TAMASHA LA KWANZA LA STARA KUZINDULIWA JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-YXA_WtYKfK8/VWSA9hLvChI/AAAAAAAC5F0/CiPbt66wU6k/s72-c/Mani24_Stara__15.jpg)
Pazia la Tamasha la kwanza la Mavazi ya Heshima STARA limezinduliwa hivi "Stara Street Fashion"
Tamasha hili la aina yake linatazamiwa kufanyika tarehe 13th June 2015 katika ukumbi wa City Garden, kuanzia saa moja usiku hadi saa nne usiku kwa kiingilio cha shilling elfu 20 tu.
Pazia la Tamasha hili litafunguliwa wiki moja kabla ya Tamasha kwa Exhibition ya bidhaa ya vitu mbalimbali... vitakavyouzwa kama vile Mabaibui, Udi Hena na vitu vingine kuanzia saa mbii asubuhi hadi saa 1usiku na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog19 Sep
TSN kumwaga zawadi za kutosha katika tamasha la kwanza la magari la ‘Automobile Clinic’ Jijini Dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-MR4N8g57E1o/VBtWu53v62I/AAAAAAABCt0/riVCFvIrFXc/s1600/IMG_8953.jpg)
Mmiliki wa Jossekazi Auto garage ambao ndiyo waandaaji wa tamasha akizungumza na waandishi wa habari juu ya tamasha la kwanza la Magari la aina yake, linalojulikana kwa jina la Automobile Clinic, ambalo linatarajiwa kufanyika kwa siku mbili Septemba 27 na 28, 2014 katika viwanja vya Leaders jijini Dar es salaam. Ambapo alisema kuwa tamasha hilo limelenga katika kutoa huduma ya kitaalamu ya kiufundi kwa wenye magari (Checkup and Fix) kutoka kwa mafundi stadi ambao wamebobea katika fani ya...
9 years ago
Mtanzania04 Sep
Tamasha jipya la burudani la KiliFest kuzinduliwa Dar
NA FESTO POLEA
TAMASHA jipya la burudani la KiliFest linatarajiwa kuzinduliwa Septemba 26, katika viwanja vya Leaders Club, ambapo idadi kubwa ya wasanii wa Bongo Fleva nchini watatumbuiza.
Tamasha hilo linakuwa la kwanza kwa Tanzania na litaanzia jijini Dar es Salaam, lakini kwa miaka ijayo litazunguka na mikoa mingine.
Meneja wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager, Pamela Kikuli, ambao ndio waandaaji wa tamasha hilo, alisema lengo la tamasha hilo ni kuwaleta Watanzania pamoja kupitia...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-46Fgw58Ee64/U5dFPp5Rf3I/AAAAAAAFpm0/dx9v2gcJK34/s72-c/unnamed.png)
NEWS ALERT: historia yawekwa jijini Mbeye leo baada ya kuzinduliwa kwa lift ya kwanza
![](http://4.bp.blogspot.com/-46Fgw58Ee64/U5dFPp5Rf3I/AAAAAAAFpm0/dx9v2gcJK34/s1600/unnamed.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5L_ugLH-9vk/U5c5T2gzKiI/AAAAAAAFplU/Zsj_RFflhqc/s1600/Untitled-1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-KPE_6pp6K1o/U5c5XHb55oI/AAAAAAAFplk/R-Syk04A5Us/s1600/404dc5104ea035ce5f0745ea1f9c72f2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-OxvscahbB-w/U5c5XN-qS1I/AAAAAAAFplg/4R6ysgpo8y0/s1600/794541cb933ad2f7a8255fa492cf3a87.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-s7-DkQeeNnQ/U5c5YHM5wzI/AAAAAAAFplo/S04yhcizBu4/s1600/c601b8e55387b081c095d583e9f23e8e.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-kY7scJ-8kPE/VXuA8ic3WUI/AAAAAAAHfJM/sb_Jlig6kfI/s72-c/unnamed%2B%252851%2529.jpg)
Usikose usiku wa ‘Stara Fashion Show’ leo ukumbi wa City garden jijini Dar es salaam
![](http://3.bp.blogspot.com/-kY7scJ-8kPE/VXuA8ic3WUI/AAAAAAAHfJM/sb_Jlig6kfI/s640/unnamed%2B%252851%2529.jpg)
Usiku huo umeandaliwa na Kampuni ya ‘Jast Tanzania Limited’ chini...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Gp5r1JlQKRc/VAY8bPAOFQI/AAAAAAABBdI/MjWGzusSANw/s72-c/IMG_5525.jpg)
FILAMU YA ‘MATESO YA UGHAIBUNI’ KUZINDULIWA JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-Gp5r1JlQKRc/VAY8bPAOFQI/AAAAAAABBdI/MjWGzusSANw/s1600/IMG_5525.jpg)
Na Cathbert Kajuna wa Kajunason Blog.FILAMU ya ‘Mateso Ughaibuni’ ambayo imerekodiwa Uingereza na wasanii Issa Musa ‘Cloud 112’, Riyama Ally, Wastara Juma ...
9 years ago
Dewji Blog06 Dec
Shinda Nyumba ya Global kuzinduliwa wiki iyayo jijini Dar
Bango la Shinda Nyumba ya Global Publishers (katikati) likiwa eneo la Karume Jijini Dar.
Bango likiwa eneo la Ubungo.
Bango likiwa eneo la Tegeta.
BAADA ya kujihusisha na misaada mbalimbali ya kijamii na kiutu, Kampuni ya Global Publishers Ltd, wachapishaji wa magazeti pendwa na lile bora la michezo nchini Tanzania, imekuwa ya kwanza ya habari kutoa zawadi ya nyumba kwa wasomaji wake katika promosheni inayotarajiwa kuanza Desemba 11, 2015.
Kumbukumbu zinaonesha kwamba, michezo ya...
10 years ago
Dewji Blog03 Aug
Filamu mpya ya Wake-Up kuzinduliwa Agosti 30, 2015 jijini Dar
Muandaaji wa Filamu ya Wake-Up, Manaiki Sanga (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu filamu hiyo mpya inayotarajiwa kuzinduliwa Agosti 30, 2015. Kulia ni msanii wa filamu, Farida Sabua ‘Mama Sonia na Salim Ahmed ‘Gabo’.
Msanii wa filamu, Taiya Odero (kulia), akizungumza katika mkutano huo.
Meza kuu. Kutoka kulia ni Taiya Odero, Farida Sabua ‘Mama Sonia, Muandaaji wa Filamu ya Wake-Up, Manaiki Sanga, Salim Ahmed ‘Gabo na...
10 years ago
VijimamboFILAMU MPYA YA WAKE-UP KUZINDULIWA AGOSTI 30, 2015 JIJINI DAR ES SALAAM
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-faZa9nrytps/UxjleLouAuI/AAAAAAAFRl0/QjRtIwR2UkI/s72-c/New+Picture+(10).png)
KAMPUNI YA KUMUENZI MAREHEMU STEVIN KANUMBA KUZINDULIWA APRIL 7, 2014 JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-faZa9nrytps/UxjleLouAuI/AAAAAAAFRl0/QjRtIwR2UkI/s1600/New+Picture+(10).png)
Uzinduzi huo utaenda sambamba na maadhimisho ya miaka miwili tokea kufariki kwa marehemu Kanumba ambaye alifariki dunia Aprili 7.
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Mama mzazi wa marehemu Kanumba, Flora Mtegoa alisema kuwa wameamua kuanzisha taasisi hiyo ili kuendelea kumuenzi mtoto wake na kuendeleza...