Kivuko kipya cha Mv Dar kuwasili nchini mwezi ujao
NA MUSSA YUSUPH
SERIKALI imetangaza kukamilika kwa ujenzi wa Kivuko kipya cha Mv Dar es Salaam,
kitakachokuwa na uwezo wa kuvusha watu zaidi ya 300 kati ya Dar es Salaam na Bagamoyo.
Kukamilika kwa kivuko hicho, kinachotarajiwa kuwasili nchini katika kipindi cha wiki tatu zijazo,kunatokana na jitihada za serikali katika kupunguza msongamano wa magari na shida ya usafiri kwa wakazi wa jiji la Dar es Salaam.
Mbali na uwezo wa kubeba idadi kubwa ya abiria, kivuko hicho pia kitakuwa na kasi...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo16 Feb
Kituo kipya cha daladala Ubungo kuanza mwezi ujao
KITUO kipya cha daladala kilichopo eneo la Migombani jirani na jengo la Mawasiliano kitakachochukua nafasi ya kituo cha Ubungo kinatarajiwa kuanza kutumika mwishoni mwa mwezi huu baada ya kukamilika kwa sehemu kubwa.
10 years ago
GPLKIVUKO KIPYA CHA DAR-BAGAMOYO CHAPOKELEWA NA WAZIRI MAGUFULI
10 years ago
MichuziKivuko kipya cha Msangamkuu chawasili Mkoani Mtwara
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-913gdZcVfHM/VCYo2psO9lI/AAAAAAAGmE4/f02DyRSvXy8/s72-c/unnamed%2B(18).jpg)
DKT BILALI AZINDUA Kivuko Kipya cha MV Tegemeo jijini Mwanza
![](http://2.bp.blogspot.com/-913gdZcVfHM/VCYo2psO9lI/AAAAAAAGmE4/f02DyRSvXy8/s1600/unnamed%2B(18).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-TPY4CHNWMas/VCYo2mZDNVI/AAAAAAAGmGA/JHbw8PUN8cE/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-6oWj1-SBchI/VCYo2lfxu6I/AAAAAAAGmE8/3a54F_tdC60/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qVo3zZkAITo/VCYo3NLhsRI/AAAAAAAGmFA/rHsIRCfyPgw/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
11 years ago
Habarileo20 Mar
Mkutano kujadili ujangili mwezi ujao Dar
SERIKALI imeendelea kuweka mikakati ya kupambana na ujangili nchini kwa kushirikiana na mashirika ya kimataifa. Imeandaa mkutano wa kuwezesha utekelezaji wa shughuli za kuzuia ujangili na kupiga marufuku biashara ya vifaa vinavyotengenezwa kwa meno ya tembo halali na haramu.
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-bZnR9tmZ_rw/VA4W9K5DchI/AAAAAAAGiJk/QVCC2doAHvs/s1600/unnamed%2B%2813%29.jpg?width=650)
KIVUKO KIPYA (MV DAR ES SALAAM) KITAKACHOTOA HUDUMA KATI YA MWAMBAO WA BAHARI YA HINDI (DAR ES SALAAM NA BAGAMOYO) CHAKAMILIKA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bZnR9tmZ_rw/VA4W9K5DchI/AAAAAAAGiJk/QVCC2doAHvs/s72-c/unnamed%2B(13).jpg)
BREAKING NYUZZZZZ....KIVUKO KIPYA (MV DAR ES SALAAM) KITAKACHOTOA HUDUMA KATI YA MWAMBAO WA BAHARI YA HINDI (DAR ES SALAAM NA BAGAMOYO) CHAKAMILIKA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HzbY9S4OGWukwFya7XTr59YC9rFWkloYRuOen-GQR8MNdIqsraym5J3oh*jyniPGB2WnBEbEvS4IdzsLw-Vl1JzgLO4M5VTE/10341975_253082864897461_6093383173001738673_n.jpg?width=650)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YkTQKvQouupBItq8xL1dee-eJAHvWR2VuigwFnH2qFt8SXIkbae1FQYj2LitHd5JWfthKLxzul83kInvLWQ6y8N6bShvDhg5/Coat_of_arms_of_Tanzania.svg.png?width=650)
WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI KUANZA ZOEZI LA KUHAKIKI VYAMA VYA KIJAMII HAPA NCHINI MWEZI UJAO