Paul Makonda azindua Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba kutoka Global
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (katikati) akizindua Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba inayoendeshwa na Kampuni ya Global Publishers Ltd. Kulia ni Meneja Mkuu wa Global Publishers Ltd, Abdallah Mrisho na kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers Ltd, Eric James Shigongo.
Paul Makonda akigawa vipeperushi vyenye nyumba na zawadi nyingine zinazoshindaniwa kwa wanahabari.
Meneja Mkuu wa Global Publishers Ltd, Abdallah Mrisho akiwakaribisha wanahabari na Mkuu wa Wilaya ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers05 Jan
Dar waendelea kuchangamkia bahati nasibu ya Shinda Nyumba
Muuzaji wa magazeti ya Global Publishers (katikati) akiwa na msomaji wa Gazeti la Uwazi eneo la Tandale Sokoni huku akimwelekeza jinsi ya kujaza kuponi ili kushiriki bahati nasibu hiyo.
Msomaji wa Gazeti la Uwazi akiweka kuponi yake baada ya kumaliza kuijaza.
Baadhi ya wakazi wa Tandale Sokoni wakishuhudia msomaji wa Gazeti la Uwazi alivyokuwa akijaza kuponi ili kushiriki bahati nasibu.
Ofisa Usambazaji wa Global Publishers, Yohana Mkanda (wa pili kushoto) akimwelekeza msomaji wa Gazeti...
9 years ago
Global Publishers25 Dec
11 years ago
GPLPAUL MAKONDA WA UVCCM ATEMBELEA GLOBAL
9 years ago
Dewji Blog06 Dec
Shinda Nyumba ya Global kuzinduliwa wiki iyayo jijini Dar
Bango la Shinda Nyumba ya Global Publishers (katikati) likiwa eneo la Karume Jijini Dar.
Bango likiwa eneo la Ubungo.
Bango likiwa eneo la Tegeta.
BAADA ya kujihusisha na misaada mbalimbali ya kijamii na kiutu, Kampuni ya Global Publishers Ltd, wachapishaji wa magazeti pendwa na lile bora la michezo nchini Tanzania, imekuwa ya kwanza ya habari kutoa zawadi ya nyumba kwa wasomaji wake katika promosheni inayotarajiwa kuanza Desemba 11, 2015.
Kumbukumbu zinaonesha kwamba, michezo ya...
9 years ago
Dewji Blog16 Nov
DC Paul Makonda azindua umoja wa watengenezaji keki nchini (TCBA)
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (wa pili kulia) na Mdau wa Keki, Mama Cythia Henjewele (wa pili kushoto), wakikata keki maalumu wakati wa hafla ya uzinduzi wa Umoja wa Watengeneza keki Tanzania (Tanzania Cake Bakers Association -TCBA), uliofanyika katika Mgahawa wa City Lounge Posta mpya Dar es Salaam jana. Kulia ni Mshehereshaji, Makena na Mdau wa Keki, Philip Mbonde.
10 years ago
GPL05 May
10 years ago
GPLPAUL MAKONDA AZINDUA IBADA YA MAKUNDI MAALUMU KATIKA KANISA LA KILUTHERI USHARIKA WA KIGOGO DAR
10 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA KINONDONI PAUL MAKONDA AZINDUA MAONESHO YA 5 YA KAMPUNI YA EAG GROUP LEO JIJINI DAR.
10 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA YA KINONDONI PAUL MAKONDA AZINDUA IBADA YA MAKUNDI MAALUMU KATIKA KANISA LA KILUTHERI USHARIKA WA KIGOGO JIJINI DAR