KAMPUNI YA KUMUENZI MAREHEMU STEVIN KANUMBA KUZINDULIWA APRIL 7, 2014 JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-faZa9nrytps/UxjleLouAuI/AAAAAAAFRl0/QjRtIwR2UkI/s72-c/New+Picture+(10).png)
Uzinduzi wa taasisi ya marehemu Steven Kanumba ijulikanayo kwa jina la Kanumba The Great Foundation utafanyika Aprili 7 kwenye ukumbi maarufu wa Dar Live uliopo Mbagala, jijini.
Uzinduzi huo utaenda sambamba na maadhimisho ya miaka miwili tokea kufariki kwa marehemu Kanumba ambaye alifariki dunia Aprili 7.
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Mama mzazi wa marehemu Kanumba, Flora Mtegoa alisema kuwa wameamua kuanzisha taasisi hiyo ili kuendelea kumuenzi mtoto wake na kuendeleza...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM08 Jan
KITABU CHA MAISHA YA MAREHEMU KANUMBA KUZINDULIWA JUMAMOSI HII
![](http://api.ning.com/files/pCnj1SuHrlqHA2nNkMVSRje-apyaqTEC9Ij3vYkjBjYYXgnC05fDBl4EQjrwy93W4xnTOYXHRGfAVEIGVsTanwHa746yd7rj/mamakanumba.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
PHD aungana na Wazambia kumuenzi Kanumba
STAA wa filamu, Hemed Suleiman ‘PHD’ amerejea nchini juzi akitokea Zambia alikokuwa akitengeneza filamu na wasanii wa huko kwa ajili ya kumuenzi nguli wa filamu za Bongo, marehemu Steven Kanumba....
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZNt8FIknlRNuYV7z4RaF1wy20diKojuRwwJBEPfWHkrWENEZkX2OzyVZFeJMblpA*Y-Bozffi2iKPp9tjUw1fP-d-b-O--XS/FrolaMtegoa.jpg)
MAMA KANUMBA: SITAACHA KUMUENZI MWANANGU!
10 years ago
Bongo Movies12 Mar
Steps Kutoa Hizi Mbili Kumuenzi Kanumba
Kampuni kubwa ya usambazaji wa filamu, Steps Entertainment hivi karibuni itatoa filamu mbili za marehemu Steven Charles Kanumba kwa lengo la kumuenzi nyota huyo wa filamu.
Filamu hizo ni YAMENIKUTA ambayo inatoka mwezi huu wa tatu mwishoni pamoja na RIZIKI inayotarajia kutoka mwezi ujao siku chache kabla ya kufikia siku ya kumbukumbu ya kifo chake
Wadau tukae mkao wa kula.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Gp5r1JlQKRc/VAY8bPAOFQI/AAAAAAABBdI/MjWGzusSANw/s72-c/IMG_5525.jpg)
FILAMU YA ‘MATESO YA UGHAIBUNI’ KUZINDULIWA JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-Gp5r1JlQKRc/VAY8bPAOFQI/AAAAAAABBdI/MjWGzusSANw/s1600/IMG_5525.jpg)
Na Cathbert Kajuna wa Kajunason Blog.FILAMU ya ‘Mateso Ughaibuni’ ambayo imerekodiwa Uingereza na wasanii Issa Musa ‘Cloud 112’, Riyama Ally, Wastara Juma ...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-YXA_WtYKfK8/VWSA9hLvChI/AAAAAAAC5F0/CiPbt66wU6k/s72-c/Mani24_Stara__15.jpg)
TAMASHA LA KWANZA LA STARA KUZINDULIWA JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-YXA_WtYKfK8/VWSA9hLvChI/AAAAAAAC5F0/CiPbt66wU6k/s640/Mani24_Stara__15.jpg)
Tamasha hili la aina yake linatazamiwa kufanyika tarehe 13th June 2015 katika ukumbi wa City Garden, kuanzia saa moja usiku hadi saa nne usiku kwa kiingilio cha shilling elfu 20 tu.
Pazia la Tamasha hili litafunguliwa wiki moja kabla ya Tamasha kwa Exhibition ya bidhaa ya vitu mbalimbali... vitakavyouzwa kama vile Mabaibui, Udi Hena na vitu vingine kuanzia saa mbii asubuhi hadi saa 1usiku na...
9 years ago
Dewji Blog06 Dec
Shinda Nyumba ya Global kuzinduliwa wiki iyayo jijini Dar
Bango la Shinda Nyumba ya Global Publishers (katikati) likiwa eneo la Karume Jijini Dar.
Bango likiwa eneo la Ubungo.
Bango likiwa eneo la Tegeta.
BAADA ya kujihusisha na misaada mbalimbali ya kijamii na kiutu, Kampuni ya Global Publishers Ltd, wachapishaji wa magazeti pendwa na lile bora la michezo nchini Tanzania, imekuwa ya kwanza ya habari kutoa zawadi ya nyumba kwa wasomaji wake katika promosheni inayotarajiwa kuanza Desemba 11, 2015.
Kumbukumbu zinaonesha kwamba, michezo ya...
10 years ago
Dewji Blog03 Aug
Filamu mpya ya Wake-Up kuzinduliwa Agosti 30, 2015 jijini Dar
Muandaaji wa Filamu ya Wake-Up, Manaiki Sanga (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu filamu hiyo mpya inayotarajiwa kuzinduliwa Agosti 30, 2015. Kulia ni msanii wa filamu, Farida Sabua ‘Mama Sonia na Salim Ahmed ‘Gabo’.
Msanii wa filamu, Taiya Odero (kulia), akizungumza katika mkutano huo.
Meza kuu. Kutoka kulia ni Taiya Odero, Farida Sabua ‘Mama Sonia, Muandaaji wa Filamu ya Wake-Up, Manaiki Sanga, Salim Ahmed ‘Gabo na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yl8XiM-qOZYeMjFqVzFuHm05hhTc3yrij1Vt2BbXL3HOwyPcyVvntEL3IZ6b8hVdyB*n4cNp5qYtzpWY5BbJZZYkLA0aR7YK/KANUMBADA.jpg)