Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


T-Pain wa Marekani kuja Tanzania mwezi ujao, kutumbuiza na Diamond kwenye uzinduzi wa Radio mpya, Mwanza

Mfalme wa Auto-Tune, T-Pain kutoka Marekani anatarajia kuja Tanzania mwezi ujao na kutumbuiza jijini Mwanza, kwenye tamasha la uzinduzi wa radio mpya iitwayo Jembe Fm ya jijini humo. T-Pain ambaye jina lake halisi ni Faheem Rashad Najm, hatakuwa peke yake kwenye tamasha hilo lililopewa jina la Step Up, bali atakuwa na msanii mwenyeji wake Diamond […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

Tuzo za AFRIMMA kufanyika Jumamosi hii (July 26) Marekani, T-Pain, Davido, Diamond, Iyanya kutumbuiza

Tuzo za ‘African Muzik Magazine Awards’ (AFRIMMA) zinatarajiwa kufanyika Jumamosi ya wiki hii (July 26) huko Texas, Marekani. Wasanii walioko kwenye orodha ya kutumbuiza ni pamoja na Davido, Iyanya, Diamond Platnumz, Khulichana, Flavour, 2Face, T-Pain na wengine. Nominees wa Tanzania katika tuzo hizo ni pamoja na Diamond Platnumz ambaye anawania vipengele 5, Ben Pol,Lady Jaydee, […]

 

10 years ago

Bongo5

Diamond kutumbuiza kwenye uzinduzi wa Big Brother Africa, Jumamosi

Diamond Platnumz atakuwa miongoni mwa wasanii watakaotumbuiza kwenye uzinduzi wa msimu mpya wa shindano la Big Brother Africa utakayofanyika Jumamosi hii, September 7 nchini Afrika Kusini. Akizungumza na bongo5 leo, meneja wa staa huyo, Babu Tale amesema Diamond atarejea leo akitokea nchini Ujerumani ili kujianda ya na show hiyo. “Diamond anarudi leo saa tano usiku […]

 

9 years ago

Bongo5

Kala Jeremiah kuachia wimbo mpya mwezi ujao, pia aeleza sababu za kumtumia director Pablo kwenye video nyingi

Kala

Baada ya kipindi cha kampeni kupita Kala Jeremiah pia yuko kwenye foleni ya wasanii wanaotaka kutoa kazi mpya za kufungua mwaka.

Kala

Kala ameiambia Bongo5 kuwa tayari video ya kazi mpya imekamilika na anatarajia kuitoa hivi karibuni.

“Video ya wimbo mpya na nimeshoot na PABLO ila nisingependa kwanza kutaja jina la wimbo, lakini mwezi wa 12 lazima itoke”.

Video nne zilizopita za Kala (Nchi ya Ahadi, Usikate Tamaa, Simu Ya Mwisho, Wale Wale) zote zimeongozwa na Pablo, kuhusu kwanini ameamua...

 

10 years ago

Bongo5

Vanessa Mdee kutumbuiza jukwaa moja na Awilo, Iyanya, Burna Boy, Nigeria mwezi ujao

Miongoni mwa wasanii wa muziki wa kike wanaofanya vizuri kwa sasa hapa Tanzania ni pamoja na Vanessa “Vee Money” Mdee. Juhudi zake zimemsababisha kwa muda mfupi aliokuwepo kwenye muziki kuanza kupata deals kubwa za makampuni, matangazo, na video zake kuchezwa kwenye vituo vikubwa vya TV za nje na sasa milango ya shows za nje inaendelea […]

 

5 years ago

CCM Blog

SERIKALI YARUHUSU LIGI KUU NNE ZA SOKA KUCHEZWA DAR NA MWANZA KUANZIA MWEZI UJAO

WAZIRI  DK.MWAKYEMBE LEONa Eleuteri Mangi- WHUSM, Dodoma.
Serikali imeruhusu ligi kuu nne kuanza kuchezwa nchini kuanzia Juni 1, 2020 kwa tahadhari zote ili kumpata bingwa wa ligi hizo na timu mwakilishi katika Kombe la Shirikisho Barani Afrika.

Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk. Harrison Mwakyembe katika mkutano na waandishi wa habari leo jijini Dodoma kuhusu uamuzi wa Serikali wa kuanza kwa ligi hizo baada ya kusitishwa kwa muda kufuatia ugonjwa mlipuko...

 

9 years ago

Bongo5

Diamond na Mafikizolo kushoot video ya collabo yao ya 2014, mwezi ujao

mondi na mafikizoloMwaka jana (2014) mwezi June, Diamond Platnumz na kundi la Mafikizolo kutoka Afrika Kusini waliingia studio kufanya collabo ambayo haikuwahi kutoka. Mafikizolo ndio walioomba kufanya collabo hiyo (Ingia hapa). Kama ulikuwa umeshakata tamaa kutokana na muda mrefu kupita, zaidi ya mwaka bila kusikia chochote kuhusu collabo hiyo, habari njema kutoka kwa mshindi wa tuzo ya […]

 

9 years ago

Bongo5

Wasanii watakiwa kushiriki kwenye maadhimisho ya ‘Msanii Day’ mwezi ujao

wasanii

Wasanii nchini wametakiwa kuwa mstari wa mbele kuhamasika na kushiriki kikamilifu kwenye maazimisho ya Siku ya Msanii maarufu kama Msanii Day ambayo yanatazamiwa kufanyika mwezi Desemba mwaka huu wa 2015 jijini Dar es Salaam na maeneo mbalimbali nchini.

wasanii

Wakizungumza kwa nyakati tofauti kwenye programu maalum ya kujadili ushiriki wa wasanii kwenye siku hii muhimu kwao marais wa mashirikisho ya wasanii nchini walisema kwamba wakati umefika kwa wasanii wote nchini kuamka na kuwa mstari wa...

 

10 years ago

Bongo5

Big Brother Africa: M-Net yatangaza kuwa nyumba mpya imepatikana na show itaendelea ‘mwezi ujao’

Baada ya uzinduzi wa msimu wa tisa wa show ya Big Brother Africa uliopewa jina la ‘HotShots’ uliokuwa ufanyike Jumapili hii, kutangazwa kuahirishwa baada ya kutokea kwa ajali ya moto iliyodaiwa kuteketeza nyumba iliyokuwa imeandaliwa kwaaliji ya show hiyo, hatimaye M-Net na Endemol SA wametangaza kuwa tayari nyumba imepatikana na show itaendelea. Katika taarifa iliyowekwa […]

 

10 years ago

Bongo5

Jokate azungumzia alivyojisikia baada ya kutumbuiza kwenye Fiesta Mwanza

Mwanamitindo na mtangazaji wa TV, Jokate Mwegelo ameizungumzia show yake ya kwanza kwenye jukwaa la Serengeti Fiesta 2014 jijini Mwanza. Akizungumza na Bongo5 baada ya kumaliza show hiyo iliyofanyika (July 9) katika uwanja wa CCM kirumba Mwanza, Jokate alisema huo ni mwanzo tu wa muziki wake kwani amejipanga vizuri. “Nimejisikia vizuri kwa sababu ni mara […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani