KITABU CHA MAISHA YA MAREHEMU KANUMBA KUZINDULIWA JUMAMOSI HII
![](http://api.ning.com/files/pCnj1SuHrlqHA2nNkMVSRje-apyaqTEC9Ij3vYkjBjYYXgnC05fDBl4EQjrwy93W4xnTOYXHRGfAVEIGVsTanwHa746yd7rj/mamakanumba.jpg)
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziBONGO MOVIE KUPAMBA UZINDUZI WA KITABU CHA MAREHEMU KANUMBA LANDMARK HOTEL
UZINDUZI wa kitabu cha msanii wa filamu hayati Steven Kanumba unatarajia kuandika historia kufuatia maandalizi yaliyopangwa anasema mratibu wa tamasha hilo Mohamed Mwikongi ‘Frank’ amesema kuwa kutakuwa na mambo muhimu sana kwa ajili ya kumuenzi msanii huyo ambaye aliitangaza Tanzania kimataifa.
“Tumepanga kufanya mambo makubwa kwa ajili ya mwenzetu na tunataka ijengeke tabia ya kuenzi wasanii mbalimbali, pesa za uzinduzi wa kitabu hiki utafungua Kanumba Foundation kwa ajili ya kusaidia...
10 years ago
Bongo Movies07 Apr
Kanumba Day: Wastara Ana Haya Kuhusu Kitabu cha Kanumba
“Hiki kitabu chenye historia yako chatosha kunifanya nione umuhimu mkubwa uliokuwa nao katika tasnia na safari ndefu uliyopitia mpka ulimwengu kkutambua wew ni nani yoyte mwenye moyo wa dhati na asiyechoka na kukata siku zote atasimama nakufuata njia ulizopita duniani ni njia tu lakini jinsi utakavyoipita njia hii ndivyo utakavyowapa watu kumbukumbu ya kukkumbuka kilasiku tunakukumbuka sana lakini kifo ni safari ya lazima aina rushwa wala aikwepeki tuko nyuma yako mungu akusamehe makosa yako...
10 years ago
Bongo514 Jan
Mama Kanumba asikitishwa na wasanii pamoja na wadau wa filamu kususia uzinduzi wa kitabu cha Kanumba
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-faZa9nrytps/UxjleLouAuI/AAAAAAAFRl0/QjRtIwR2UkI/s72-c/New+Picture+(10).png)
KAMPUNI YA KUMUENZI MAREHEMU STEVIN KANUMBA KUZINDULIWA APRIL 7, 2014 JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-faZa9nrytps/UxjleLouAuI/AAAAAAAFRl0/QjRtIwR2UkI/s1600/New+Picture+(10).png)
Uzinduzi huo utaenda sambamba na maadhimisho ya miaka miwili tokea kufariki kwa marehemu Kanumba ambaye alifariki dunia Aprili 7.
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Mama mzazi wa marehemu Kanumba, Flora Mtegoa alisema kuwa wameamua kuanzisha taasisi hiyo ili kuendelea kumuenzi mtoto wake na kuendeleza...
10 years ago
Bongo Movies11 Jan
Picha:Uzinduzi Wa Kitabu Cha Kanumba Hapo Jana
NAIBU Waziri wa Kazi na Maendeleo ya Vijana, Makongoro Mahanga, jana amezindua rasmi kitabu cha marehemu Steven Charles Kanumba, Kinachoitwa ''Steven Charles Kanumba: The Great Fallen Tree'' kilichoandikwa na Emmanuel Zirimwabagabo, raia wa Congo anayeishi nchini Canada.
Akizungumza na wadau waliohudhuria hafla hiyo alisema vijana wanapaswa kutumia vipaji vyao kwa kujituma, kuthubutu na kufanya kazi kwa nguvu kama marehemu Kanumba na si kulalamika kila siku, jambo linalopelekea kuibuka...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LXZYmTRupZ*Qnc8KbjCtpRf-K0wZL7JPIWhxHvmBAY3Nh8z71x7vCPL80Xnl5oB20KBQ9yMCRiuoT6WfvHtcJw8Y1I0qwifp/MaAbdul.jpg?width=650)
MAMA ABDUL AWACHARUKIA WALIOSUSIA KITABU CHA KANUMBA
10 years ago
GPL10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IMhaXdz2zh8/VVSRFcBk6sI/AAAAAAAC4ZM/FtS5idGFGvU/s72-c/unnamed.jpg)