DC wa Kinondoni Mhe. Paul Makonda alivyohitimisha mgomo wa madereva Ubungo, Dar es salaam
![](http://img.youtube.com/vi/PIQthgg7_44/default.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog06 May
DC wa Kinondoni, Paul Makonda azungumzia maafikiano yaliyofikiwa kumaliza mgomo wa madereva nchini
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maafikiano hayo.
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu maafikiano hayo.
Wanahabari wakisubiri kuchukua taarifa hiyo.
Na Dotto Mwaibale
MKUU wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda amesema Serikali imetimiza masharti ya madereva kwa kuunda kamati ya kushughulikia kero na matatizo ya madereva ambayo inatarajia kuanza kazi yake Ijumaa.
Hatua...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-m6gs1Zz9oLA/VUeHZxpCIvI/AAAAAAAAAU4/dEFFEnugFJo/s72-c/IMG_7319.jpg)
MGOMO WA MADEREVA UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM.
![](http://4.bp.blogspot.com/-m6gs1Zz9oLA/VUeHZxpCIvI/AAAAAAAAAU4/dEFFEnugFJo/s640/IMG_7319.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-M2SQ_RS0xDE/VUeHZeBEjFI/AAAAAAAAAU0/vsYM9KWKnT0/s640/IMG_7360.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ej1jbbW7D8Q/VUeHbwcEtGI/AAAAAAAAAVE/9Sy8MgJQ7hk/s640/IMG_7395.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-hE4i5mAkXBw/VUeLqzxROxI/AAAAAAAAAVY/PoZrScwDCA8/s640/IMG_7220.jpg)
10 years ago
VijimamboMKUU WA WILAYA YA KINONDONI, PAUL MAKONDA AZINDUA MASHINDANO KINONDONI CUP JIJINI DAR ES SALAAM , AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU 138
10 years ago
GPLPAUL MAKONDA AZUNGUMZIA MAAFIKIANO YALIYOFIKIWA KUMALIZA MGOMO WA MADEREVA NCHINI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sT-mI3qB-herO9MoPhVN1JE52Oc7xfPRrDr2VCu0jxHgMO4gJy3nb1fW2Wo5u-MS2RnYMpvuIZeZ0LrEHiDtwIgev-56KgXS/MGOMO1.jpg?width=650)
TASWIRA YA MGOMO WA MADEREVA STAND YA MABASI UBUNGO, DAR
10 years ago
VijimamboCHAMA CHA WAFANYAKAZI MADEREVA TANZANIA (TADWU), CHAMKABIDHI MLEZI WAO MKUU WA WILAYA YA KINONDONI PAUL MAKONDA RASIMU YA MKATABA WA MABORESHO YA MASLAHI YAO.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JQCJar-9Q-Y/Xl-VysRd-lI/AAAAAAALg7M/RR2ILAmxsP4d1u4NBU6VL6Li4hn4R5IlgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B2.04.17%2BPM.jpeg)
RC MAKONDA ATANGAZA DAWA KWA WAKANDARASI WANAOKIUKA TARATIBU ZA MIKATABA * RC Makonda asema hakuna mgonjwa wa Covid 19, awataka wananchi kufuata maelekezo Na Leandra Gabriel, Michuzi TV MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ametangaza kamati ya w
![](https://1.bp.blogspot.com/-JQCJar-9Q-Y/Xl-VysRd-lI/AAAAAAALg7M/RR2ILAmxsP4d1u4NBU6VL6Li4hn4R5IlgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B2.04.17%2BPM.jpeg)
* RC Makonda asema hakuna mgonjwa wa Covid 19, awataka wananchi kufuata maelekezo
Na Leandra Gabriel, Michuzi TVMKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ametangaza kamati ya watu 13 kutoka Serikali na sekta binafsi ambao...
10 years ago
Dewji Blog05 May
Scoop Exclusive: Matukio yaliyoajili masaa 31 Mgomo wa madereva kituo cha Ubungo Dar
Mkuu wa Wilaya wa Kinondoni, Poul Makonda akiwa na maafisa wa jeshi la Polisi wakielekea eneo la nyuma jirani na ofisi za madereva..
Na Andrew Chale,Modewji blog
Matukio kuanzia asunuhi:Mtandao wako bora ambao ulipiga kambi ndani ya kituo cha mabasi Ubungo na kulala hapa hapa, umeweza kukusanyia wewe msomaji wetu matukio muhimu ambayo yameweza kupatikana kuanzia usiku, asubuhi na hadi mchana ulipomalizika mgomo huo wa madereva leo Mei 5, majira...
10 years ago
Habarileo11 Apr
Vurugu mgomo wa madereva Dar es Salaam
MGOMO wa madereva wa mabasi ya mikoani na baadhi ya mabasi ya usafiri Dar es Salaam maarufu daladala uliofanyika jana, uliambatana na vurugu katika maeneo mbalimbali ya jiji hilo na kulazimisha askari Polisi kutumia mabomu ya machozi kurejesha hali ya amani.