Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UNIVERSAL BODY FITNESS, KUZINDULIWA RASMI KWENYE JENGO LA SHAMO TOWER, BAGAMOYO ROAD, MBEZI BEACH JUMAMOSI HII


Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

UNIVERSAL BODY FITNESS YAFUNGULIWA RASMI JENGO LA SHAMO TOWERS,MBEZI BEACH

Balozi wa Heshima wa Djibhout nchini Tanzania Balozi Said Amin Shamo akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa kituo cha mazoezi Universal Body Fitness kilichopo ndani ya jengo la Shamo Tower,Mbezi beach jijini dar,hafla hiyo imefanyika mwishoni mwa wiki.Makofi na shangwe za furaha zilisikika mara baada ya Balozi wa Heshima wa Djibhout nchini Tanzania Balozi Said Amin Shamo kukata utepe wa kuashiria uzinduzi rasmi wa kituo cha mazoezi Universal Body Fitness kilichopo ndani ya jengo la Shamo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Universal Body Fitness yafunguliwa rasmi jengo la Shamo Towers, Mbezi Beach

Balozi wa Heshima wa Djibhout nchini Tanzania Balozi Said Amin Shamo akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa kituo cha mazoezi Universal Body Fitness kilichopo ndani ya jengo la Shamo Tower,Mbezi beach jijini dar,hafla hiyo imefanyika mwishoni mwa wiki. Makofi na shangwe za furaha zilisikika mara baada ya Balozi wa Heshima wa Djibhout nchini Tanzania Balozi Said Amin Shamo kukata utepe wa kuashiria uzinduzi rasmi wa kituo cha mazoezi Universal Body Fitness kilichopo ndani ya jengo la...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ujenzi Barabara ya Bagamoyo umekuwa shubiri Mbezi Beach

MAENDELEO katika nchi huchangiwa na uboreshaji wa sekta mbalimbali katika jamii husika. Hali ya maendeleo huchochewa zaidi na ujenzi wa barabara zinazoaminika kama mhimili mkuu wa ukuaji uchumi. Serikali kwa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Tusker Fanyakweli Kiwanjani yawakuna wakazi wa Mbezi Beach na Kimara wiki hii

CAMPIX PRODUCTION

Mteja wa bia ya Tusker Bi. Elizabeth Ulomi (katikati) akizungumza na mshereheshaji wa kampeni ya Fanyakweli Kiwanjani Gadner Habash (kushoto) kabla ya kupokea zawadi yake ya mfuko na fulana wakati wa hafla ya kuipongeza baa ya Coast Pub iliyopo Tangi Bovu-Mbezi beach jijini Dar es salaam ambayo iliibuka mshindi wa wiki kwenye kampeni ya Fanyakweli Kiwanjani inayoendeshwa na bia ya Tusker. Akijiandaa kutoa zawadi hiyo (kulia) ni Msimamizi wa Mauzo ya Kampuni ya bia ya Serengeti kanda ya...

 

9 years ago

Dewji Blog

Diamond Platinums awa mgeni rasmi Mahafali ya Nane ya shule ya awali na Msingi Rightway, Mbezi Beach

_DSC5609

 Mgeni Mashuhuri katika mahafali ya nane ya shule ya awali na Msingi ya Rightway, Mbezi Beach Makonde ya jijini Dar es Salaam, Naseeb Abdul aka Diamond Platinums akisaini kitabu cha wageni katika ofisi za shule hiyo   Mgeni Mashuhuri katika mahafali ya nane ya shule ya awali na Msingi ya Rightway, Mbezi Beach Makonde ya jijini Dar es Salaam, Naseeb Abdul aka Diamond Platinums akiwasili katika viwanja vya shule hiyo jana asubuhi  na kukukaribishwa na Meneja wa shule hiyo ya Rightway,...

 

10 years ago

CloudsFM

KITABU CHA MAISHA YA MAREHEMU KANUMBA KUZINDULIWA JUMAMOSI HII

Kitabu cha maisha ya aliyekuwa msanii wa filamu za Kibongo,marehemu Steven Kanumba # thegreatfallentree# kinazinduliwa Jumamosi wiki hii katika ukumbi wa Landmark Hotel,Ubungo jijini Dar.Katika uzinduzi huo kutakuwa na burudani mbalimbali ikiwemo bendi ya Malaika chini ya Christian Bella.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mwanza Ku-Jembeka na Sauti SOL Jumamosi hii Feb 21 ndani ya Jembe Beach

300 x 150m

Hatimaye ule mpango mzima wa kuzifungulia burudani ulioasisiwa na redio mpya ya jijini Mwanza JEMBE FM na kubatizwa jina ‘JEMBEKA’ unaanza rasmi jumamosi ya wiki hii tarehe 21/02/2015 ndani ya kiota cha burudani cha kitalii Jembe Beach Mwanza.

Burudani itakayo fungua mpango huo wa ‘JEMBEKA’ ni kutoka kwa kundi maarufu Afrika Mashariki lililovuka mipaka na sasa muziki wake kuchezwa hadi barani Ulaya kundi la Sauti Sol toka nchini Kenya ambao watapiga muziki LIVE.

Vijana wa Nyumbani JJ Band...

 

11 years ago

GPL

KAMPENI YA KUPAMBANA NA UGONJWA WA INI KUZINDULIWA RASMI IJUMAA HII

MKURUGENZI wa Kampuni ya Global Publishers Ltd, Eric Shigongo, na wadau mbalimbali wa afya leo walizungumzia madhara ya ugonjwa hatari wa homa ya ini kwenye mkutano na wanahabari uliofanyika Hospital ya Mkoa wa Ilala, Amana Jijini Dar. Uzinduzi wa kampeni ya kupambana na ugonjwa huo hatari utafanyika Ijumaa Machi 7, mwaka huu.

 

10 years ago

GPL

MWANZA KU-JEMBEKA NA SAUTI SOL JUMAMOSI HII FEB 21 NDANI YA JEMBE BEACH‏

Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal (kulia), akimkabidhi Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Seif Rashid machapisho mbalimbali baada ya kuzindua kongamano la siku mbili la kimataifa la watoto walio katika mazingira hatarishi Dar es Salaam jana. Wa pili kulia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia.… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani