NEWS ALERT: historia yawekwa jijini Mbeye leo baada ya kuzinduliwa kwa lift ya kwanza

Bango la Uzinduzi wa lift ya kwanza jijini Mbeya.
Uzinduzi rasmi wa Lift ya kwanza Jijini Mbeya ukifanyika huku shamra shamra zikiendelea.
Wadau wakipanda na kushuka kwenye lift hiyo ikiwa ni sehemu ya kusherehekea uzinduzi wake.
hodiiii......
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
NEWS ALERT: PATASHIKA MLIMANI CITY LEO BAADA YA MALL HIYO KUUZWA KWA NAKUMAT...

9 years ago
Michuzi
NEWS ALERT: NYUMBA YATEKETEA KWA MOTO ILALA JIJINI DAR LEO


Shughuli ya uzimaji moto huo ikielekea ukingoni baada ya kikosi cha zima moto kufika eneo la tukio na kuifanya kazi hiyo kwa ufanisi mkubwa.

10 years ago
Michuzi
NEWS ALERT: CHOPA YAPIGA MWELEKA LEO NA KUUWA WATU WANNE JIJINI DAR LEO




10 years ago
Michuzi
NEWS ALERT: NDEGE YA JWTZ YAPATA AJALI JIJINI MWANZA LEO


Ndegevita za JWTZ zilikuwa katika mazoezi ya kawaida ya kivita, Wakati rubani wa ndegevita...
11 years ago
Michuzi
NEWS ALERT: LORI LA MAFUTA LAWAKA MOTO MBAGALA JIJINI DAR USIKU WA KUAMKIA LEO

Lori hilo pamoja na kupiga kwake mweleka halikuwa na madhara yeyote wala dalili ya kusema litawaka moto.Baada ya muda likaja kundi la vijana likiwa na madumu na mifuko ya plastiki na kuanza...
10 years ago
Michuzi
NEWS ALERT: WATU ZAIDI YA 30 WAPOTEZA MAISHA KATIKA AJALI MBAYA ILIYOTOKEA MAFINGA, IRINGA, LEO BAADA YA BASI LA ABIRIA KUANGUKIWA NA KONTENA


10 years ago
Michuzi.jpg)
News Alert: membe akutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Burundi jijini Dar es salaam leo
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.), leo amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Burundi, Mhe. Laurent Kavakure jijini Dar es Salaam katika Hoteli ya Hyatt Regency, Kilimanjaro. Mhe. Kavakure aliwasili nchini tarehe 03 Mei 2015. Wakati huo huo, Mhe. Membe ataongoza ujumbe wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kwenda Burundi siku ya Jumatano tarehe 06 Mei 2015 kufanya mazungumzo na Serikali ya...
11 years ago
Michuzi04 Jul
NEWS ALERT: Msako mkali waanza Arusha baada ya Sheikh wa msikiti wa Qiblatan kujeruhiwa kwa bomu
Kutoka Arusha taarifa zinasema msako mkali unaendelea kufuatia shambulio la bomu la mkono alilotupiwa Sheikh wa msikiti wa Qiblatan Sood Ally Sood (37) uliopo eneo la Kilombero jijini Arusha wakati akila daku.Kwa mujibu wa taarifa hiyo imedaiwa kuwa Sheikh huyo amejeruhiwa sehemu mbalimbali ikiwemo miguu yake yote miwili sehemu za mapajani pamoja na Kifuani na kupoteza baadhi ya vidole vya miguu yote miwili.Mbali na Sheikh huyo pia kuna mtu mwingine aliyekuwa nyumbani kwake hapo...
10 years ago
Michuzi
TAMASHA LA KWANZA LA STARA KUZINDULIWA JIJINI DAR

Tamasha hili la aina yake linatazamiwa kufanyika tarehe 13th June 2015 katika ukumbi wa City Garden, kuanzia saa moja usiku hadi saa nne usiku kwa kiingilio cha shilling elfu 20 tu.
Pazia la Tamasha hili litafunguliwa wiki moja kabla ya Tamasha kwa Exhibition ya bidhaa ya vitu mbalimbali... vitakavyouzwa kama vile Mabaibui, Udi Hena na vitu vingine kuanzia saa mbii asubuhi hadi saa 1usiku na...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania