Kituo kipya cha daladala Ubungo kuanza mwezi ujao
KITUO kipya cha daladala kilichopo eneo la Migombani jirani na jengo la Mawasiliano kitakachochukua nafasi ya kituo cha Ubungo kinatarajiwa kuanza kutumika mwishoni mwa mwezi huu baada ya kukamilika kwa sehemu kubwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HzbY9S4OGWukwFya7XTr59YC9rFWkloYRuOen-GQR8MNdIqsraym5J3oh*jyniPGB2WnBEbEvS4IdzsLw-Vl1JzgLO4M5VTE/10341975_253082864897461_6093383173001738673_n.jpg?width=650)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fXUwj8AcBImr3BxSJ5IpNGU4peM*3Osfc5IyWay8SKYqTLyAfTr2mmjw6lawuMJijj3A9fWsa2x8oFP3FA*j1-bkgOH0H*Bh/2.jpg?width=650)
KITUO KIPYA KILICHOSUSIWA NA MADEREVA DALADALA UBUNGO JIJINI DAR
10 years ago
Uhuru Newspaper09 Sep
Kivuko kipya cha Mv Dar kuwasili nchini mwezi ujao
NA MUSSA YUSUPH
SERIKALI imetangaza kukamilika kwa ujenzi wa Kivuko kipya cha Mv Dar es Salaam,
kitakachokuwa na uwezo wa kuvusha watu zaidi ya 300 kati ya Dar es Salaam na Bagamoyo.
Kukamilika kwa kivuko hicho, kinachotarajiwa kuwasili nchini katika kipindi cha wiki tatu zijazo,kunatokana na jitihada za serikali katika kupunguza msongamano wa magari na shida ya usafiri kwa wakazi wa jiji la Dar es Salaam.
Mbali na uwezo wa kubeba idadi kubwa ya abiria, kivuko hicho pia kitakuwa na kasi...
10 years ago
Habarileo21 Oct
Kituo cha daladala Ubungo kuzinduliwa
KITUO kipya cha daladala cha Ubungo kilichohamishiwa Kituo cha Simu, kati ya barabara ya Sam Nujoma na Sinza jijini Dar es Salaam, linatarajiwa kuzinduliwa rasmi kesho kutwa. Hayo yalielezwa katika taarifa ya Mamlaka ya Udhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) iliyotolewa jana kwa vyombo vya habari na Ofisa Mfawidhi wake, Conrad Shio.
10 years ago
Michuzi25 Jan
10 years ago
GPL10 years ago
Michuzi13 Dec
MANISPAA YA KINONDONI YAZINDUA HUDUMA YA BURE YA INTERNETI KWENYE KITUO KIPYA CHA DALADALA CHA SINZA
![](https://4.bp.blogspot.com/-wJv_GGAc-Ls/VIvoHinBNPI/AAAAAAAAsCQ/9xL20rGX1d4/s1600/7.%2BMtandao%2Bkatika%2Bsimu%2Bbaada%2Bya%2Bkuzinduliwaa.jpg)
Akizindua huduma hiyo, jana, Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yussuf Mwenda alisema, mtandao wa WiFi umeunganishwa kwenye kituo hicho kupitia mkongo wa mawasiliano kupitia Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL).
Mwenda alisema, mtandao huo utakuwepo usiku na...
10 years ago
Vijimambo13 Dec
MANISPAA YA KINONDONI YAZINDUA HUDUMA YA BURE YA INTERNETI KWENYE KITUO KIPYA CHA DALADALA CHA SIMU2000
![](https://4.bp.blogspot.com/-wJv_GGAc-Ls/VIvoHinBNPI/AAAAAAAAsCQ/9xL20rGX1d4/s1600/7.%2BMtandao%2Bkatika%2Bsimu%2Bbaada%2Bya%2Bkuzinduliwaa.jpg)
Akizindua huduma hiyo, jana, Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yussuf Mwenda alisema, mtandao wa WiFi umeunganishwa kwenye kituo hicho kupitia mkongo wa mawasiliano kupitia Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL).
Mwenda alisema, mtandao huo utakuwepo usiku na...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-v6oqt1aMXrg/U5IxooDn7pI/AAAAAAAFoJo/wEPGcX65fzA/s72-c/unnamed.jpg)
WATOTO WALIVYOJITOA KUKIPIGA SOP SOP KITUO CHA DALADALA CHA UBUNGO JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-v6oqt1aMXrg/U5IxooDn7pI/AAAAAAAFoJo/wEPGcX65fzA/s1600/unnamed.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ujyo1hdWous/U5IxpGaRFQI/AAAAAAAFoJs/7l9Vqfj600Y/s1600/unnamed.jpgM.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-jvRP1JVBLHA/U5IxpArl54I/AAAAAAAFoJ0/o8wMeYY3YGI/s1600/unnamed.jpgZ.jpg)