Mtangazaji wa E! Entetainment TV ya Marekani athibitisha kuja Tanzania, ahadi ya Rais Kikwete yatimia
Ile ahadi aliyoitoa Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete hivi karibuni ya kuwaleta baadhi ya watu muhimu wa sanaa duniani kwaajili ya kuzungumza na wasanii wa Tanzania inaelekea kutimia. Miongoni mwa majina aliyoyataja Rais kuwa watakuja kuzungumza na wasanii wa Tanzania ni pamoja na mtangazaji wa E! Entetainment TV ya Marekani Terrence […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5LqXZkf20jU/XnJBFSkQwiI/AAAAAAALkPI/MocAk1Mtiv8XjQeZyHgwAhu92U5eBUsWACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-18%2Bat%2B3.16.34%2BPM.jpeg)
AHADI YA RAIS MAGUFULI KWA MAAFISA TARAFA YATIMIA, WAPATIWA PIKIPIKI NCHI NZIMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-5LqXZkf20jU/XnJBFSkQwiI/AAAAAAALkPI/MocAk1Mtiv8XjQeZyHgwAhu92U5eBUsWACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-18%2Bat%2B3.16.34%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-JM63Za61XrM/XnJBFdsG7yI/AAAAAAALkPE/NmBpICr9gMsCtPCByvGC6tLrx2R42hB6wCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-18%2Bat%2B3.17.23%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-s20ymjmrCUg/XnJBFu1xTjI/AAAAAAALkPM/Wo35gqApwZwVfrf50c9C96IMi-ttvt7fwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-18%2Bat%2B3.18.29%2BPM.jpeg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-dp8zji64rB0/VWSnxjGiZ3I/AAAAAAAHaDA/rW_jKJMeP_g/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-05-12%2Bat%2B4.36.49%2BPM.png)
RAIS KIKWETE ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA MSIBA WA MTANGAZAJI WA ZAMANI WA RADIO TANZANIA MSHINDO MKEYENGE
![](http://3.bp.blogspot.com/-dp8zji64rB0/VWSnxjGiZ3I/AAAAAAAHaDA/rW_jKJMeP_g/s640/Screen%2BShot%2B2015-05-12%2Bat%2B4.36.49%2BPM.png)
Katika salamu alizomtumia Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Mkoa wa Dar Es Salaam, Mheshimiwa Sofia Mjema leo, Jumanne, Mei 26, 2015, Rais Kikwete amesema kuwa kifo cha Mzee...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XUNuQb1sij0/VgUN0bqlwYI/AAAAAAAH7HI/KPX3HACQZ-g/s72-c/images.jpg)
SERIKALI MPYA HAITABADILISHA UHUSIANO WA TANZANIA NA MAREKANI- RAIS KIKWETE
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
![](http://1.bp.blogspot.com/-XUNuQb1sij0/VgUN0bqlwYI/AAAAAAAH7HI/KPX3HACQZ-g/s200/images.jpg)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIwa Tanzania na Marekani· Aiomba Serikali ya Marekani kuendelea kuiunga mkono Serikali mpya kama ilivyofanya kwake· Aishukuru kwa misaada iliyobadilisha maisha ya Watanzania katika miaka 10 ya uongozi wake
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameihakikishia Serikali ya Marekani kuwa uhusiano kati ya nchi hizo mbili hautabadilika na kuwa...
![](http://1.bp.blogspot.com/-XUNuQb1sij0/VgUN0bqlwYI/AAAAAAAH7HI/KPX3HACQZ-g/s200/images.jpg)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIwa Tanzania na Marekani· Aiomba Serikali ya Marekani kuendelea kuiunga mkono Serikali mpya kama ilivyofanya kwake· Aishukuru kwa misaada iliyobadilisha maisha ya Watanzania katika miaka 10 ya uongozi wake
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameihakikishia Serikali ya Marekani kuwa uhusiano kati ya nchi hizo mbili hautabadilika na kuwa...
10 years ago
Vijimambo11 Aug
Rais Kikwete amteua Wilson Masilingi kuwa Balozi wa Tanzania nchini Marekani
Rais Kikwete amemhamisha Wilson Masilingi kutoka kuwa Balozi wa Tanzania Uholanzi na sasa anakuwa Balozi wa Tanzania Marekani kuchukua nafasi ya Liberata Mulamula. Nafasi ya Masilingi itajazwa na Irene Kisyanju aliyeteuliwa kuwa balozi Uholanzi akitokea wizara ya mambo ya nje.Aidha Rais amemteua Mkuu wa chuo cha ulinzi cha taifa Luten Jenerali Charles Makakala kuwa Balozi wa TZ Zimbabwe kuchukua nafasi ya Adadi Rajab alieteuliwa kuwa mgombea ubunge CCM huko Tanga.
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Wahoji utekelezaji wa ahadi ya Rais Kikwete
Wadau wa maendeleo mkoani Iringa, wameitaka Serikali itekeleza ahadi ya Rais Jakaya Kikwete ya kutengeneza Barabara ya Iringa-Msembe (Hifadhi ya Taifa ya Ruaha) yenye urefu wa kilomita 114 kwa kiwango cha lami ikiwa ni jitihada za kukuza uchumi wa mikoa ya Kusini.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-i1daOkmjRaY/VGnpDhuCrpI/AAAAAAADIXY/77gy3kIpjwY/s72-c/0L7C0523.jpg)
JAJI MKUU WA TANZANIA MOHAMED CHANDE OTHMAN AMJULIA HALI RAIS JAKAYA KIKWETE NCHINI MAREKANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-i1daOkmjRaY/VGnpDhuCrpI/AAAAAAADIXY/77gy3kIpjwY/s1600/0L7C0523.jpg)
9 years ago
Vijimambo02 Oct
Ahadi 5 za Kikwete zigo kwa rais ajaye.
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/_Df_771Rw3iji6j_Al2d3yU4pt2T1zzbea2soH3hk8dHlIt3iFonJDANF3fAHm3RsiTm01mSg-goe8pdPj_cq-o57Fm-R0DeWuzPQdY5R_G6xw=s0-d-e1-ft#http://www.ippmedia.com/media/picture/large/JK-02Oct2015.png)
Rais Jakaya Kikwete.
Wakati zikiwa zimebaki siku 22 kuanzia leo kabla ya uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 25, imebainika kuwa Rais ajaye atakuwa na mzigo mzito wa kutekeleza ahadi kadhaa zilizowahi kutolewa na serikali ya Rais Jakaya Kikwete anayetarajiwa kumaliza muda wake baada ya uchaguzi huo utakaompata mrithi wake.Uchunguzi uliofanywa na Nipashe umebaini kuwa, licha ya mafanikio makubwa katika sekta mbalimbali katika kipindi cha miaka 10 ya serikali iliyopo madarakani, bado kuna ahadi...
10 years ago
Mwananchi01 Sep
Rais Kikwete: Nimetimiza ahadi kwa asilimia 80
Rais Jakaya Kikwete amesema zaidi ya asilimia 80 ya ahadi alizotoa wakati anaingia madarakani zimetimizwa na zilizobakia atazimaliza kabla ya kuondoka madarakani.
10 years ago
Bongo512 Jan
T-Pain wa Marekani kuja Tanzania mwezi ujao, kutumbuiza na Diamond kwenye uzinduzi wa Radio mpya, Mwanza
Mfalme wa Auto-Tune, T-Pain kutoka Marekani anatarajia kuja Tanzania mwezi ujao na kutumbuiza jijini Mwanza, kwenye tamasha la uzinduzi wa radio mpya iitwayo Jembe Fm ya jijini humo. T-Pain ambaye jina lake halisi ni Faheem Rashad Najm, hatakuwa peke yake kwenye tamasha hilo lililopewa jina la Step Up, bali atakuwa na msanii mwenyeji wake Diamond […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10