Shinda Nyumba ya Global kuzinduliwa wiki iyayo jijini Dar
Bango la Shinda Nyumba ya Global Publishers (katikati) likiwa eneo la Karume Jijini Dar.
Bango likiwa eneo la Ubungo.
Bango likiwa eneo la Tegeta.
BAADA ya kujihusisha na misaada mbalimbali ya kijamii na kiutu, Kampuni ya Global Publishers Ltd, wachapishaji wa magazeti pendwa na lile bora la michezo nchini Tanzania, imekuwa ya kwanza ya habari kutoa zawadi ya nyumba kwa wasomaji wake katika promosheni inayotarajiwa kuanza Desemba 11, 2015.
Kumbukumbu zinaonesha kwamba, michezo ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers25 Dec
9 years ago
Dewji Blog10 Dec
Paul Makonda azindua Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba kutoka Global
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (katikati) akizindua Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba inayoendeshwa na Kampuni ya Global Publishers Ltd. Kulia ni Meneja Mkuu wa Global Publishers Ltd, Abdallah Mrisho na kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers Ltd, Eric James Shigongo.
Paul Makonda akigawa vipeperushi vyenye nyumba na zawadi nyingine zinazoshindaniwa kwa wanahabari.
Meneja Mkuu wa Global Publishers Ltd, Abdallah Mrisho akiwakaribisha wanahabari na Mkuu wa Wilaya ya...
9 years ago
Global Publishers05 Jan
Dar waendelea kuchangamkia bahati nasibu ya Shinda Nyumba
Muuzaji wa magazeti ya Global Publishers (katikati) akiwa na msomaji wa Gazeti la Uwazi eneo la Tandale Sokoni huku akimwelekeza jinsi ya kujaza kuponi ili kushiriki bahati nasibu hiyo.
Msomaji wa Gazeti la Uwazi akiweka kuponi yake baada ya kumaliza kuijaza.
Baadhi ya wakazi wa Tandale Sokoni wakishuhudia msomaji wa Gazeti la Uwazi alivyokuwa akijaza kuponi ili kushiriki bahati nasibu.
Ofisa Usambazaji wa Global Publishers, Yohana Mkanda (wa pili kushoto) akimwelekeza msomaji wa Gazeti...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RQR4n6nY3AI/VWG49OIdmWI/AAAAAAAHZgo/Vo_bf5lq2eg/s72-c/images.jpg)
WIKI YA UKOMBOZI WA BARA LA AFRIKA KUANZA RASMI KESHO MAKUMBUSHO YA TAIFA NA NYUMBA YA UTAMADUNI JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-RQR4n6nY3AI/VWG49OIdmWI/AAAAAAAHZgo/Vo_bf5lq2eg/s640/images.jpg)
Wiki hii itaanza tarehe 25 Mei ya kila mwaka husherehekewa kwa njia mbalimbali ndania na nje ya Bara la Afrika kukumbuka siku ambayo viongozi wa nchi za kiafrika ambazo tayari zilikuwa huru walikutana waka 1963 na kuanzisha Umoja wa...
11 years ago
GPLDROO NDOGO YA PILI PROMOSHENI YA SHINDA MAHELA YAFANYIKA MABIBO JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Gp5r1JlQKRc/VAY8bPAOFQI/AAAAAAABBdI/MjWGzusSANw/s72-c/IMG_5525.jpg)
FILAMU YA ‘MATESO YA UGHAIBUNI’ KUZINDULIWA JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-Gp5r1JlQKRc/VAY8bPAOFQI/AAAAAAABBdI/MjWGzusSANw/s1600/IMG_5525.jpg)
Na Cathbert Kajuna wa Kajunason Blog.FILAMU ya ‘Mateso Ughaibuni’ ambayo imerekodiwa Uingereza na wasanii Issa Musa ‘Cloud 112’, Riyama Ally, Wastara Juma ...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-YXA_WtYKfK8/VWSA9hLvChI/AAAAAAAC5F0/CiPbt66wU6k/s72-c/Mani24_Stara__15.jpg)
TAMASHA LA KWANZA LA STARA KUZINDULIWA JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-YXA_WtYKfK8/VWSA9hLvChI/AAAAAAAC5F0/CiPbt66wU6k/s640/Mani24_Stara__15.jpg)
Tamasha hili la aina yake linatazamiwa kufanyika tarehe 13th June 2015 katika ukumbi wa City Garden, kuanzia saa moja usiku hadi saa nne usiku kwa kiingilio cha shilling elfu 20 tu.
Pazia la Tamasha hili litafunguliwa wiki moja kabla ya Tamasha kwa Exhibition ya bidhaa ya vitu mbalimbali... vitakavyouzwa kama vile Mabaibui, Udi Hena na vitu vingine kuanzia saa mbii asubuhi hadi saa 1usiku na...
10 years ago
Dewji Blog03 Aug
Filamu mpya ya Wake-Up kuzinduliwa Agosti 30, 2015 jijini Dar
Muandaaji wa Filamu ya Wake-Up, Manaiki Sanga (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu filamu hiyo mpya inayotarajiwa kuzinduliwa Agosti 30, 2015. Kulia ni msanii wa filamu, Farida Sabua ‘Mama Sonia na Salim Ahmed ‘Gabo’.
Msanii wa filamu, Taiya Odero (kulia), akizungumza katika mkutano huo.
Meza kuu. Kutoka kulia ni Taiya Odero, Farida Sabua ‘Mama Sonia, Muandaaji wa Filamu ya Wake-Up, Manaiki Sanga, Salim Ahmed ‘Gabo na...
10 years ago
VijimamboFILAMU MPYA YA WAKE-UP KUZINDULIWA AGOSTI 30, 2015 JIJINI DAR ES SALAAM