MGOMO WA MADEREVA UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM.
![](http://4.bp.blogspot.com/-m6gs1Zz9oLA/VUeHZxpCIvI/AAAAAAAAAU4/dEFFEnugFJo/s72-c/IMG_7319.jpg)
Katibu Mkuu wa Chama cha Madereva Tanzania (CHAMAMATA),Rashid Salehe akizungumza na madereva (hawapo pichani) katika Kituo kikuu cha Mabasi yaendayo Mikoani Ubungo jijini Dar es Salaam, kuhusiana na mgomo wa mabasi yaendayo mikoani.
Makamu Mwenyekiti wa chama cha Madereva Tanzania (CHAMAMATA),akizungumza na Madereva wa mabasi yanayosafirisha abiri (hawapo hewani),waliogoma kusafirisha abiri kwa madai yao ya Mikataba ya kazi pamoja na Ajira za kudumu.
Madereva wakiwa wameshika mabango katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/PIQthgg7_44/default.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-IpWtS7Dvb98/VhByvNZBx2I/AAAAAAADAMI/mazIPdxEsIU/s72-c/IMGS0109.jpg)
RAIS ALIPOKUTANA NA MADEREVA UBUNGO PLAZA JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-IpWtS7Dvb98/VhByvNZBx2I/AAAAAAADAMI/mazIPdxEsIU/s640/IMGS0109.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-IUCGWeASMgA/VhByYGQN3OI/AAAAAAADAL4/PJ11SZJh86M/s640/IMGS0120.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-YtGDrj9kYF0/VhByZJfMhNI/AAAAAAADAMA/4L98O1uB5ww/s640/IMGS0135.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/Ti8WAWSsShQ/default.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-OwlBnzJnaoM/VhB1ZrAjF_I/AAAAAAAD_P4/aNbj8rquHzM/s72-c/IMGS0131.jpg)
RAIS ALIPOKUTANA NA MADEREVA LEO UBUNGO PLAZA JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-OwlBnzJnaoM/VhB1ZrAjF_I/AAAAAAAD_P4/aNbj8rquHzM/s640/IMGS0131.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-X9aiuXcxrT8/VhB1ZuTeSNI/AAAAAAAD_P0/LYx437TvZYg/s640/IMGS0135.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sT-mI3qB-herO9MoPhVN1JE52Oc7xfPRrDr2VCu0jxHgMO4gJy3nb1fW2Wo5u-MS2RnYMpvuIZeZ0LrEHiDtwIgev-56KgXS/MGOMO1.jpg?width=650)
TASWIRA YA MGOMO WA MADEREVA STAND YA MABASI UBUNGO, DAR
10 years ago
Dewji Blog05 May
Scoop Exclusive: Matukio yaliyoajili masaa 31 Mgomo wa madereva kituo cha Ubungo Dar
Mkuu wa Wilaya wa Kinondoni, Poul Makonda akiwa na maafisa wa jeshi la Polisi wakielekea eneo la nyuma jirani na ofisi za madereva..
Na Andrew Chale,Modewji blog
Matukio kuanzia asunuhi:Mtandao wako bora ambao ulipiga kambi ndani ya kituo cha mabasi Ubungo na kulala hapa hapa, umeweza kukusanyia wewe msomaji wetu matukio muhimu ambayo yameweza kupatikana kuanzia usiku, asubuhi na hadi mchana ulipomalizika mgomo huo wa madereva leo Mei 5, majira...
10 years ago
Habarileo11 Apr
Vurugu mgomo wa madereva Dar es Salaam
MGOMO wa madereva wa mabasi ya mikoani na baadhi ya mabasi ya usafiri Dar es Salaam maarufu daladala uliofanyika jana, uliambatana na vurugu katika maeneo mbalimbali ya jiji hilo na kulazimisha askari Polisi kutumia mabomu ya machozi kurejesha hali ya amani.
10 years ago
VijimamboMADEREVA WA DALADALA JIJINI DAR WAFANYA MGOMO LEO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fXUwj8AcBImr3BxSJ5IpNGU4peM*3Osfc5IyWay8SKYqTLyAfTr2mmjw6lawuMJijj3A9fWsa2x8oFP3FA*j1-bkgOH0H*Bh/2.jpg?width=650)
KITUO KIPYA KILICHOSUSIWA NA MADEREVA DALADALA UBUNGO JIJINI DAR