Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shinda Nyumba kwa kusoma Magazeti ya Global

nyumba

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Shinda Nyumba ya Global kuzinduliwa wiki iyayo jijini Dar

file-page2

Bango la Shinda Nyumba ya Global Publishers (katikati) likiwa eneo la Karume Jijini Dar.

file-page4

Bango likiwa eneo la Ubungo.

file-page6

Bango likiwa eneo la Tegeta.

BAADA ya kujihusisha na misaada mbalimbali ya kijamii na kiutu, Kampuni ya Global Publishers Ltd, wachapishaji wa magazeti pendwa na lile bora la michezo nchini Tanzania, imekuwa ya kwanza ya habari kutoa zawadi ya nyumba kwa wasomaji wake katika promosheni inayotarajiwa kuanza Desemba 11, 2015.

Kumbukumbu zinaonesha kwamba, michezo ya...

 

9 years ago

Dewji Blog

Paul Makonda azindua Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba kutoka Global

Shinda Nyumba na Global (11)

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (katikati) akizindua Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba inayoendeshwa na Kampuni ya Global Publishers Ltd. Kulia ni Meneja Mkuu wa Global Publishers Ltd, Abdallah Mrisho na kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers Ltd, Eric James Shigongo.

Shinda Nyumba na Global (12)

Shinda Nyumba na Global (13)

Paul Makonda akigawa vipeperushi vyenye nyumba na zawadi nyingine zinazoshindaniwa kwa wanahabari.

Shinda Nyumba na Global (1)

Shinda Nyumba na Global (2)

Meneja Mkuu wa Global Publishers Ltd, Abdallah Mrisho akiwakaribisha wanahabari na Mkuu wa Wilaya ya...

 

9 years ago

Global Publishers

Shinda Nyumba Ilivyozinduliwa Kwa Kishindo Mwanza

mwanza (1)
Mwandishi wetu, Mwanza

Ile Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba iliyozinduliwa wiki iliyopita katika ofizi za Global Publishers zilizopo Bamaga Mwenge jijini Dar na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda, imezinduliwa pia mkoani Mwanza.

mwanza (32)Katika uzinduzi huo, uliofanywa na Mwakilishi wa Kampuni ya Global jijini humo Jumatano iliyopita, Ally Masumbuko, wananchi walijaza kuponi zao kushiriki bahati nasibu hiyo.

mwanza (33)Sehemu ambazo wananchi wake walibahatika kujaza kuponi na kuingia katika shindano ni...

 

9 years ago

Michuzi

WASOMAJI WA MAGAZETI YA GLOBAL PUBLISHERS KUJISHINDIA NYUMBA, PIKIPIKI, TV NA ZAWADI NYINGINE NYINGI.

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (katikati) akizindua Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba inayoendeshwa na Kampuni ya Global Publishers Ltd. Kulia ni Meneja Mkuu wa Global Publishers Ltd, Abdallah Mrisho na kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers Ltd, Eric James Shigongo.Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akiongea na wanahabari (hawapo pichani) kabla ya uzinduzi wa Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba kutoka Global.Wafanyakazi wa Global Publishers wakiwa katika picha ya...

 

9 years ago

Global Publishers

Wasomaji wachangamkia droo ya kwanza Shinda Nyumba kesho!

????????????????????????????????????

Muuza magazeti wa Kampuni ya Global Publishers (mwenye fulana nyeupe), akimuelekeza msomaji jinsi ya kujaza kuponi na kushiriki bahati nasibu hiyo ambayo kesho itafanyika droo ya kwanza.

????????????????????????????????????

Zoezi la kujaza kuponi ili kushiriki droo ya kwanza ya bahati nasibu kesho likipamba moto.

????????????????????????????????????

Ofisa Masoko wa Global, Yohana Mkanda (kushoto) akishudia msomaji wa Gazeti la Championi akijaza kuponi ili kushiriki droo ya kwanza inayotarajia kuchezeshwa kesho.

????????????????????????????????????

Mkazi wa Vingunguti akiweka kuponi yake tayari...

 

9 years ago

Global Publishers

Dar waendelea kuchangamkia bahati nasibu ya Shinda Nyumba

1.Muuzaji wa magazeti ya Global Publishers (katikati) akiwa na msomaji wa gazeti la Uwazi eneo la Tandale sokoni akimwelekeza kujaza kuponi ili kuweza kushriki Bahari Nasibu hiyo.Muuzaji wa magazeti ya Global Publishers (katikati) akiwa na msomaji wa Gazeti la Uwazi eneo la Tandale Sokoni huku akimwelekeza jinsi ya kujaza kuponi ili kushiriki bahati nasibu hiyo.

2.Msomaji wa Gazeti la Uwazi akishiriki kuweka kuponi yake baada ya kumaliza taratibu za kujaza kuponi iliyo katika gazeti hilo.Msomaji wa Gazeti la Uwazi akiweka kuponi yake baada ya kumaliza kuijaza.

3.Baadhi ya wakazi wa Tandale sokoni wakishudia msomaji wa Gazeti la Uwazi alivyokuwa akijaza kuponi ili kushiriki Bahati Nasibu.Baadhi ya wakazi wa Tandale Sokoni wakishuhudia msomaji wa Gazeti la Uwazi alivyokuwa akijaza kuponi ili kushiriki bahati nasibu.

4.Ofisa Usambazaji wa Global Publishers, Yohana Mkanda (wapili kushoto) akimwelekeza msomaji wa Gazeti la Uwazi namna ya kujaza kuponi mara baada ya kununua gazeti kwa muuzaji.

Ofisa Usambazaji wa Global Publishers, Yohana Mkanda (wa pili kushoto) akimwelekeza msomaji wa Gazeti...

 

9 years ago

GPL

GLOBAL YAGAWA NAILONI KWA WAUZAJI WA MAGAZETI DAR

Maofisa wa Global Publishers Kitengo cha Usambazaji, Jordan Ngowi na Jimy Haroub (walioko mbele) wakimwekea muuzaji wa magazeti jinsi ya kufunika magazeti kwa naironi ili yasilowe eneo la Kituo cha Daladala cha Mwenge, Dar. Muuzaji wa…

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Mabalozi wa nyumba 10 hawajui kusoma’

IMEELEZWA kuwa mabalozi wa nyumba 10 wanaochaguliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) hawajui kusoma wala kuandika hali inayorudisha nyuma maendeleo ya eneo husika. Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili, mjini Dodoma...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani