WAZIRI WA NISHATI NA MADINI AKUTANA NA BW. MAYANK BHARGAVA NA BW. PAUL HINKS MJINI WASHINGTON, DC
Mhe. Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhongo akifanya mazungumuzo na Mr. Mayank Bhargava Mkurugenzi mwendeshaji wa kampuni ya Next Gen Solar USA kwenye ofisi za Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani siku ya Jumanne June 10, 2014. Katika mazungumuzo hayo alikuwemo Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula na ujumbe wa Mhe. Waziri wa Nishati na Madini aliokuja nao kutoka Tanzania.
Mhe. Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhomgo akifanya mazungumuzo na Mr....
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLWAZIRI WA NISHATI NA MADINI, PROF SOSPETER MUHONGO, AKUTANA NA MR MAYANK BHARGAVA AKIWEMO MR PAUL HINKS MJINI WASHINGTON, DC
11 years ago
Dewji Blog13 Jun
Prof Sospeter Muhongo, akutana na Mr Mayank Bhargava akiwemo Mr Paul Hinks mjini Washington, Dc
![IMG_1884](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/IMG_1884.jpg)
Mhe. Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhongo akifanya mazungumzo na Mr. Mayank Bhargava Mkurugenzi mwendeshaji wa kampuni ya Next Gen Solar USA kwenye ofisi za Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani siku ya Jumanne June 10, 2014. Katika mazungumuzo hayo alikuwemo Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula na ujumbe wa Mhe. Waziri wa Nishati na Madini aliokuja nao kutoka Tanzania.
Mhe. Waziri wa Nishati na Madini Prof. Sospeter Muhongo akifanya mazungumzo na Mr....
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-I1hhVllTsTU/VOYJU2U8HVI/AAAAAAAHEls/HWsaHwWA1cQ/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
Waziri wa Nishati na Madini akutana na Balozi wa Marekani nchini
Balozi wa Marekani nchini, Mark Childress na Ujumbe wake, wamekutana na Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachewene, katika makao makuu ya Wizara ya Nishati na Madini jijini Dar es Salaam.
Viongozi hao walikutana ili kuzungumzia masuala mbalimbali ikiwemo miradi ya umeme inayofadhiliwa na Mfuko wa Changamoto za Milenia (MCC), mradi mkubwa wa umeme unaofadhiliwa na nchi ya Marekani ujulikanao kama Umeme Afrika (Power Africa) pamoja na suala la kuwajengea...
10 years ago
VijimamboKANUSHO KUTOKA WIZARA YA NISHATI NA MADINI KUHUSU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROFESA SOSPETER MUHONGO
![](http://4.bp.blogspot.com/-2TdsXVCxyBM/VKLEoGpQUWI/AAAAAAADK_Q/fLIBFnrqdds/s1600/Coat_of_arms_of_Tanzania.svg.png)
Utendaji wa Wizara chini ya Waziri wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4At9nqfj84M/U_MxpFe5xPI/AAAAAAAGAu0/nvJsr5Wb7YI/s72-c/unnamed%2B(37).jpg)
NAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI AKUTANA NA BALOZI WA CHINA NCHINI TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-4At9nqfj84M/U_MxpFe5xPI/AAAAAAAGAu0/nvJsr5Wb7YI/s1600/unnamed%2B(37).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-TyEGQwC1Gr4/U_Mxos3VtcI/AAAAAAAGAuo/NSAe-ZAafBs/s1600/unnamed%2B(38).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ud2VexquSjc/U_MxpFnC-PI/AAAAAAAGAus/bae1d8bravo/s1600/unnamed%2B(39).jpg)
10 years ago
MichuziWAZIRI WA NISHATI NA MADINI AKUTANA NA UJUMBE KUTOKA BENKI YA DUNIA (WB) MAPEMA LEO
9 years ago
MichuziWAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROF. SOSPETER MUHONGO AKUTANA NA KAMPUNI YA MTIBWA SUGAR ESTATES LTD
10 years ago
MichuziMH. KITWANGA AKUTANA NA WATENDAJI WA WIZARA YA NISHATI NA MADINI NA TAASISI ZINAZOSIMAMIA SEKTA YA MADINI NCHINI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KNiZsu2F9Ws/U-ykmxg3a9I/AAAAAAAF_nc/mwFuuqMMqgk/s72-c/unnamed%2B(98).jpg)
NAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI MHE. STEPHEN MASELE AKUTANA NA RAIS MSTAAFU MHE. BENJAMIN WILLIAM MKAPA
![](http://4.bp.blogspot.com/-KNiZsu2F9Ws/U-ykmxg3a9I/AAAAAAAF_nc/mwFuuqMMqgk/s1600/unnamed%2B(98).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-kQHrLBwi6Bk/U-yknAwU6GI/AAAAAAAF_ng/89EGn9OtJl4/s1600/unnamed%2B(99).jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10