Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kanisa la Wapo la Mbezi Beach laibiwa

KANISA la Mbezi Beach la Wapo Mission International la jijini Dar es Salaam limevamiwa na watu wawili wasiojulikana waliovalia sare za polisi na kuiba mali mbalimbali, ikiwemo fedha na nyaraka za kanisa hilo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Kumekucha! Mbuzi wa sikukuu wapo Mbezi na Vingunguti, bei chee!

Mbuzi (1)
Mbuzi (3)

Mbuzi (4)

Mbuzi (5)

Mbuzi (2)

Mbuzi (6)

Kumekucha jijini Dar, ni offer ya aina yake katika msimu huu wa sikukuu za X-Mass na Mwaka Mpya, mbuzi wanono kwa ajili yako na familia yako wanapatikana Mbezi ya Kimara na Vingunguti jijini Dar es salaam kwa bei nafuu sana.

Pia wanafaa kwa nyamachoma, mahotelini, nyumbani na kumbi za starehe.

Weka oda yako sasa kwa kupiga simu namba: 0787 589 318

 

11 years ago

Michuzi

HOUSE FOR SALE IN MBEZI BEACH

A two (2) storey house for sale at Mbezi beach behind Art Gallery. Plot size: 1,206 square metres. It is fully fenced by concrete blocks with two entrance gates at front and rear side; there are two access roads.

House: Ground floor: 5 bedrooms (1 master), 3 bathrooms, living room, dining room, kitchen and stores. 1st floor: 3 bedrooms (1 master), 2 bathrooms.
Extras: The house can easily be converted into 2 family houses and each use its own gate on different access roads.
Can also be...

 

10 years ago

GPL

NYUMBA YA GOROFA MOJA INAUZWA MBEZI BEACH

NYUMBA NZURI YA GOROFA MOJA, ILIYOPO MBEZI BEACH GOIG JIJINI DAR ES SALAAM INAUZWA. IKO MTAA WA PILI KUTOKA BARABARA KUU (BAGAMOYO ROAD). INA HATI, UMEME, MAJI NA CAR PARKING YA KUTOSHA. Kwa mazungumzo ya bei na maelezo zaidi, piga simu namba:…

 

11 years ago

Michuzi

Apartments for sale at Mbezi Beach, Dar es Salaam.

Apartments at Mbezi Beach, Kinondoni, in  Dar es Salaam.  Price per house : $300,000.00  Each House has : 4 Self Contained Bedrooms  First Floor: Living Room, Kitchen with Cabinets, Self Contained Guest Room  Second Floor: One Big Self Contained Master Bed room and Two Self contained Rooms Contacts: +255 784 782578, +255 652 386706 Email:range_charles@yahoo.com  Name: Charles Isaroche Range For more photos CLICK HERE

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali yabomoa nyumba za mamilioni Mbezi Beach

>Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya  Makazi imebomoa nyumba nne zenye thamani ya Sh800 milioni mali ya Tibe K. John zilizojengwa katika eneo la Mbezi Beach bila kibali na kinyume na sheria za mipango miji.

 

10 years ago

Michuzi

hellofood Tanzania extends its services to Mbezi Beach

Hellofood Tanzania an online food delivery company will now be extending its services to Mbezi Beach. The company has been operating in Dar es Salaam in sub-regions such Masaki, Mikocheni, Upanga, Ilala, Oysterbay, City center, Kariakoo, Kinondoni, Makumbusho, Morocco, Namanga.
The Country Manager of Hellofood Tanzania Ms. Sherrian Abdul said “for the last couple of months most of our customers have been requesting for our services in Mbezibeach, and starting today, our Mbezi beach...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ujenzi Barabara ya Bagamoyo umekuwa shubiri Mbezi Beach

MAENDELEO katika nchi huchangiwa na uboreshaji wa sekta mbalimbali katika jamii husika. Hali ya maendeleo huchochewa zaidi na ujenzi wa barabara zinazoaminika kama mhimili mkuu wa ukuaji uchumi. Serikali kwa...

 

11 years ago

Michuzi

AJALI ENEO LA AFRIKANA, MBEZI BEACH MCHANA WA LEO

 Gari aina ya Nissan Hard Body yenye Namba za Usajili T 524 ALW likiwa limetupwa mtaroni na trela la lori (halipo pichani) ambalo lililigonga gari hilo na kutumbukia mtaroni eneo la Afrikana Mbezi Beach Mchana wa leo. Katika Ajali hiyo iliyohusisha Lori na gari aina ya Nissan Hard Body hakuna mtu yoyote aliyepoteza Maisha Wananchi wakisaidia Kulifunga minyororo gari aina ya Nissan Hard Body ambayo imetumbukia mtaroni mara baada ya Kugongwa na trela la lori (halipo pichani) mchana wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani