News Alert: membe akutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Burundi jijini Dar es salaam leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-3vrcaofEp94/VUd4PucDRNI/AAAAAAAHVQg/L2tKC0HPTeg/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.), leo amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Burundi, Mhe. Laurent Kavakure jijini Dar es Salaam katika Hoteli ya Hyatt Regency, Kilimanjaro. Mhe. Kavakure aliwasili nchini tarehe 03 Mei 2015. Wakati huo huo, Mhe. Membe ataongoza ujumbe wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kwenda Burundi siku ya Jumatano tarehe 06 Mei 2015 kufanya mazungumzo na Serikali ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziWAZIRI MEMBE AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA UTURUKI
11 years ago
MichuziWAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA AKUTANA NA MWENYEKITI WA KAMATI YA MAMBO YA NJE YA BUNGE LA JAMHURI YA KOREA,PIA AFANYA MAZUNGUMZO NA WAZIRI WA UCHUKUZI WA BURUNDI
10 years ago
MichuziWAZIRI MEMBE AFUNGUA BARAZA LA TISA LA WAFANYAKAZI LA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA JIJINI DAR LEO.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fweuCOUfGgbBeA*R-sCWhF9cLpAXMMAWQgNLv0hqStLWVBPfrVDeuQEM0A0vk5P7-lpEXBbKgCkDYJByVc39mQkOzOcEpJ52/e2.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA MISRI IKULU, DAR ES SALAAM
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KZMkPDkFtlQ/Xl412vk2poI/AAAAAAALgr4/qjXTggcz6dk_lqqRaZOxHIGX_MuT19YQACLcBGAsYHQ/s72-c/1..jpg)
RAIS DKT. MAGUFULI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA PROFESA LIPUMBA PAMOJA NA JAMES MBATIA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-KZMkPDkFtlQ/Xl412vk2poI/AAAAAAALgr4/qjXTggcz6dk_lqqRaZOxHIGX_MuT19YQACLcBGAsYHQ/s640/1..jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-UEf2M4XWOSo/Xl411wXM4sI/AAAAAAALgr0/h4Tn2V2lxPUXZPUrU_a6Zmz4C_noaZaJwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-NkruX-6nIOw/Xl411MkDQyI/AAAAAAALgrw/RezjG1FxynUJr6EWHB9pgZpovLk-SINYACLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-15mOeaBDcWk/Xl417uj5lLI/AAAAAAALgsE/e5m0nnf6kN4Slt_z3X9ooOYcCP-azALXQCLcBGAsYHQ/s640/4.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CZZXoEhz9G8/Xl4o9qYUoWI/AAAAAAALgo4/PLtcfpNSISQnSulGp-ua9RcKSe1THvaZgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS DKT. MAGUFULI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MWANASIASA MKONGWE MAALIM SEIF SHARIF HAMAD IKULU JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-CZZXoEhz9G8/Xl4o9qYUoWI/AAAAAAALgo4/PLtcfpNSISQnSulGp-ua9RcKSe1THvaZgCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ISonxCXB0P0/Xl4o_nXPn2I/AAAAAAALgpA/7EmgQnYa8mAjQs2byb_54H4zPTraWwCWwCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-t9PF3XPue-E/Xl4o-qM69GI/AAAAAAALgo8/kkxWCa4YJBExnkVSGsvnu0jAUV8_aCrCgCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Hj55z8hMSqg/VUBtVS-Jh7I/AAAAAAABfRA/SmAs9obS6cE/s72-c/mi%2B(1).jpg)
WAZIRI WA MEMBE AKUTANA NA RAIS MSTAAFU WA MAREKANI BILL CLINTON JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-Hj55z8hMSqg/VUBtVS-Jh7I/AAAAAAABfRA/SmAs9obS6cE/s1600/mi%2B(1).jpg)
9 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA KUWAIT NCHINI
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Dkt. Susan Kolimba (Mb.) akisalimiana na Balozi wa Kuwait hapa nchini, Mhe. Nassem Ibrahim Al Najib alipofika Wizarani kwa ajili ya kuwasilisha salamu za pongezi kwa Mhe. Dkt. Kolimba kutoka kwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Kuwait.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-okOqTNvSGZw/UuvcvtoZFpI/AAAAAAAFJ90/6vC_4DlasWE/s72-c/unnamed+(21).jpg)
Naibu waziri wa mambo ja nje wa Japan atembelea shirika la reli jijini Dar es salaam
![](http://4.bp.blogspot.com/-okOqTNvSGZw/UuvcvtoZFpI/AAAAAAAFJ90/6vC_4DlasWE/s1600/unnamed+(21).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-QTNvzHJYPdU/UuvcvpXGkiI/AAAAAAAFJ-M/o9u0p0nsp_I/s1600/unnamed+(22).jpg)