WAZIRI MEMBE AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA UTURUKI
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki, Mhe. Ahmed Davutoglu walipokutana Mjini Addis Ababa kwa mazungumzo kuhusu kuimarisha ushirikiano kati ya Tanzania na Uturuki. Mhe. Membe yupo Addis Ababa akimwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika (AU) uliofanyika kuanzia tarehe 30 hadi 31 Januari, 2014.
Mhe. Membe (katikati) akiwa na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-3vrcaofEp94/VUd4PucDRNI/AAAAAAAHVQg/L2tKC0HPTeg/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
News Alert: membe akutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Burundi jijini Dar es salaam leo
9 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA KUWAIT NCHINI
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Dkt. Susan Kolimba (Mb.) akisalimiana na Balozi wa Kuwait hapa nchini, Mhe. Nassem Ibrahim Al Najib alipofika Wizarani kwa ajili ya kuwasilisha salamu za pongezi kwa Mhe. Dkt. Kolimba kutoka kwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Kuwait.
10 years ago
Vijimambo24 Apr
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje akutana kwa mazungumzo na CEO wa Standard Chartered nchini
11 years ago
MichuziWAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA AKUTANA NA MWENYEKITI WA KAMATI YA MAMBO YA NJE YA BUNGE LA JAMHURI YA KOREA,PIA AFANYA MAZUNGUMZO NA WAZIRI WA UCHUKUZI WA BURUNDI
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pRKnhkP3wyY/U4nT26gF4DI/AAAAAAAFmt4/VMImNhb6kJ8/s72-c/unnamed+(12).jpg)
WAZIRI WA MAMBO YA NJE UTURUKI AKUTANA NA RAIS DKT SHEIN LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-pRKnhkP3wyY/U4nT26gF4DI/AAAAAAAFmt4/VMImNhb6kJ8/s1600/unnamed+(12).jpg)
11 years ago
Dewji Blog30 May
Makamu wa Rais Dkt. Bilal akutana na Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Uturuki
Makamu wa Rai wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Uturuki, Ahmet Dovutoglu, aliyeongozana na ujumbe wake wakati walipofika Ofisini kwa Makamu Ikulu jijini Dar es Salaam kwa mazungumzo leo, Mei 30, 2014. Katika mazungumzo yao walisisitiza juu ya ushirikiano katika Nyanja mbalimbali baina nchi hizi mbili . Waziri huyo yupo nchini kwa ziara ya Kiserikali iliyoandaliwa na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_l3TFDwn9Hg/U4jpYHMBW7I/AAAAAAAFmoQ/MGXqAuKtM9E/s72-c/unnamed+(63).jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA WAZIRI WA MAMBO YA CHI ZA NJE WA UTURUKI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-_l3TFDwn9Hg/U4jpYHMBW7I/AAAAAAAFmoQ/MGXqAuKtM9E/s1600/unnamed+(63).jpg)
10 years ago
Michuzi11 Sep
WAZIRI MEMBE AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA MAREKANI NCHINI
9 years ago
MichuziWaziri wa Mambo ya Nje akutana na Waziri wa Nchi wa Mambo ya Nje wa Japan
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10