Waziri wa Mambo ya Nje akutana na Waziri wa Nchi wa Mambo ya Nje wa Japan
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga (Mb.) (kulia) akiwa katika mazungumzo na Waziri wa Nchi wa Mambo ya Nje wa Japan yaliyofanyika katika Ofisi ya Wizara hiyo leo.
Walioshuhudia mazungumzo hayo kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australasia katika Wizara ya Mambo ya Nje, Balozi Mbelwa Kairuki, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali, Bi, Mindi Kasiga na Katibu wa Waziri, Bw. Thobias Makoba.
Maofisa kutoka...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-EY5GYyFvkkw/Uu0kF-BdX8I/AAAAAAAFKHQ/XmTaB4qzPjs/s72-c/unnamed+(64).jpg)
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akutana na Naibu Waziri Mwandamizi wa Mambo ya Nje wa Japan
![](http://3.bp.blogspot.com/-EY5GYyFvkkw/Uu0kF-BdX8I/AAAAAAAFKHQ/XmTaB4qzPjs/s1600/unnamed+(64).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Nj9zPiy7qNs/Uu0kGBhTHxI/AAAAAAAFKHU/T1gx9tEuhQ8/s1600/unnamed+(65).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-feo8bvTrmoQ/UuzRfBNgiWI/AAAAAAAFKGw/qGH7RTShNos/s72-c/unnamed+(63).jpg)
DKT. BILAL AKUTANA NA NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA JAPAN NA UJUMBE WAKE IKULU DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-feo8bvTrmoQ/UuzRfBNgiWI/AAAAAAAFKGw/qGH7RTShNos/s1600/unnamed+(63).jpg)
11 years ago
Dewji Blog30 May
Makamu wa Rais Dkt. Bilal akutana na Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Uturuki
Makamu wa Rai wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Uturuki, Ahmet Dovutoglu, aliyeongozana na ujumbe wake wakati walipofika Ofisini kwa Makamu Ikulu jijini Dar es Salaam kwa mazungumzo leo, Mei 30, 2014. Katika mazungumzo yao walisisitiza juu ya ushirikiano katika Nyanja mbalimbali baina nchi hizi mbili . Waziri huyo yupo nchini kwa ziara ya Kiserikali iliyoandaliwa na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...
10 years ago
VijimamboWAZIRI WA MAMBO YA NJE WA MUUNGANO WA VISIWA VYA COMORO ATEMBELEA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA MATAIFA
10 years ago
MichuziKatibu Mkuu wa Mambo ya Nje azungumza na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani
11 years ago
MichuziWAZIRI MEMBE AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA UTURUKI
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-TVxAJQeXuXw/VNKD-vKcz3I/AAAAAAAC_TQ/at3k2iAWPbg/s72-c/iran1.jpg)
RAIS - AKUTANA NA WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA IRAN
![](http://2.bp.blogspot.com/-TVxAJQeXuXw/VNKD-vKcz3I/AAAAAAAC_TQ/at3k2iAWPbg/s640/iran1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-geBVdMLlxc4/VNKD_64hGOI/AAAAAAAC_Tg/HvwHx9ZKwJk/s640/iran5.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hiU2NTbIIH0/VNKD-o2yTBI/AAAAAAAC_TM/0BgjNn5xLr4/s640/iran2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-rAM3r6nhcO4/VNKD-rQn2rI/AAAAAAAC_TU/cDXvgkHDbRc/s640/iran3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-g4lsN-E0P1U/VNKD_mP-CRI/AAAAAAAC_Tc/QpjReMPz0yk/s640/iran4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-iliIFVWcN8Q/VNKEAHhCYtI/AAAAAAAC_To/uraUal_XiZs/s640/iran6.jpg)