WAZIRI MEMBE AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA MAREKANI NCHINI
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe akisalimiana na Balozi wa Marekani nchini, Mhe. Mark Childress alipofika Wizarani kwa ajili ya mazungumzo kuhusu masuala mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuimarisha ushirikiano kati ya Tanzania na Marekani na kukumbuka Wahanga wa tukio la kigaidi lililotokea Marekani miaka 13 iliyopita (September 11). Mazungumzo yao yalifanyika tarehe 11 Septemba 2014.
Mhe. Membe akimweleza jambo Balozi Childress wakati wa mazungumzo yao.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo04 Mar
Waziri Membe akutana kwa mazungumzo na Balozi wa China hapa nchini
10 years ago
Vijimambo14 Nov
WAZIRI MEMBE AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA MABALOZI WA MISRI NA SUDAN HAPA NCHINI
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Waziri Mahiga akutana kwa mazungumzo na Balozi wa China nchini
9 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA KUWAIT NCHINI
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Dkt. Susan Kolimba (Mb.) akisalimiana na Balozi wa Kuwait hapa nchini, Mhe. Nassem Ibrahim Al Najib alipofika Wizarani kwa ajili ya kuwasilisha salamu za pongezi kwa Mhe. Dkt. Kolimba kutoka kwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Kuwait.
11 years ago
MichuziWAZIRI MEMBE AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA UTURUKI
11 years ago
MichuziWAZIRI MEMBE AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA MSAJILI WA MAHAKAMA YA KIMATAIFA ILIYORITHI SHUGHULI ZA ICTR
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lqkLYwrLXRw/VPR9FlVJegI/AAAAAAAHHJo/9Q-onueNq-Q/s72-c/unnamed%2B(76).jpg)
Dk. Shein akutana kwa mazungumzo na Balozi wa Uholanzi nchini
![](http://3.bp.blogspot.com/-lqkLYwrLXRw/VPR9FlVJegI/AAAAAAAHHJo/9Q-onueNq-Q/s1600/unnamed%2B(76).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--2besAdZP6I/VPR9FawkeJI/AAAAAAAHHJk/0Ze0cCvNSus/s1600/unnamed%2B(77).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ToNOOtc8snE/VPR9Fka0z0I/AAAAAAAHHJs/HmPuDb7Q78s/s1600/unnamed%2B(78).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vNdSRq7YqeY/VPgaSt1aT3I/AAAAAAAHHxA/RfjbRhNZvZU/s72-c/el1.jpg)
Mh. Lowasaa akutana kwa mazungumzo na Balozi wa Uingereza nchini
![](http://4.bp.blogspot.com/-vNdSRq7YqeY/VPgaSt1aT3I/AAAAAAAHHxA/RfjbRhNZvZU/s1600/el1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--d-jASQ-NRo/VPgaRGb6_SI/AAAAAAAHHw4/qPIznOwCkQA/s1600/el2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-gDzPKIVKl0k/VPgnE524IiI/AAAAAAAHHxc/Zzor1BwNdI8/s1600/el%2B3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-I1hhVllTsTU/VOYJU2U8HVI/AAAAAAAHEls/HWsaHwWA1cQ/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
Waziri wa Nishati na Madini akutana na Balozi wa Marekani nchini
Balozi wa Marekani nchini, Mark Childress na Ujumbe wake, wamekutana na Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachewene, katika makao makuu ya Wizara ya Nishati na Madini jijini Dar es Salaam.
Viongozi hao walikutana ili kuzungumzia masuala mbalimbali ikiwemo miradi ya umeme inayofadhiliwa na Mfuko wa Changamoto za Milenia (MCC), mradi mkubwa wa umeme unaofadhiliwa na nchi ya Marekani ujulikanao kama Umeme Afrika (Power Africa) pamoja na suala la kuwajengea...