Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UNIVERSAL BODY FITNESS YAFUNGULIWA RASMI JENGO LA SHAMO TOWERS,MBEZI BEACH

Balozi wa Heshima wa Djibhout nchini Tanzania Balozi Said Amin Shamo akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa kituo cha mazoezi Universal Body Fitness kilichopo ndani ya jengo la Shamo Tower,Mbezi beach jijini dar,hafla hiyo imefanyika mwishoni mwa wiki.Makofi na shangwe za furaha zilisikika mara baada ya Balozi wa Heshima wa Djibhout nchini Tanzania Balozi Said Amin Shamo kukata utepe wa kuashiria uzinduzi rasmi wa kituo cha mazoezi Universal Body Fitness kilichopo ndani ya jengo la Shamo...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Universal Body Fitness yafunguliwa rasmi jengo la Shamo Towers, Mbezi Beach

Balozi wa Heshima wa Djibhout nchini Tanzania Balozi Said Amin Shamo akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa kituo cha mazoezi Universal Body Fitness kilichopo ndani ya jengo la Shamo Tower,Mbezi beach jijini dar,hafla hiyo imefanyika mwishoni mwa wiki. Makofi na shangwe za furaha zilisikika mara baada ya Balozi wa Heshima wa Djibhout nchini Tanzania Balozi Said Amin Shamo kukata utepe wa kuashiria uzinduzi rasmi wa kituo cha mazoezi Universal Body Fitness kilichopo ndani ya jengo la...

 

9 years ago

Dewji Blog

Diamond Platinums awa mgeni rasmi Mahafali ya Nane ya shule ya awali na Msingi Rightway, Mbezi Beach

_DSC5609

 Mgeni Mashuhuri katika mahafali ya nane ya shule ya awali na Msingi ya Rightway, Mbezi Beach Makonde ya jijini Dar es Salaam, Naseeb Abdul aka Diamond Platinums akisaini kitabu cha wageni katika ofisi za shule hiyo   Mgeni Mashuhuri katika mahafali ya nane ya shule ya awali na Msingi ya Rightway, Mbezi Beach Makonde ya jijini Dar es Salaam, Naseeb Abdul aka Diamond Platinums akiwasili katika viwanja vya shule hiyo jana asubuhi  na kukukaribishwa na Meneja wa shule hiyo ya Rightway,...

 

10 years ago

Vijimambo

JENGO SKULI MPYA YA MICHAKAINI WILAYA YA CHAKE CHAKE YAFUNGULIWA RASMI


JENGO la ghorofa moja la skuli mpya ya Michakaini wilaya ya Chake Chake Pemba, ambalo lilijengwa kwa ufadhili wa serikali ya watu wa Japan, kabla ya balozi wa nchi hiyo, nchini Tanzania Masaharu Yoshida kulifungua rasmi. BALOZI wa Japan nchini Tanzania Masaharu Yoshida akiwa na mwenyeji wake, Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Mwanajuma Majid Abdalla, wakikata utepe kuashiria kulifungua jengo jipya la ghorofa moja la skuli ya Michakaini lililojengwa na serikali ya watu wa Japan. MWENYEKITI wa...

 

11 years ago

Michuzi

HOUSE FOR SALE IN MBEZI BEACH

A two (2) storey house for sale at Mbezi beach behind Art Gallery. Plot size: 1,206 square metres. It is fully fenced by concrete blocks with two entrance gates at front and rear side; there are two access roads.

House: Ground floor: 5 bedrooms (1 master), 3 bathrooms, living room, dining room, kitchen and stores. 1st floor: 3 bedrooms (1 master), 2 bathrooms.
Extras: The house can easily be converted into 2 family houses and each use its own gate on different access roads.
Can also be...

 

10 years ago

Habarileo

Kanisa la Wapo la Mbezi Beach laibiwa

KANISA la Mbezi Beach la Wapo Mission International la jijini Dar es Salaam limevamiwa na watu wawili wasiojulikana waliovalia sare za polisi na kuiba mali mbalimbali, ikiwemo fedha na nyaraka za kanisa hilo.

 

10 years ago

GPL

NYUMBA YA GOROFA MOJA INAUZWA MBEZI BEACH

NYUMBA NZURI YA GOROFA MOJA, ILIYOPO MBEZI BEACH GOIG JIJINI DAR ES SALAAM INAUZWA. IKO MTAA WA PILI KUTOKA BARABARA KUU (BAGAMOYO ROAD). INA HATI, UMEME, MAJI NA CAR PARKING YA KUTOSHA. Kwa mazungumzo ya bei na maelezo zaidi, piga simu namba:…

 

10 years ago

Michuzi

hellofood Tanzania extends its services to Mbezi Beach

Hellofood Tanzania an online food delivery company will now be extending its services to Mbezi Beach. The company has been operating in Dar es Salaam in sub-regions such Masaki, Mikocheni, Upanga, Ilala, Oysterbay, City center, Kariakoo, Kinondoni, Makumbusho, Morocco, Namanga.
The Country Manager of Hellofood Tanzania Ms. Sherrian Abdul said “for the last couple of months most of our customers have been requesting for our services in Mbezibeach, and starting today, our Mbezi beach...

 

11 years ago

Michuzi

Apartments for sale at Mbezi Beach, Dar es Salaam.

Apartments at Mbezi Beach, Kinondoni, in  Dar es Salaam.  Price per house : $300,000.00  Each House has : 4 Self Contained Bedrooms  First Floor: Living Room, Kitchen with Cabinets, Self Contained Guest Room  Second Floor: One Big Self Contained Master Bed room and Two Self contained Rooms Contacts: +255 784 782578, +255 652 386706 Email:range_charles@yahoo.com  Name: Charles Isaroche Range For more photos CLICK HERE

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani