Rais Magufuli Agawa Usafiri kwa Maafisa Tarafa Rukwa Huku Wakikisitizwa kutimiza Majukumu ya Serikali Hasa Kutoa Elimu ya Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-Rz_DSo07-kE/Xr2Oq_yF8UI/AAAAAAALqRw/6XmGPD_lFYwLtOW4rQU_QYx7U-4qDSP9ACLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0948AAA-768x513.jpg)
Maafisa tarafa za Tarafa 12 za mkoa wa Ruk2wa wakiwa kila mmoja amesimama nyuma ya Pikipiki tayari kwa kukabidhiwa na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa kwa niaba ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli.
Afisa Tarafa wa Tarafa ya Namanyere Wilayani Nkasi Kasim Ibrahim akitia saini hati ya Makabidhiano mbele ya Mkuu wa mkoa wa Rukwa pamoja na Katibu Tawala wa Mkoa ili kukabidhiwa Pikipiki aliyoahidiwa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli.
Katibu Tawala wa MKoa wa Rukwa Benard Makali akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Rz_DSo07-kE/Xr2Oq_yF8UI/AAAAAAALqRw/6XmGPD_lFYwLtOW4rQU_QYx7U-4qDSP9ACLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0948AAA-768x513.jpg)
RAIS MAGUFULI ATOA MSAADA WA PIKIPIKI KWA MAOFISA TARAFA RUKWA KURAHISISHA UTOELI ELIMU YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Rz_DSo07-kE/Xr2Oq_yF8UI/AAAAAAALqRw/6XmGPD_lFYwLtOW4rQU_QYx7U-4qDSP9ACLcBGAsYHQ/s400/DSC_0948AAA-768x513.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/DSC_0953AAA-1024x685.jpg)
Afisa Tarafa wa Tarafa ya Namanyere Wilayani Nkasi Kasim Ibrahim akitia saini hati ya Makabidhiano mbele ya Mkuu wa mkoa wa Rukwa pamoja na Katibu Tawala wa Mkoa ili kukabidhiwa Pikipiki aliyoahidiwa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/DSC_0957AAA-1024x685.jpg)
Katibu Tawala wa MKoa wa Rukwa Benard Makali akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Rukwa...
5 years ago
MichuziRais Magufuli atimiza ahadi yake Maafisa Tarafa Mwanza wakabidhiwa Usafiri
Mkuu wa Mkoa Mwanza, John Mongella (kulia) akikabidhi ufunguo wa pikipiki kwa Mwenyekiti wa Maafisa Tarafa Mkoa Mwanza, Peter Michael (kushoto) kama ishara ya kukabidhi pikipiki 24 kwa Maafisa Tarafa wa Tarafa zote 24 za Mkoa Mwanza.
Mongella amekabidhi pikipiki hizo kwa niaba ya Rais wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ikiwa ni utekelezaji wa ahadi yake (ahadi ya Rais Dkt. Magufuli) ya kutoa pikipiki kwa Maafisa Tarafa wote Tanzania aliyoitoa alipokutana na viongozi hao Juni 04, 2019 Ikulu...
5 years ago
CCM BlogRAIS MAGUFULI ATIMIZA AHADI YAKE KWA MAAFISA TARAFA MKOA WA MWANZA
Mongella amekabidhi pikipiki hizo kwa niaba ya Rais wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ikiwa ni utekelezaji wa ahadi yake (ahadi ya Rais Dkt. Magufuli) ya kutoa pikipiki kwa Maafisa Tarafa wote Tanzania aliyoitoa alipokutana na viongozi hao Juni 04, 2019 Ikulu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5LqXZkf20jU/XnJBFSkQwiI/AAAAAAALkPI/MocAk1Mtiv8XjQeZyHgwAhu92U5eBUsWACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-18%2Bat%2B3.16.34%2BPM.jpeg)
AHADI YA RAIS MAGUFULI KWA MAAFISA TARAFA YATIMIA, WAPATIWA PIKIPIKI NCHI NZIMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-5LqXZkf20jU/XnJBFSkQwiI/AAAAAAALkPI/MocAk1Mtiv8XjQeZyHgwAhu92U5eBUsWACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-18%2Bat%2B3.16.34%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-JM63Za61XrM/XnJBFdsG7yI/AAAAAAALkPE/NmBpICr9gMsCtPCByvGC6tLrx2R42hB6wCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-18%2Bat%2B3.17.23%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-s20ymjmrCUg/XnJBFu1xTjI/AAAAAAALkPM/Wo35gqApwZwVfrf50c9C96IMi-ttvt7fwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-18%2Bat%2B3.18.29%2BPM.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-n-U4nF4S3_I/XoBbKEpHJrI/AAAAAAALlcs/ePe76FE_PzE23LqSgFc4n_sbJZx7CGpyQCLcBGAsYHQ/s72-c/1-63.jpg)
MAAFISA USTAWI NA MAENDELEO YA JAMII WATAKIWA KUTOA ELIMU KWA YA KUJIKINGA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-n-U4nF4S3_I/XoBbKEpHJrI/AAAAAAALlcs/ePe76FE_PzE23LqSgFc4n_sbJZx7CGpyQCLcBGAsYHQ/s640/1-63.jpg)
Katibu Tawala Mkoa wa Arusha Bw. Hargeney Chituturo akizungumza wakati akifungua mafunzo ya kuwajengea uwezo wa kuelimisha jamii kuhusu ugonjwa wa Corona Maafisa Ustawi na Maendeleo ya Jamii wa Mkoa wa Arusha, katika ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Arusha jana tarehe 28/03/2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2-61.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2-B-1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2-A-1.jpg)
Maafisa Ustawi na Maendeleo ya Jamii wa Mkoa wa Arusha wakifuatilia mada zilizokuwa zikitolewa wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo wa kuelimisha jamii kuhusu ugonjwa wa Corona katika ukumbi wa Mikutano...
9 years ago
Dewji Blog15 Sep
Serikali yaendelea kutoa elimu ya Sheria ya makosa ya mtandao kwa Maafisa Habari
Mkurugenzi msaidizi Idara ya Habari (MAELEZO) Bi Zamaradi Kawawa akifurahia jambo na Mkuu wa Masuala ya Siasa na Habari wa Umoja wa nchi za Ulaya (EU) nchini Tanzania Bi Luana Reale wakati wa warsha ya Maafisa Mawasiliano Serikalini kuhusu Sheria ya makosa ya mtandao ya mwaka 2015 (cybercrime Act 2015. iliyofanyika jana Jijini Dar es salaam.(Picha zote na Frank Mvungi-Maelezo).
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-q8J0xVJZS4g/XrbVay74cTI/AAAAAAALpn0/-HhUglGnmNYVup6ehO5ZX1GBLqjxLyeSQCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-A-1-2048x1365.jpg)
MAAFISA TARAFA SIMIYU WAKABIDHIWA PIKIPIKI UTEKELEZAJI AHADI YA RAIS MAGUFULI
![](https://1.bp.blogspot.com/-q8J0xVJZS4g/XrbVay74cTI/AAAAAAALpn0/-HhUglGnmNYVup6ehO5ZX1GBLqjxLyeSQCLcBGAsYHQ/s640/PICHA-A-1-2048x1365.jpg)
Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu, Bw. Jumanne Sagini (kushoto) akimkabidhi kofia Afisa Tarafa wa Dutwa, wilayani Bariadi Bi. Isabela Nyaulingo ikiwa ni ishara ya kumkabidhi pikipiki katika tukio la makabidhiano ya pikipiki zilizotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kwa Maafisa Tarafa ambazo zimekabidhiwa Mei 08, 2020 Mjini Bariadi.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/4eba1f44-bf77-4160-ad48-421c2b53f257.jpg)
Baadhi ya pikipiki zilizotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kwa Maafisa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-V-X_GuruOQM/XqBk-TQ8yDI/AAAAAAACJ8A/BD89ESquXBcCOZBVZrI3X8p5jeF4NMbIACLcBGAsYHQ/s72-c/11.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI: SERIKALI HAITAWAFUNGIA WANANCHI MAJUMBANI WALA KULIFUNGA JIJI LA DAR ES SALAAM KWA SABABU YA CORONA, ASISITIZA WATU KUENDELEA KUCHUKUA TAHADHARI ZAIDI HUKU WAKICHAPA KAZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-V-X_GuruOQM/XqBk-TQ8yDI/AAAAAAACJ8A/BD89ESquXBcCOZBVZrI3X8p5jeF4NMbIACLcBGAsYHQ/s400/11.jpg)
Rais Dk. John Magufuli amesema Serikali haitawafungia wananchi majumbani (lockdown) wala kulifunga Jiji la Dar es Salaam ili kuepusha madhara makubwa yanayoweza kuwakumba wananchi na kuathiri uchumi wa nchi, na ametaka Watanzania kuondoa hofu, kuendelea kuchukua tahadhari huku wakiendelea na shughuli zao za uzalishaji mali na ujenzi wa Taifa.
“Tuwaondoe hofu wananchi, sio ugonjwa huu pekee unaosababisha vifo kwa wananchi, na sio kila anayepoteza...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Z0zZcxM0Izc/Xs-zBlKVDKI/AAAAAAALr3E/TX-IGBEEAEUCUCMDSHcwpTmmTyWMHPdqQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS ATIMIZA AHADI YAKE KWA MAAFISA TARAFA MKOA WA SHINYANGA
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Bi. Zainab Telack amekabidhi Pikipiki 14 kwa Maafisa Tarafa wa Mkoa wa Shinyanga kwa lengo la kurahisisha utendaji kazi wao na kuonya kuwa hatarajii kuona pikipiki hizo zikitumika nje ya shughuli za Serikali.
Kiongozi huyo wa Mkoa wa Shinyanga amekabidhi pikipiki hizo kwa niaba ya Rais John Pombe Magufuli na kuwataka maafisa tarafa hao kuhakikisha pikipiki hizo zinatunzwa vizuri ili wengine waweze kuzitumia na kuwaonya watendaji hao kutotumia...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10