Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


GLOBAL TV ONLINE: PAUL MAKONDA AJIPA MASAA 21 KUTATUA MADAI YA MADEREVA

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Exclusive siku ya pili mgomo wa madereva: Wadumu masaa 31, DC Makonda auzima ‘kiaina’

IMG_20150505_123345.jpgMako

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Poul Makonda akiongea na umati wa madereva na wapiga debe waliofurika  ndani ya kituo cha mabasi Ubungo mapema leo ambapo amewataka madereva kuacha mgomo na waendelee na safari huku matatizo yao ya msingi yakishughulikiwa ikiwemo kuangalia tume iliyoundwa kama imezingatia vitu muhimu akiwemo muakilishi wa madereva anayeaminika pamoja na tume hiyo kuwa ya uwazi huku akisisitiza kuwa, endapo hadi kesho saa nne asubuhi ( Mei 6), tume hiyo haitakuwa na vitu vya...

 

10 years ago

GPL

PAUL MAKONDA AZUNGUMZIA MAAFIKIANO YALIYOFIKIWA KUMALIZA MGOMO WA MADEREVA NCHINI‏

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo mchana, kuhusu muafaka uliofikiwa kufuatia mgomo wa madereva uliofanyika ofisi ya waziri mkuu kwa kuwashirikisha wadau mbalimbali. Wanahabari wakisubiri kuchukua taarifa hiyo. Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maafikiano hayo. Na Dotto Mwaibale MKUU wa Wilaya ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

DC wa Kinondoni, Paul Makonda azungumzia maafikiano yaliyofikiwa kumaliza mgomo wa madereva nchini

IMG_3707

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maafikiano hayo.

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu maafikiano hayo.

IMG_3656

Wanahabari wakisubiri kuchukua taarifa hiyo.

Na Dotto Mwaibale

 MKUU wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda amesema Serikali  imetimiza masharti ya madereva kwa kuunda kamati ya kushughulikia kero na matatizo ya madereva ambayo inatarajia kuanza kazi yake Ijumaa.

Hatua...

 

11 years ago

GPL

PAUL MAKONDA WA UVCCM ATEMBELEA GLOBAL

Luqman Maloto mmoja wa wahariri wa Global akimkaribisha Bw. Makonda. Bw. Makonda akifafanua jambo mbele ya wanahabari wa Global (hawapo pichani).…

 

10 years ago

Vijimambo

MKUU WA WILAYA KINONDONI PAUL MAKONDA AKUTANA NA WANA UMOJA WA MAFUNDI MAGARI TEGETA KUTATUA MGOGORO WA ARDHI DHIDI YA MWEKEZAJI‏

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (katikati), akiwa na Viongozi wa Umoja wa Mafundi Magari Tegeta wakati akikagua eneo lenye mgogoro wa ardhi kati ya wanaumoja huo pamoja na mwekezaji alipokwenda kuwasikiliza kuhusu mgogoro huo Dar es Salaam jana.DC Paul Makonda akiwahutubia wana umoja huo.Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (katikati), akiwa na viongozi wa umoja huo.Naibu Katibu Mkuu wa Umoja huo Nationi Ndela akitoa historia ya mgogoro huo mbele ya DC Makonda.Baadhi ya...

 

10 years ago

GPL

MKUU WA WILAYA KINONDONI PAUL MAKONDA AKUTANA NA WANA UMOJA WA MAFUNDI MAGARI TEGETA KUTATUA MGOGORO WA ARDHI DHIDI YA MWEKEZAJI‏

 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (katikati), akiwa na Viongozi wa Umoja wa Mafundi Magari Tegeta wakati akikagua eneo lenye mgogoro wa ardhi kati ya wanaumoja huo pamoja na mwekezaji alipokwenda kuwasikiliza kuhusu mgogoro huo Dar es Salaam jana.  DC Paul Makonda akiwahutubia wana umoja huo.  Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda… ...

 

9 years ago

Dewji Blog

Paul Makonda azindua Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba kutoka Global

Shinda Nyumba na Global (11)

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (katikati) akizindua Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba inayoendeshwa na Kampuni ya Global Publishers Ltd. Kulia ni Meneja Mkuu wa Global Publishers Ltd, Abdallah Mrisho na kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers Ltd, Eric James Shigongo.

Shinda Nyumba na Global (12)

Shinda Nyumba na Global (13)

Paul Makonda akigawa vipeperushi vyenye nyumba na zawadi nyingine zinazoshindaniwa kwa wanahabari.

Shinda Nyumba na Global (1)

Shinda Nyumba na Global (2)

Meneja Mkuu wa Global Publishers Ltd, Abdallah Mrisho akiwakaribisha wanahabari na Mkuu wa Wilaya ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani