Shinda Nyumba kwa kusoma Magazeti ya Global
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog02 Dec
9 years ago
Dewji Blog06 Dec
Shinda Nyumba ya Global kuzinduliwa wiki iyayo jijini Dar
Bango la Shinda Nyumba ya Global Publishers (katikati) likiwa eneo la Karume Jijini Dar.
Bango likiwa eneo la Ubungo.
Bango likiwa eneo la Tegeta.
BAADA ya kujihusisha na misaada mbalimbali ya kijamii na kiutu, Kampuni ya Global Publishers Ltd, wachapishaji wa magazeti pendwa na lile bora la michezo nchini Tanzania, imekuwa ya kwanza ya habari kutoa zawadi ya nyumba kwa wasomaji wake katika promosheni inayotarajiwa kuanza Desemba 11, 2015.
Kumbukumbu zinaonesha kwamba, michezo ya...
9 years ago
Dewji Blog10 Dec
Paul Makonda azindua Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba kutoka Global
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (katikati) akizindua Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba inayoendeshwa na Kampuni ya Global Publishers Ltd. Kulia ni Meneja Mkuu wa Global Publishers Ltd, Abdallah Mrisho na kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers Ltd, Eric James Shigongo.
Paul Makonda akigawa vipeperushi vyenye nyumba na zawadi nyingine zinazoshindaniwa kwa wanahabari.
Meneja Mkuu wa Global Publishers Ltd, Abdallah Mrisho akiwakaribisha wanahabari na Mkuu wa Wilaya ya...
9 years ago
Global Publishers19 Dec
Shinda Nyumba Ilivyozinduliwa Kwa Kishindo Mwanza
Mwandishi wetu, Mwanza
Ile Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba iliyozinduliwa wiki iliyopita katika ofizi za Global Publishers zilizopo Bamaga Mwenge jijini Dar na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda, imezinduliwa pia mkoani Mwanza.
Katika uzinduzi huo, uliofanywa na Mwakilishi wa Kampuni ya Global jijini humo Jumatano iliyopita, Ally Masumbuko, wananchi walijaza kuponi zao kushiriki bahati nasibu hiyo.
Sehemu ambazo wananchi wake walibahatika kujaza kuponi na kuingia katika shindano ni...
9 years ago
Michuzi10 Dec
WASOMAJI WA MAGAZETI YA GLOBAL PUBLISHERS KUJISHINDIA NYUMBA, PIKIPIKI, TV NA ZAWADI NYINGINE NYINGI.
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fglobalpublishers.co.tz%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F12%2FShinda-Nyumba-na-Global-11.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fglobalpublishers.co.tz%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F12%2FShinda-Nyumba-na-Global-9.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fglobalpublishers.co.tz%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F12%2FShinda-Nyumba-na-Global-14.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
9 years ago
Global Publishers06 Jan
Wasomaji wachangamkia droo ya kwanza Shinda Nyumba kesho!
Muuza magazeti wa Kampuni ya Global Publishers (mwenye fulana nyeupe), akimuelekeza msomaji jinsi ya kujaza kuponi na kushiriki bahati nasibu hiyo ambayo kesho itafanyika droo ya kwanza.
Zoezi la kujaza kuponi ili kushiriki droo ya kwanza ya bahati nasibu kesho likipamba moto.
Ofisa Masoko wa Global, Yohana Mkanda (kushoto) akishudia msomaji wa Gazeti la Championi akijaza kuponi ili kushiriki droo ya kwanza inayotarajia kuchezeshwa kesho.
Mkazi wa Vingunguti akiweka kuponi yake tayari...
9 years ago
Global Publishers05 Jan
Dar waendelea kuchangamkia bahati nasibu ya Shinda Nyumba
Muuzaji wa magazeti ya Global Publishers (katikati) akiwa na msomaji wa Gazeti la Uwazi eneo la Tandale Sokoni huku akimwelekeza jinsi ya kujaza kuponi ili kushiriki bahati nasibu hiyo.
Msomaji wa Gazeti la Uwazi akiweka kuponi yake baada ya kumaliza kuijaza.
Baadhi ya wakazi wa Tandale Sokoni wakishuhudia msomaji wa Gazeti la Uwazi alivyokuwa akijaza kuponi ili kushiriki bahati nasibu.
Ofisa Usambazaji wa Global Publishers, Yohana Mkanda (wa pili kushoto) akimwelekeza msomaji wa Gazeti...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/1.Maofisa-wa-Global-Publishers-idara-ya-Usambazaji-Jordan-Ngowi-na-Jimy-Haoroub-waloiko-mbele-wakitundika-Naironi-ya-karatasi-kwa-ajili-ya-kufunikia-gazeti-eneo-la-kituo-cha-daladala-Mwenge..jpg)
GLOBAL YAGAWA NAILONI KWA WAUZAJI WA MAGAZETI DAR
11 years ago
Tanzania Daima11 May
‘Mabalozi wa nyumba 10 hawajui kusoma’
IMEELEZWA kuwa mabalozi wa nyumba 10 wanaochaguliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) hawajui kusoma wala kuandika hali inayorudisha nyuma maendeleo ya eneo husika. Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili, mjini Dodoma...