado kuna ahadi...
11 years ago
Bongo510 Jul
Mtangazaji wa E! Entetainment TV ya Marekani athibitisha kuja Tanzania, ahadi ya Rais Kikwete yatimia