Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SERIKALI YARUHUSU LIGI KUU NNE ZA SOKA KUCHEZWA DAR NA MWANZA KUANZIA MWEZI UJAO

WAZIRI  DK.MWAKYEMBE LEONa Eleuteri Mangi- WHUSM, Dodoma.
Serikali imeruhusu ligi kuu nne kuanza kuchezwa nchini kuanzia Juni 1, 2020 kwa tahadhari zote ili kumpata bingwa wa ligi hizo na timu mwakilishi katika Kombe la Shirikisho Barani Afrika.

Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk. Harrison Mwakyembe katika mkutano na waandishi wa habari leo jijini Dodoma kuhusu uamuzi wa Serikali wa kuanza kwa ligi hizo baada ya kusitishwa kwa muda kufuatia ugonjwa mlipuko...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Jiji la Dar es salaam na Mwanza kutumika kwa ligi nne





Jiji la Dar es salaam na Mwanza kutumika kwa ligi nne

Na Eleuteri Mangi-WHUSM, Dodoma.

Serikali imeruhusu ligi kuu nne kuanza kuchezwa nchini kuanzia Juni 1, 2020 kwa tahadhari zote ili kumpata bingwa wa ligi hizo na timu mwakilishi katika Kombe la Shirikisho Barani Afrika.

Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe katika mkutano na waandishi wa habari leo jijini Dodoma kuhusu uamuzi wa Serikali wa kuanza kwa ligi hizo baada ya kusitishwa...

 

9 years ago

Michuzi

RAUNDI YA 11 LIGI KUU YA VODACOM KUCHEZWA DISEMBA 12

Mechi za raundi ya 11 za Ligi Kuu ya Vodacom zilizokuwa zichezwe Novemba 7 na 8 mwaka huu sasa zitafanyika Desemba 12 na 13 kupisha maandalizi ya Taifa Stars ya mechi za mchujo za Kombe la Dunia.Taifa Stars inatarajia kuingia kambini mapema mwezi ujao kujiandaa na mechi ya kwanza dhidi ya Algeria ambayo itafanyika Novemba 14 mwaka huu kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Timu hizo zitarudiana nchini Algeria, Novemba 17 mwaka huu.Mechi hizo za Vodacom zitakazochezwa Desemba 12 ni kati ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Ligi Kuu Bara sasa kuchezwa usiku

Wakati Kampuni ya Azam Media ikitoa kitita cha Sh423.5 milioni kwa klabu za Ligi Kuu kutokana na haki za kurusha michezo yake, Bodi ya Ligi (TPL Board) imeweka wazi kuwa baadhi ya mechi hizo zitachezwa usiku.

 

10 years ago

Bongo5

T-Pain wa Marekani kuja Tanzania mwezi ujao, kutumbuiza na Diamond kwenye uzinduzi wa Radio mpya, Mwanza

Mfalme wa Auto-Tune, T-Pain kutoka Marekani anatarajia kuja Tanzania mwezi ujao na kutumbuiza jijini Mwanza, kwenye tamasha la uzinduzi wa radio mpya iitwayo Jembe Fm ya jijini humo. T-Pain ambaye jina lake halisi ni Faheem Rashad Najm, hatakuwa peke yake kwenye tamasha hilo lililopewa jina la Step Up, bali atakuwa na msanii mwenyeji wake Diamond […]

 

10 years ago

Mwananchi

LIGI KUU ENGLAND 2015/16: Je, msimu ujao mabingwa ni Arsenal au Manchester United?

>Baada ya wiki iliyopita Manchester United na Arsenal kutoka sare ya bao 1-1 kwenye Uwanja wa Old Trafford, timu hizi zilionyesha kwamba haziwezi kuitoa Manchester City katika nafasi ya pili katika msimamo wa Ligi Kuu England huku zikiwa zimeishakubali Chelsea kuwa bingwa.

 

11 years ago

Habarileo

Mkutano kujadili ujangili mwezi ujao Dar

SERIKALI imeendelea kuweka mikakati ya kupambana na ujangili nchini kwa kushirikiana na mashirika ya kimataifa. Imeandaa mkutano wa kuwezesha utekelezaji wa shughuli za kuzuia ujangili na kupiga marufuku biashara ya vifaa vinavyotengenezwa kwa meno ya tembo halali na haramu.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Kivuko kipya cha Mv Dar kuwasili nchini mwezi ujao


NA MUSSA YUSUPH
SERIKALI imetangaza kukamilika kwa ujenzi wa Kivuko kipya cha Mv Dar es Salaam,
kitakachokuwa na uwezo wa kuvusha watu zaidi ya 300 kati ya Dar es Salaam na Bagamoyo.
Kukamilika kwa kivuko hicho, kinachotarajiwa kuwasili nchini katika kipindi cha wiki tatu zijazo,kunatokana na jitihada za serikali katika kupunguza msongamano wa magari na shida ya usafiri kwa wakazi wa jiji la Dar es Salaam.
Mbali na uwezo wa kubeba idadi kubwa ya abiria, kivuko hicho pia kitakuwa na kasi...

 

9 years ago

Bongo5

Pellegrini na Andre Ayew watwaa tuzo ya mwezi ligi kuu ya Uingereza

Ligi Kuu ya Uingereza imemtangaza kocha wa Manchester City, Manuel Pellegrini kocha bora wa mwezi Ligi Kuu baada ya timu yake Manchester City kuanza vizuri msimu mwezi Agosti ambapo wameshinda mechi zote nne mfululizo. Kocha wa Man City Manuel Pellegrini Tuzo hiyo hutolewa pia kwa mchezaji bora wa mwezi na imeenda kwa Mghana Andre Ayew, […]

 

10 years ago

Michuzi

Godfrey Wambura mchezaji bora wa Ligi kuu ya Vodacom kwa mwezi wa pili

Kaimu Mkurugenzi wa Bodi ya Ligi ya Vodacom ,Fatuma Abdallah akimkabidhi mfano wa hundi ya shilingi milioni moja mchezaji wa Coastal Union,Godfrey Wambura baada ya kuibuka mchezaji bora wa mwezi wa pili mwaka huu,kulia ni Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya TFF,Khalid Abdallah na kushoto Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Coastal Union,Salim Bawaziri jana,Picha kwa hisani ya Coastal Union.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani