Wahoji utekelezaji wa ahadi ya Rais Kikwete
Wadau wa maendeleo mkoani Iringa, wameitaka Serikali itekeleza ahadi ya Rais Jakaya Kikwete ya kutengeneza Barabara ya Iringa-Msembe (Hifadhi ya Taifa ya Ruaha) yenye urefu wa kilomita 114 kwa kiwango cha lami ikiwa ni jitihada za kukuza uchumi wa mikoa ya Kusini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi04 May
Tucta ifuatilie utekelezaji wa ahadi za Rais
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-q8J0xVJZS4g/XrbVay74cTI/AAAAAAALpn0/-HhUglGnmNYVup6ehO5ZX1GBLqjxLyeSQCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-A-1-2048x1365.jpg)
MAAFISA TARAFA SIMIYU WAKABIDHIWA PIKIPIKI UTEKELEZAJI AHADI YA RAIS MAGUFULI
![](https://1.bp.blogspot.com/-q8J0xVJZS4g/XrbVay74cTI/AAAAAAALpn0/-HhUglGnmNYVup6ehO5ZX1GBLqjxLyeSQCLcBGAsYHQ/s640/PICHA-A-1-2048x1365.jpg)
Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Bw. Jumanne Sagini (kushoto) akimkabidhi kofia Afisa Tarafa wa Dutwa, wilayani Bariadi Bi. Isabela Nyaulingo ikiwa ni ishara ya kumkabidhi pikipiki katika tukio la makabidhiano ya pikipiki zilizotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kwa Maafisa Tarafa ambazo zimekabidhiwa Mei 08, 2020 Mjini Bariadi.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/4eba1f44-bf77-4160-ad48-421c2b53f257.jpg)
Baadhi ya pikipiki zilizotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kwa Maafisa...
10 years ago
Mwananchi01 Sep
Rais Kikwete: Nimetimiza ahadi kwa asilimia 80
9 years ago
Vijimambo02 Oct
Ahadi 5 za Kikwete zigo kwa rais ajaye.
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/_Df_771Rw3iji6j_Al2d3yU4pt2T1zzbea2soH3hk8dHlIt3iFonJDANF3fAHm3RsiTm01mSg-goe8pdPj_cq-o57Fm-R0DeWuzPQdY5R_G6xw=s0-d-e1-ft#http://www.ippmedia.com/media/picture/large/JK-02Oct2015.png)
Rais Jakaya Kikwete.
Wakati zikiwa zimebaki siku 22 kuanzia leo kabla ya uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 25, imebainika kuwa Rais ajaye atakuwa na mzigo mzito wa kutekeleza ahadi kadhaa zilizowahi kutolewa na serikali ya Rais Jakaya Kikwete anayetarajiwa kumaliza muda wake baada ya uchaguzi huo utakaompata mrithi wake.Uchunguzi uliofanywa na Nipashe umebaini kuwa, licha ya mafanikio makubwa katika sekta mbalimbali katika kipindi cha miaka 10 ya serikali iliyopo madarakani, bado kuna ahadi...
10 years ago
Vijimambo21 May
Miaka 19 ya ajali Mv. Bukoba: Usafiri bado wa kubahatisha, Ahadi ya Rais kikwete haijatekelezwa.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/MV%20Bukoba-21May2015.jpg)
Ni kawaida kwa nchi yeyote kama ilivyo kwa watu binafsi, kuwa na utaratibu wa kuadhimisha matukio yaliyo muhimu katika historia ama maisha ya nchi zao, watu binafsi, jumuiya au taasisi.
Kwa ujumla, sherehe ama maadhimisho ya matukio ya aina hiyo muhimu, huweza kufanyika kwa namna mbili.
Kufanya kumbukumbu ya tukio au matukio ya furaha kwa upande mmoja, ama kumbukumbu ya tukio au matukio ya huzuni kwa...
11 years ago
Bongo510 Jul
Mtangazaji wa E! Entetainment TV ya Marekani athibitisha kuja Tanzania, ahadi ya Rais Kikwete yatimia
11 years ago
Tanzania Daima28 May
Mbunge ahoji utekelezaji ahadi kwenye kampeni
MBUNGE wa Viti Maalumu, Pauline Gekul (CHADEMA), ameihoji serikali kama ni halali kwa mgombea kutekeleza ahadi alizozitoa siku za nyuma wakati kampeni zikiendelea katika uchaguzi mdogo. Akiuliza swali bungeni jana,...
10 years ago
Mwananchi01 Dec
Ahadi kapu zima, utekelezaji kiini macho
9 years ago
MichuziDAVIS MOSHA AANZA UTEKELEZAJI WA AHADI ZAKE MOSHI MJINI