WAZIRI WA NISHATI NA MADINI AKUTANA NA UJUMBE KUTOKA BENKI YA DUNIA (WB) MAPEMA LEO
Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene (mbele ) akiongoza kikao kilichokutanisha ujumbe kutoka Benki ya Dunia na watalaam wa Wizara ya Nishati na Madini ili kujadili maendeleo ya miradi ya nishati nchini inayofadhiliwa na Benki hiyo, changamoto zake na kupata mapendekezo ya kuboresha miradi hiyo.
Mkurugenzi wa Benki ya Dunia kwa nchi za Tanzania, Uganda na Burundi , Philippe Dongier (kushoto) akimweleza Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene (kulia) mikakati ya Benki hiyo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ge3f0prIAlA/VBH8VApwRuI/AAAAAAAGi-8/PTtEJFPRUuY/s72-c/unnamed%2B(15).jpg)
WAZIRI MKUU AKUTANA NA UJUMBE WA BENKI YA DUNIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-ge3f0prIAlA/VBH8VApwRuI/AAAAAAAGi-8/PTtEJFPRUuY/s1600/unnamed%2B(15).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6h6ccuVG8fQ/VBH8VkxJrSI/AAAAAAAGi_E/kZ1pA-l2xTk/s1600/unnamed%2B(16).jpg)
10 years ago
VijimamboKANUSHO KUTOKA WIZARA YA NISHATI NA MADINI KUHUSU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROFESA SOSPETER MUHONGO
![](http://4.bp.blogspot.com/-2TdsXVCxyBM/VKLEoGpQUWI/AAAAAAADK_Q/fLIBFnrqdds/s1600/Coat_of_arms_of_Tanzania.svg.png)
Utendaji wa Wizara chini ya Waziri wa...
10 years ago
Dewji Blog12 Sep
Pinda akutana na ujumbe wa Benki ya Dunia
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mkurugenzi Mtendaji na Ofisa Mwendeshaji Mkuu wa Benki ya Dunia (Managing Director and Chief Operating Officer), Sri Mulyani Indrawati,baada ya mazungumzo kati yake na ujumbe wa Benki hiyo mjini Dodoma Septemba 11, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji na Ofisa Mwendeshaji Mkuu wa Benki ya Dunia (Managing Director and Chief Operating Officer), Sri Mulyani Indrawati (kulia) baada ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-N75jbtIVSy8/VZMARECGxqI/AAAAAAAHmBQ/47xU4XFkXYk/s72-c/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
UJUMBE WA WAFANYABIASHARA KUTOKA KOREA WATEMBELEA BANDA LA WIZARA YA NISHATI NA MADINI KWENYE MAONESHO YA SABASABA
![](http://3.bp.blogspot.com/-N75jbtIVSy8/VZMARECGxqI/AAAAAAAHmBQ/47xU4XFkXYk/s640/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-sehPEip0RsI/VZMAQ8xB2EI/AAAAAAAHmBI/Fyi3g8UQd-4/s640/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-I1hhVllTsTU/VOYJU2U8HVI/AAAAAAAHEls/HWsaHwWA1cQ/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
Waziri wa Nishati na Madini akutana na Balozi wa Marekani nchini
Balozi wa Marekani nchini, Mark Childress na Ujumbe wake, wamekutana na Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachewene, katika makao makuu ya Wizara ya Nishati na Madini jijini Dar es Salaam.
Viongozi hao walikutana ili kuzungumzia masuala mbalimbali ikiwemo miradi ya umeme inayofadhiliwa na Mfuko wa Changamoto za Milenia (MCC), mradi mkubwa wa umeme unaofadhiliwa na nchi ya Marekani ujulikanao kama Umeme Afrika (Power Africa) pamoja na suala la kuwajengea...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4At9nqfj84M/U_MxpFe5xPI/AAAAAAAGAu0/nvJsr5Wb7YI/s72-c/unnamed%2B(37).jpg)
NAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI AKUTANA NA BALOZI WA CHINA NCHINI TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-4At9nqfj84M/U_MxpFe5xPI/AAAAAAAGAu0/nvJsr5Wb7YI/s1600/unnamed%2B(37).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-TyEGQwC1Gr4/U_Mxos3VtcI/AAAAAAAGAuo/NSAe-ZAafBs/s1600/unnamed%2B(38).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ud2VexquSjc/U_MxpFnC-PI/AAAAAAAGAus/bae1d8bravo/s1600/unnamed%2B(39).jpg)
11 years ago
MichuziWAZIRI WA NISHATI NA MADINI AKUTANA NA BW. MAYANK BHARGAVA NA BW. PAUL HINKS MJINI WASHINGTON, DC
Mhe. Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhongo akifanya mazungumuzo na Mr. Mayank Bhargava Mkurugenzi mwendeshaji wa kampuni ya Next Gen Solar USA kwenye ofisi za Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani siku ya Jumanne June 10, 2014. Katika mazungumuzo hayo alikuwemo Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula na ujumbe wa Mhe. Waziri wa Nishati na Madini aliokuja nao kutoka Tanzania.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10