AJALI ENEO LA AFRIKANA, MBEZI BEACH MCHANA WA LEO
Gari aina ya Nissan Hard Body yenye Namba za Usajili T 524 ALW likiwa limetupwa mtaroni na trela la lori (halipo pichani) ambalo lililigonga gari hilo na kutumbukia mtaroni eneo la Afrikana Mbezi Beach Mchana wa leo. Katika Ajali hiyo iliyohusisha Lori na gari aina ya Nissan Hard Body hakuna mtu yoyote aliyepoteza Maisha
Wananchi wakisaidia Kulifunga minyororo gari aina ya Nissan Hard Body ambayo imetumbukia mtaroni mara baada ya Kugongwa na trela la lori (halipo pichani) mchana wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
AJALI ENEO LA AFRIKANA JIJINI DAR
10 years ago
GPLENEO LA BAMAGA MWENGE DAR LEO MCHANA
11 years ago
Michuzi
BREAKING NYUZZZZZZ....: WATU ZAIDI YA 10 WAPOTEZA MAISHA KWENYE AJALI YA GARI ILIYOTOKEA ENEO LA MAKONGO,JIJINI DAR MCHANA HUU



11 years ago
GPL
AJALI YATOKEA AFRIKANA MBUYUNI DARA
11 years ago
Michuzi13 Jun
HOUSE FOR SALE IN MBEZI BEACH
House: Ground floor: 5 bedrooms (1 master), 3 bathrooms, living room, dining room, kitchen and stores. 1st floor: 3 bedrooms (1 master), 2 bathrooms.
Extras: The house can easily be converted into 2 family houses and each use its own gate on different access roads.
Can also be...
10 years ago
Vijimambo
AJALI MBAYA YATOKEA VWAWA MBOZI LEO MCHANA YAUA DEREVA WA NSSF NA MENEJA WAKE




11 years ago
Michuzi31 Jan
11 years ago
Michuzi.jpg)
ajali mbaya eneo la Mikese, Morogoro, leo Asubuhi
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
11 years ago
Habarileo06 Sep
Kanisa la Wapo la Mbezi Beach laibiwa
KANISA la Mbezi Beach la Wapo Mission International la jijini Dar es Salaam limevamiwa na watu wawili wasiojulikana waliovalia sare za polisi na kuiba mali mbalimbali, ikiwemo fedha na nyaraka za kanisa hilo.