KITUO KIPYA KILICHOSUSIWA NA MADEREVA DALADALA UBUNGO JIJINI DAR

Eneo la kituo kipya kilichopo nyuma ya jengo la Mawasiliano Tower. Wamiliki na madereva wanayofanya safari zake kati ya Ubungo na Mwenge jijini Dar leo wamegomea amri ya kutumia kituo kipya walichoamriwa na serikali kukitumia kilichopo nyuma ya jengo la Mawasiliano Tower, Ubungo jijini Dar. Mwanahabari wetu alitembelea kituo hicho na kukuta mafundi wakiendelea na ujenzi huku kukiwa na marundo ya vifusi. PICHA NA RICHARD BUKOS...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo16 Feb
Kituo kipya cha daladala Ubungo kuanza mwezi ujao
KITUO kipya cha daladala kilichopo eneo la Migombani jirani na jengo la Mawasiliano kitakachochukua nafasi ya kituo cha Ubungo kinatarajiwa kuanza kutumika mwishoni mwa mwezi huu baada ya kukamilika kwa sehemu kubwa.
11 years ago
GPL
MADEREVA DALADALA WAGOMA KWENDA KITUO KIPYA
11 years ago
Michuzi
WATOTO WALIVYOJITOA KUKIPIGA SOP SOP KITUO CHA DALADALA CHA UBUNGO JIJINI DAR



11 years ago
GPL10 years ago
Dewji Blog05 May
Scoop Exclusive: Matukio yaliyoajili masaa 31 Mgomo wa madereva kituo cha Ubungo Dar
Mkuu wa Wilaya wa Kinondoni, Poul Makonda akiwa na maafisa wa jeshi la Polisi wakielekea eneo la nyuma jirani na ofisi za madereva..
Na Andrew Chale,Modewji blog
Matukio kuanzia asunuhi:Mtandao wako bora ambao ulipiga kambi ndani ya kituo cha mabasi Ubungo na kulala hapa hapa, umeweza kukusanyia wewe msomaji wetu matukio muhimu ambayo yameweza kupatikana kuanzia usiku, asubuhi na hadi mchana ulipomalizika mgomo huo wa madereva leo Mei 5, majira...
10 years ago
Michuzi
MGOMO WA MADEREVA UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM.




10 years ago
VijimamboMADEREVA WA DALADALA JIJINI DAR WAFANYA MGOMO LEO
10 years ago
Michuzi
RAIS ALIPOKUTANA NA MADEREVA UBUNGO PLAZA JIJINI DAR ES SALAAM



10 years ago
Vijimambo
RAIS ALIPOKUTANA NA MADEREVA LEO UBUNGO PLAZA JIJINI DAR ES SALAAM

