Waziri wa Nishati na Madini akutana na Balozi wa Marekani nchini
![](http://2.bp.blogspot.com/-I1hhVllTsTU/VOYJU2U8HVI/AAAAAAAHEls/HWsaHwWA1cQ/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
Na Teresia Mhagama
Balozi wa Marekani nchini, Mark Childress na Ujumbe wake, wamekutana na Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachewene, katika makao makuu ya Wizara ya Nishati na Madini jijini Dar es Salaam.
Viongozi hao walikutana ili kuzungumzia masuala mbalimbali ikiwemo miradi ya umeme inayofadhiliwa na Mfuko wa Changamoto za Milenia (MCC), mradi mkubwa wa umeme unaofadhiliwa na nchi ya Marekani ujulikanao kama Umeme Afrika (Power Africa) pamoja na suala la kuwajengea...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4At9nqfj84M/U_MxpFe5xPI/AAAAAAAGAu0/nvJsr5Wb7YI/s72-c/unnamed%2B(37).jpg)
NAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI AKUTANA NA BALOZI WA CHINA NCHINI TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-4At9nqfj84M/U_MxpFe5xPI/AAAAAAAGAu0/nvJsr5Wb7YI/s1600/unnamed%2B(37).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-TyEGQwC1Gr4/U_Mxos3VtcI/AAAAAAAGAuo/NSAe-ZAafBs/s1600/unnamed%2B(38).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ud2VexquSjc/U_MxpFnC-PI/AAAAAAAGAus/bae1d8bravo/s1600/unnamed%2B(39).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-n2V8y6DY7gI/U3CDbH9x6sI/AAAAAAAFhC4/00cmR9g8_SE/s72-c/unnamed+(13).jpg)
BALOZI WA FINLAND NCHINI AMTEMBELEA WAZIRI WA NISHATI NA MADINI OFISINI KWAKE LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-n2V8y6DY7gI/U3CDbH9x6sI/AAAAAAAFhC4/00cmR9g8_SE/s1600/unnamed+(13).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-L7drB5PBa5Q/U3CDbBctMmI/AAAAAAAFhCs/UBsGZeGVjCg/s1600/unnamed+(14).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wPrcGgky0Fk/U3CDbSvQFqI/AAAAAAAFhCw/rQCYj-JcqrI/s1600/unnamed+(15).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-VFJGFbvS1sE/VDvTFz48r1I/AAAAAAAGpyc/O_XEnLx7cUs/s72-c/unnamed%2B(39).jpg)
BALOZI WA FINLAND NCHINI BI. SINIKKA ANTILA AMTEMBELEA WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROFESA SOSPETER MUHONGO
![](http://1.bp.blogspot.com/-VFJGFbvS1sE/VDvTFz48r1I/AAAAAAAGpyc/O_XEnLx7cUs/s1600/unnamed%2B(39).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-eqbEEzHHDhc/VDvTGPwj6bI/AAAAAAAGpyY/HUfcOgbvZdo/s1600/unnamed%2B(40).jpg)
10 years ago
MichuziMH. KITWANGA AKUTANA NA WATENDAJI WA WIZARA YA NISHATI NA MADINI NA TAASISI ZINAZOSIMAMIA SEKTA YA MADINI NCHINI
10 years ago
Michuzi11 Sep
WAZIRI MEMBE AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA MAREKANI NCHINI
10 years ago
MichuziWAZIRI WA NISHATI NA MADINI GEORGE SIMBACHAWENE AFUNGUA MKUTANO WA KUJADILI NISHATI ENDELEVU NCHINI KWA WOTE
10 years ago
VijimamboKANUSHO KUTOKA WIZARA YA NISHATI NA MADINI KUHUSU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROFESA SOSPETER MUHONGO
![](http://4.bp.blogspot.com/-2TdsXVCxyBM/VKLEoGpQUWI/AAAAAAADK_Q/fLIBFnrqdds/s1600/Coat_of_arms_of_Tanzania.svg.png)
Utendaji wa Wizara chini ya Waziri wa...
10 years ago
MichuziWAZIRI WA NISHATI NA MADINI AKUTANA NA UJUMBE KUTOKA BENKI YA DUNIA (WB) MAPEMA LEO
11 years ago
MichuziWAZIRI WA NISHATI NA MADINI AKUTANA NA BW. MAYANK BHARGAVA NA BW. PAUL HINKS MJINI WASHINGTON, DC
Mhe. Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhongo akifanya mazungumuzo na Mr. Mayank Bhargava Mkurugenzi mwendeshaji wa kampuni ya Next Gen Solar USA kwenye ofisi za Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani siku ya Jumanne June 10, 2014. Katika mazungumuzo hayo alikuwemo Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula na ujumbe wa Mhe. Waziri wa Nishati na Madini aliokuja nao kutoka Tanzania.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10