Mwanza Ku-Jembeka na Sauti SOL Jumamosi hii Feb 21 ndani ya Jembe Beach
Hatimaye ule mpango mzima wa kuzifungulia burudani ulioasisiwa na redio mpya ya jijini Mwanza JEMBE FM na kubatizwa jina ‘JEMBEKA’ unaanza rasmi jumamosi ya wiki hii tarehe 21/02/2015 ndani ya kiota cha burudani cha kitalii Jembe Beach Mwanza.
Burudani itakayo fungua mpango huo wa ‘JEMBEKA’ ni kutoka kwa kundi maarufu Afrika Mashariki lililovuka mipaka na sasa muziki wake kuchezwa hadi barani Ulaya kundi la Sauti Sol toka nchini Kenya ambao watapiga muziki LIVE.
Vijana wa Nyumbani JJ Band...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMWANZA KU-JEMBEKA NA SAUTI SOL JUMAMOSI HII FEB 21 NDANI YA JEMBE BEACH
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-BfrW_D2WE94/VOyO1i7SaPI/AAAAAAABK_8/GfU1V-2qOFA/s72-c/0.1jembeka%2Bna%2Bsauti%2Bsol28.jpg)
JEMBEKA PARTY MWANZA NA SAUTI SOL NI SHIDA
![](http://3.bp.blogspot.com/-BfrW_D2WE94/VOyO1i7SaPI/AAAAAAABK_8/GfU1V-2qOFA/s640/0.1jembeka%2Bna%2Bsauti%2Bsol28.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-9TB74OyBNnU/VOyO9pgv_DI/AAAAAAABLAE/W7isrhvW7Rc/s640/0.1jembeka%2Bna%2Bsauti%2Bsol12.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-6OgCzccZCBA/VOyPADH3WaI/AAAAAAABLAU/NZ6bv_02krI/s640/0.1jembeka%2Bna%2Bsauti%2Bsol15.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-LTU2fvQD57k/VOyO-wsMbBI/AAAAAAABLAM/5NRcqlflKqo/s640/0.1jembeka%2Bna%2Bsauti%2Bsol13.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-sJYsEhemgDc/VOyPDH8-chI/AAAAAAABLAc/XLX7SP5uejQ/s640/0.1jembeka%2Bna%2Bsauti%2Bsol19.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-8i0tvzK4TNc/VOyPGxJNbII/AAAAAAABLAk/uubcqmQRNmU/s640/0.1jembeka%2Bna%2Bsauti%2Bsol18.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-BfrW_D2WE94/VOyO1i7SaPI/AAAAAAABK_8/GfU1V-2qOFA/s72-c/0.1jembeka%2Bna%2Bsauti%2Bsol28.jpg)
SHOW YA SAUTI SOL KATIKA JEMBEKA PARTY MWANZA ILIKUWA HATARI....!!!
![](http://3.bp.blogspot.com/-BfrW_D2WE94/VOyO1i7SaPI/AAAAAAABK_8/GfU1V-2qOFA/s1600/0.1jembeka%2Bna%2Bsauti%2Bsol28.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-9TB74OyBNnU/VOyO9pgv_DI/AAAAAAABLAE/W7isrhvW7Rc/s1600/0.1jembeka%2Bna%2Bsauti%2Bsol12.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-6OgCzccZCBA/VOyPADH3WaI/AAAAAAABLAU/NZ6bv_02krI/s1600/0.1jembeka%2Bna%2Bsauti%2Bsol15.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-LTU2fvQD57k/VOyO-wsMbBI/AAAAAAABLAM/5NRcqlflKqo/s1600/0.1jembeka%2Bna%2Bsauti%2Bsol13.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-sJYsEhemgDc/VOyPDH8-chI/AAAAAAABLAc/XLX7SP5uejQ/s1600/0.1jembeka%2Bna%2Bsauti%2Bsol19.jpg)
Picha...
10 years ago
Vijimambo18 Nov
SKYMOTO YAWABAMBA WAKAZI WA JIJINI MWANZA NDANI YA JEMBE BEACH
![DSC_0206](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_0206.jpg)
![DSC_0209](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_0209.jpg)
![DSC_0119](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_01191.jpg)
10 years ago
Dewji Blog18 Nov
SKY-MOTO yawabamba wakazi wa jijini Mwanza ndani ya Jembe Beach
Mkurugenzi Mtendaji wa Skylight Band Dkt. Sebastian Ndege a.k.a JembeniJembe akizungumza na wakazi wa Mwanza kuwakaribisha kwenye show ya SKYMOTO iliyofanyika kwenye hekalu la maraha la Jembe Beach lililopo Malimbe jijini Mwanza.
Mkurugenzi Mtendaji wa Skylight Band Dkt. Sebastian Ndege a.k.a JembeniJembe akimtambulisha Mkurugenzi wa Yamoto Band Said Fella almaarufu kama Mkubwa na wanawe kwa wakazi wa jijini Mwanza waliotinga kwenye hekalu la maraha lililo Malimbe jijini Mwanza Jembe...
11 years ago
Dewji Blog16 Apr
10 years ago
Dewji Blog24 Oct
Skylight Band wazidi kulitikisa Jiji la Dar, usikose leo Thai Village na kesho ndani ya JEMBE BEACH jijini Mwanza tamasha la Nyama Choma
Kama kawaida yetu kila ifikapo Ijumaa Bendi yako kali na matata hapa nchini Skylight Band tunakuwepo ndani ya kiota cha maraha Thai Village Masaki, Njoo wewe,yule na wote kuanzia mida ya saa tatu kamili mpaka mida yetu ileeeeeeeee, upate muziki mzuriiii kwenye masikio yako kwa masong makali na mapya toka kwa Timu nzima ya Skylight Band. Sogea sogea pale kati.
Digna Mbepera akiimba kwa...
10 years ago
Dewji Blog02 May
Baada ya Zari All White Party, leo ni Instagram Party ndani ya Jembe Beach Mwanza Hosted by Wema Sepetu na Idirs Sultan
Na Modewji blog team
Ikiwa siku moja tu kufanyika kwa party iliyokua ikisubiriwa kwa hamu Zari All White party kufanyika jijini Dar es Salaam na kuandaliwa na Zari the Boss Lady, mchumba wa mwanamuziki nyota nchini, Diamond Platnumz ‘Chibu Dangote’, Kwa upande wake mpenzi wa zamani staa huyo, Wema Sepetu Jumamosi ya leo Mei 2, wanafanya bonge la shoo ijulikanayo kama ‘Instagram Party Mwanza, ndani ya jiji la Mwanza, katika kiota cha Jembe ni Jembe Club, akiwa na Mshindi wa Big Brother...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10