MAAFISA TARAFA SIMIYU WAKABIDHIWA PIKIPIKI UTEKELEZAJI AHADI YA RAIS MAGUFULI

Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Bw. Jumanne Sagini (kushoto) akimkabidhi kofia Afisa Tarafa wa Dutwa, wilayani Bariadi Bi. Isabela Nyaulingo ikiwa ni ishara ya kumkabidhi pikipiki katika tukio la makabidhiano ya pikipiki zilizotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kwa Maafisa Tarafa ambazo zimekabidhiwa Mei 08, 2020 Mjini Bariadi.
Baadhi ya pikipiki zilizotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kwa Maafisa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziRais Magufuli atimiza ahadi yake Maafisa Tarafa Mwanza wakabidhiwa Usafiri
Mkuu wa Mkoa Mwanza, John Mongella (kulia) akikabidhi ufunguo wa pikipiki kwa Mwenyekiti wa Maafisa Tarafa Mkoa Mwanza, Peter Michael (kushoto) kama ishara ya kukabidhi pikipiki 24 kwa Maafisa Tarafa wa Tarafa zote 24 za Mkoa Mwanza.
Mongella amekabidhi pikipiki hizo kwa niaba ya Rais wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ikiwa ni utekelezaji wa ahadi yake (ahadi ya Rais Dkt. Magufuli) ya kutoa pikipiki kwa Maafisa Tarafa wote Tanzania aliyoitoa alipokutana na viongozi hao Juni 04, 2019 Ikulu...
5 years ago
Michuzi
AHADI YA RAIS MAGUFULI KWA MAAFISA TARAFA YATIMIA, WAPATIWA PIKIPIKI NCHI NZIMA



5 years ago
CCM BlogRAIS MAGUFULI ATIMIZA AHADI YAKE KWA MAAFISA TARAFA MKOA WA MWANZA
Mongella amekabidhi pikipiki hizo kwa niaba ya Rais wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ikiwa ni utekelezaji wa ahadi yake (ahadi ya Rais Dkt. Magufuli) ya kutoa pikipiki kwa Maafisa Tarafa wote Tanzania aliyoitoa alipokutana na viongozi hao Juni 04, 2019 Ikulu...
5 years ago
Michuzi
RAIS ATIMIZA AHADI YAKE KWA MAAFISA TARAFA MKOA WA SHINYANGA
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Bi. Zainab Telack amekabidhi Pikipiki 14 kwa Maafisa Tarafa wa Mkoa wa Shinyanga kwa lengo la kurahisisha utendaji kazi wao na kuonya kuwa hatarajii kuona pikipiki hizo zikitumika nje ya shughuli za Serikali.
Kiongozi huyo wa Mkoa wa Shinyanga amekabidhi pikipiki hizo kwa niaba ya Rais John Pombe Magufuli na kuwataka maafisa tarafa hao kuhakikisha pikipiki hizo zinatunzwa vizuri ili wengine waweze kuzitumia na kuwaonya watendaji hao kutotumia...
5 years ago
Michuzi
PIKIPIKI ZA JPM ZAKABIDHIWA KWA MAAFISA TARAFA KAGERA.
Na Abdullatif Yunus MichuziTV.
Pikipiki 27 zilizonunuliwa na Rais John Pombe Magufuli kwa ajili ya kuwasaidia Maafisa Tarafa kote Nchini, kutimiza majukumu yao zimeendelea kukabidhiwa kwa Walengwa ambapo kwa Mkoa wa Kagera Pikipiki hizo zimekabidhiwa rasmi na Mkuu wa Mkoa Brigedia Marco E. Gaguti mapema Mei 22, 2020.
Pikipiki hizo zipatazo 27, aina ya SANLG zenye thamani ya Jumla Shilingi 59,913,000/= tayari zimegawiwa katika Wilaya Nane zinazounda Mkoa Kagera, na Idadi yake kama...
5 years ago
CCM Blog
RAIS MAGUFULI ATOA MSAADA WA PIKIPIKI KWA MAOFISA TARAFA RUKWA KURAHISISHA UTOELI ELIMU YA CORONA


Afisa Tarafa wa Tarafa ya Namanyere Wilayani Nkasi Kasim Ibrahim akitia saini hati ya Makabidhiano mbele ya Mkuu wa mkoa wa Rukwa pamoja na Katibu Tawala wa Mkoa ili kukabidhiwa Pikipiki aliyoahidiwa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli.

Katibu Tawala wa MKoa wa Rukwa Benard Makali akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Rukwa...
5 years ago
CCM Blog
MAAFISA TARAFA NJOMBE WAFURAHIA KUPATA PIKIPIKI KUTOKA KWA JPM
Na Amiri kilagalila,Njombe
Changamoto ya usafiri ili kuwafikia wananchi katika vijiji mbalimbali kwa maofisa tarafa mkoani Njombe sasa imepatiwa ufumbuzi baada ya serikali kugawa Pikipiki kwa kila ofisa hatua itakayochochea uhamasishaji shughuli za maendeleo.
Wakizungumza mara baada ya kukabidhiwa pikipiki na katibu tawala mkoa wa Njombe kwa niaba ya mkuu wa mkoa baadhi ya maofisa tarafa akiwemo Lilian Nyemele na Damas Kavindi wanasema tatizo la usafiri kwao limekuwa gumu ili kuwafikia...
10 years ago
Michuzi.jpg)
Maafisa 10 wa Afya wa Wilaya za Unguja na Pemba wakabidhiwa pikipiki
5 years ago
Michuzi
Rais Magufuli Agawa Usafiri kwa Maafisa Tarafa Rukwa Huku Wakikisitizwa kutimiza Majukumu ya Serikali Hasa Kutoa Elimu ya Corona


Afisa Tarafa wa Tarafa ya Namanyere Wilayani Nkasi Kasim Ibrahim akitia saini hati ya Makabidhiano mbele ya Mkuu wa mkoa wa Rukwa pamoja na Katibu Tawala wa Mkoa ili kukabidhiwa Pikipiki aliyoahidiwa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli.

Katibu Tawala wa MKoa wa Rukwa Benard Makali akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10