SERIKALI MPYA HAITABADILISHA UHUSIANO WA TANZANIA NA MAREKANI- RAIS KIKWETE
![](http://1.bp.blogspot.com/-XUNuQb1sij0/VgUN0bqlwYI/AAAAAAAH7HI/KPX3HACQZ-g/s72-c/images.jpg)
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS![](http://1.bp.blogspot.com/-XUNuQb1sij0/VgUN0bqlwYI/AAAAAAAH7HI/KPX3HACQZ-g/s200/images.jpg)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIwa Tanzania na Marekani· Aiomba Serikali ya Marekani kuendelea kuiunga mkono Serikali mpya kama ilivyofanya kwake· Aishukuru kwa misaada iliyobadilisha maisha ya Watanzania katika miaka 10 ya uongozi wake
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameihakikishia Serikali ya Marekani kuwa uhusiano kati ya nchi hizo mbili hautabadilika na kuwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo510 Jul
Mtangazaji wa E! Entetainment TV ya Marekani athibitisha kuja Tanzania, ahadi ya Rais Kikwete yatimia
Ile ahadi aliyoitoa Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete hivi karibuni ya kuwaleta baadhi ya watu muhimu wa sanaa duniani kwaajili ya kuzungumza na wasanii wa Tanzania inaelekea kutimia. Miongoni mwa majina aliyoyataja Rais kuwa watakuja kuzungumza na wasanii wa Tanzania ni pamoja na mtangazaji wa E! Entetainment TV ya Marekani Terrence […]
10 years ago
Vijimambo11 Aug
Rais Kikwete amteua Wilson Masilingi kuwa Balozi wa Tanzania nchini Marekani
Rais Kikwete amemhamisha Wilson Masilingi kutoka kuwa Balozi wa Tanzania Uholanzi na sasa anakuwa Balozi wa Tanzania Marekani kuchukua nafasi ya Liberata Mulamula. Nafasi ya Masilingi itajazwa na Irene Kisyanju aliyeteuliwa kuwa balozi Uholanzi akitokea wizara ya mambo ya nje.Aidha Rais amemteua Mkuu wa chuo cha ulinzi cha taifa Luten Jenerali Charles Makakala kuwa Balozi wa TZ Zimbabwe kuchukua nafasi ya Adadi Rajab alieteuliwa kuwa mgombea ubunge CCM huko Tanga.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-i1daOkmjRaY/VGnpDhuCrpI/AAAAAAADIXY/77gy3kIpjwY/s72-c/0L7C0523.jpg)
JAJI MKUU WA TANZANIA MOHAMED CHANDE OTHMAN AMJULIA HALI RAIS JAKAYA KIKWETE NCHINI MAREKANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-i1daOkmjRaY/VGnpDhuCrpI/AAAAAAADIXY/77gy3kIpjwY/s1600/0L7C0523.jpg)
9 years ago
VijimamboRais Kikwete amuapisha Balozi Mpya wa Tanzania nchini Zimbabwe
10 years ago
Dewji Blog10 Sep
Rais Kikwete amwapisha Balozi mpya wa Tanzania nchini Rwanda
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete akimwapisha Balozi mpya wa Tanzania nchini Rwanda, Balozi Ally Iddi Siwa jana Ikulu jijini Dar es salaam.
9 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AMUAPISHA BALOZI MPYA WA TANZANIA NCHINI ZIMBABWE LEO IKULU
10 years ago
GPLRAIS KIKWETE AMTEUA JOHN HAULE KUWA BALOZI MPYA WA TANZANIA NCHINI KENYA
Balozi mpya wa Tanzania nchini Kenya, Mhe. John Michael Haule.
11 years ago
Habarileo03 Jul
Kikwete asifia uhusiano wa Tanzania na Afrika Kusini
RAIS Jakaya Kikwete amesifia uhusiano mzuri uliopo kati ya Tanzania na Afrika Kusini, akisema haujapata kuwa mzuri zaidi ya ulivyo sasa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania