Waziri Mahiga akutana kwa mazungumzo na Balozi wa China nchini
Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga akimkaribisha Balozi wa China hapa nchini, Mhe. Dkt. Lu Youqing alipofika Wizarani kwa ajili ya kumpongeza kwa kuteuliwa katika wadhifa huo mpya na pia kuzungumzia masuala ya ushirikiano kati ya Tanzania na China. Pembeni ni Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australasia katika Wizara ya Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Balozi Mbelwa Kairuki.
Balozi...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo04 Mar
Waziri Membe akutana kwa mazungumzo na Balozi wa China hapa nchini
10 years ago
Michuzi11 Sep
WAZIRI MEMBE AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA MAREKANI NCHINI
9 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA KUWAIT NCHINI
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Dkt. Susan Kolimba (Mb.) akisalimiana na Balozi wa Kuwait hapa nchini, Mhe. Nassem Ibrahim Al Najib alipofika Wizarani kwa ajili ya kuwasilisha salamu za pongezi kwa Mhe. Dkt. Kolimba kutoka kwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Kuwait.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5kbpBQDE5KE/XkV2p6GUsqI/AAAAAAALdSk/RVYPFJHbSf872uACZ-7_vO_JayZTKvhaQCLcBGAsYHQ/s72-c/A-16-2048x1365.jpg)
Waziri Kabudi afanya mazungumzo na Balozi wa China nchini Tanzania
Waziri wa Mambo ya Nje, Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) afanya mazungumzo na Balozi wa China nchini Tanzania, Mhe. Balozi Wang Ke. Mazungumzo yalilenga kuimarisha ushirikiano kati ya Tanzania na China ambapo nchi hizi zinaelekea kuadhimisha mika 55 tangu kusainiwa mktaba wa urafiki
![](https://1.bp.blogspot.com/-5kbpBQDE5KE/XkV2p6GUsqI/AAAAAAALdSk/RVYPFJHbSf872uACZ-7_vO_JayZTKvhaQCLcBGAsYHQ/s640/A-16-2048x1365.jpg)
5 years ago
MichuziKATIBU MKUU BALOZI KANALI IBUGE AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA CHINA NCHINI KWA NJIA YA VIDEO
Pamoja na kujadili masuala mbalimbali ya mahusiano ya pande mbili (bilateral relations), viongozi hawa walizungumzia utayari wa Serikali wa nchi zote mbili katika kupambana na mgonjwa wa COVID-19. Sambamba na utayari huo, Katibu Mkuu alimfahamisha Balozi Wang...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vNdSRq7YqeY/VPgaSt1aT3I/AAAAAAAHHxA/RfjbRhNZvZU/s72-c/el1.jpg)
Mh. Lowasaa akutana kwa mazungumzo na Balozi wa Uingereza nchini
![](http://4.bp.blogspot.com/-vNdSRq7YqeY/VPgaSt1aT3I/AAAAAAAHHxA/RfjbRhNZvZU/s1600/el1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--d-jASQ-NRo/VPgaRGb6_SI/AAAAAAAHHw4/qPIznOwCkQA/s1600/el2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-gDzPKIVKl0k/VPgnE524IiI/AAAAAAAHHxc/Zzor1BwNdI8/s1600/el%2B3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lqkLYwrLXRw/VPR9FlVJegI/AAAAAAAHHJo/9Q-onueNq-Q/s72-c/unnamed%2B(76).jpg)
Dk. Shein akutana kwa mazungumzo na Balozi wa Uholanzi nchini
![](http://3.bp.blogspot.com/-lqkLYwrLXRw/VPR9FlVJegI/AAAAAAAHHJo/9Q-onueNq-Q/s1600/unnamed%2B(76).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--2besAdZP6I/VPR9FawkeJI/AAAAAAAHHJk/0Ze0cCvNSus/s1600/unnamed%2B(77).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ToNOOtc8snE/VPR9Fka0z0I/AAAAAAAHHJs/HmPuDb7Q78s/s1600/unnamed%2B(78).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLS079UZTw2DBcgT7p9ofj41VdyIAVbhpzIKlQWdVx2QQDvW0z1dLdcSHXYB-jF9RTEsNdhN4Vs7x2FG19gD5fRW/unnamed66.jpg?width=650)
WAZIRI MKUU AKUTANA NA BALOZI WA KUWAIT NCHINI, PIA AFANYA MAZUNGUMZO NA MAKAMU WA RAIS WA KAMPUNI YA CONTRACTUS YA POLAND
10 years ago
VijimamboBalozi Mulamula akutana kwa mazungumzo na Ujumbe wa EU hapa nchini
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10