Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PAUL MAKONDA AZUNGUMZIA MAAFIKIANO YALIYOFIKIWA KUMALIZA MGOMO WA MADEREVA NCHINI‏

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo mchana, kuhusu muafaka uliofikiwa kufuatia mgomo wa madereva uliofanyika ofisi ya waziri mkuu kwa kuwashirikisha wadau mbalimbali. Wanahabari wakisubiri kuchukua taarifa hiyo. Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maafikiano hayo. Na Dotto Mwaibale MKUU wa Wilaya ya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

DC wa Kinondoni, Paul Makonda azungumzia maafikiano yaliyofikiwa kumaliza mgomo wa madereva nchini

IMG_3707

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maafikiano hayo.

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu maafikiano hayo.

IMG_3656

Wanahabari wakisubiri kuchukua taarifa hiyo.

Na Dotto Mwaibale

 MKUU wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda amesema Serikali  imetimiza masharti ya madereva kwa kuunda kamati ya kushughulikia kero na matatizo ya madereva ambayo inatarajia kuanza kazi yake Ijumaa.

Hatua...

 

10 years ago

Dewji Blog

Breaking News! Madereva ‘wasimama’ nchini, washinikiza wakutane na Wazri Mkuu Pinda kumaliza mgomo wao!

maderw

Baadhi ya madereva wa mabasi katika stendi kuu ya Mabasi yaendayo Mkoani na nchi jirani Ubungo,wakishangilia wakiwa na mabango yao yenye  jumbe : “Mabomu tumeyazoea! Tanzania bila madereva haiwezekani! muda huu wakiwa wamejikusanya wakimsubiria Waziri Mkuu Mizengo Pinda afike kuongea nao kufikia suluhu (Picha na Andrew Chale, Modewji blog).

Na Andrew Chale, Modewji blog

Mgomo wa madereva umeibuka tena leo Mei 4 baada ya mabasi na magari ya mizigo kugoma tena kwa mara ya pili kwa lengo la...

 

9 years ago

Vijimambo

NAIBU KATIBU WA MADEREVA AZUNGUMZIA MGOMO WAO UNAOPANGWA KUANZA KESHO

Leo  Agosti 16 mwaka 2015 kulikuwa na mkutano wa madereva wa mabasi ulifanyika katika ukumbi wa Kimara resort jijini Dar es salaam na kuahamua haya yafuatayo;Kwa mujibu wa Naibu katibu mkuu wa madereva (TADU), Rashidi Saleh aliwaeleza madereva hatima ya kamati ambayo imeundwa na Waziri Mkuu kusuruhisha kero za Madereva  hapa nchini.

Naibu katibu mkuu wa madereva (TADU), Rashidi Saleh akizungumza na madereva amesema "Tarehe 13 /8 tulipo kwenda baada ya wao kusikia kuna tishio la mgomo,tulizani...

 

10 years ago

Dewji Blog

Exclusive siku ya pili mgomo wa madereva: Wadumu masaa 31, DC Makonda auzima ‘kiaina’

IMG_20150505_123345.jpgMako

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Poul Makonda akiongea na umati wa madereva na wapiga debe waliofurika  ndani ya kituo cha mabasi Ubungo mapema leo ambapo amewataka madereva kuacha mgomo na waendelee na safari huku matatizo yao ya msingi yakishughulikiwa ikiwemo kuangalia tume iliyoundwa kama imezingatia vitu muhimu akiwemo muakilishi wa madereva anayeaminika pamoja na tume hiyo kuwa ya uwazi huku akisisitiza kuwa, endapo hadi kesho saa nne asubuhi ( Mei 6), tume hiyo haitakuwa na vitu vya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Breaking News! Madereva ‘wasimama’ nchi washinikiza wakutane na Wazri Mkuu Pinda kumaliza mgomo wao!

maderw

 

Baadhi ya madereva wa mabasi katika stendi kuu ya Mabasi yaendayo Mkoani na nchi jirani Ubungo,wakishangilia wakiwa na mabango yao yenye  jumbe : “Mabomu tumeyazoea! Tanzania bila madereva haiwezekani! muda huu wakiwa wamejikusanya wakimsubiria Waziri Mkuu Mizengo Pinda afike kuongea nao kufikia suluhu (Picha na Andrew Chale, Modewji blog).

Na Andrew Chale, Modewji blog

Mgomo wa madereva umeibuka tena leo Mei 4 baada ya mabasi na magari ya mizigo kugoma tena kwa mara ya pili kwa lengo la...

 

10 years ago

GPL

PAUL MAKONDA AONGOZA MAMIA MAZISHI YA BABA WA STEVE NYERERE‏

 Marehemu Francis Festus Mengele, enzi za uhai wake.  Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akiweka shada la maua kwenye kaburi la marehemu Francis Festus Mengele.  Shangazi wa Msanii, Steve Nyerere, Grace Mengele (katikati), akiwa na wadogo zake Steve Nyerere wakati akiwasili makaburi ya Kinondoni kwa mazishi ya mpendwa wao, Francis Mengele.… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani