Balozi Mulamula akutana kwa mazungumzo na Ujumbe wa EU hapa nchini
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula akimsikiliza Kiongozi wa Ujumbe wa Jumuiya ya Umoja wa Ulaya (EU) hapa nchini, Balozi Filberto Cerian Sebregondi alipofika Wizarani kwa mazungumzo kuhusu ushirikiano kati ya Jumuiya hiyo na Tanzania na pia kujitambulisha kwa Balozi Mulamula ambaye ameteuliwa hivi karibuni kuwa Katibu Mkuu wa Mambo ya Nje.
Maafisa Mambo ya Nje Waandamizi wakifuatilia mazungumzo kati ya Balozi Mulamula na Balozi...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo04 Mar
Waziri Membe akutana kwa mazungumzo na Balozi wa China hapa nchini
11 years ago
GPL20 Feb
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vNdSRq7YqeY/VPgaSt1aT3I/AAAAAAAHHxA/RfjbRhNZvZU/s72-c/el1.jpg)
Mh. Lowasaa akutana kwa mazungumzo na Balozi wa Uingereza nchini
![](http://4.bp.blogspot.com/-vNdSRq7YqeY/VPgaSt1aT3I/AAAAAAAHHxA/RfjbRhNZvZU/s1600/el1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--d-jASQ-NRo/VPgaRGb6_SI/AAAAAAAHHw4/qPIznOwCkQA/s1600/el2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-gDzPKIVKl0k/VPgnE524IiI/AAAAAAAHHxc/Zzor1BwNdI8/s1600/el%2B3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lqkLYwrLXRw/VPR9FlVJegI/AAAAAAAHHJo/9Q-onueNq-Q/s72-c/unnamed%2B(76).jpg)
Dk. Shein akutana kwa mazungumzo na Balozi wa Uholanzi nchini
![](http://3.bp.blogspot.com/-lqkLYwrLXRw/VPR9FlVJegI/AAAAAAAHHJo/9Q-onueNq-Q/s1600/unnamed%2B(76).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--2besAdZP6I/VPR9FawkeJI/AAAAAAAHHJk/0Ze0cCvNSus/s1600/unnamed%2B(77).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ToNOOtc8snE/VPR9Fka0z0I/AAAAAAAHHJs/HmPuDb7Q78s/s1600/unnamed%2B(78).jpg)
10 years ago
Vijimambo14 Nov
WAZIRI MEMBE AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA MABALOZI WA MISRI NA SUDAN HAPA NCHINI
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Waziri Mahiga akutana kwa mazungumzo na Balozi wa China nchini
10 years ago
Michuzi11 Sep
WAZIRI MEMBE AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA MAREKANI NCHINI
9 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA KUWAIT NCHINI
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Dkt. Susan Kolimba (Mb.) akisalimiana na Balozi wa Kuwait hapa nchini, Mhe. Nassem Ibrahim Al Najib alipofika Wizarani kwa ajili ya kuwasilisha salamu za pongezi kwa Mhe. Dkt. Kolimba kutoka kwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Kuwait.
10 years ago
VijimamboBALOZI MULAMULA AKUTANA NA BALOZI WA SUDAN NCHINI
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10